Wazazi, acheni kuwapotezea muda watoto wa kiume kuwafundisha kupika!

Kwetu tarime mtoto wa kiuume haruhusiwa kupita karibu na jiko lilipo
siku moja babu mzaa mama almanusura awchomee moto watoto wake wa kiume alipowakuta jikoni wako na mama yao
alifunga kamlango akawasha moto, bahati yao kamlango kalikuwa weak
 
Kwetu tarime mtoto wa kiuume haruhusiwa kupita karibu na jiko lilipo
siku moja babu mzaa mama almanusura awchomee moto watoto wake wa kiume alipowakuta jikoni wako na mama yao
alifunga kamlango akawasha moto, bahati yao kamlango kalikuwa weak
Ni kwa nini hamna hiyo ruhusa? Mna amini nini mwanaume akiingia jikoni???
 
Nakuona ndugu mpishi, unapambania upishi!
Mbunge ameshasema mume atatawala mwanamke kwa fedha sio upishi!
 
Wanaopika kwenye mahoteli ni akina nani?
Ile Ni kazi!
Wapo wanaume wengi wanafanya kazi mbalimbali ktk nyanja mbalimbali na hawakufundishwa utotoni
Kwani madereva barabarani walifundishwa utotoni?
Kwani hao wapishi hotelini wote walifundishwa utotoni?
Mwanaume yoyote hashindwi kupika pale atapoamua kupika, na si kupambana nae utotoni eti unamfundisha kupika
 
Hayo yote ulifundishwa utotoni bro?
 
Mimi nadhani imefika mda watoto wa kiume waanze kufundishwa na tactics za uchakataji,,,sio unakuta toto la kiume ziiiito kwenye mademu mwishowe yanakuwa mapunga
 
Kwetu tarime mtoto wa kiuume haruhusiwa kupita karibu na jiko lilipo
siku moja babu mzaa mama almanusura awchomee moto watoto wake wa kiume alipowakuta jikoni wako na mama yao
alifunga kamlango akawasha moto, bahati yao kamlango kalikuwa weak
Unaongelea sehemu ambazo ni uncivilized siwezi kulishangaa hilo.

Ukienda kule ziwani upande wa Rolya mpaka leo jamii kubwa haijuwi umuhimu wa vyoo wanakwenda kunya ziwani tena wakiwemo na wasichana wazuri kabisa.

Kuna jamii kwanza huwezi kuamini kama hawa ni Watanzania yani kijiji kizima hakuna mwenye choo sasa hao watu si wanahitaji elimu kubwa zaidi ya hii?

Halafu kichekesho kuna msomi mkubwa sana yupo wall street John Mashaka anatokea huko.😄😄
 
Watu wanakupinga sana, lakin huo ndo ukweli waswahili huo hatupend ukweli unafiki umetutawala hii ndio sababu ya maendeleo duni. Unamfundisha mtoto wa kiume kupika ili iweje, agundue nn, atajua akikua. Tukiacha unafiki tutaendelea
 
Umenikumbusha Mbali kipindi kile mama ananiforce nipike halafu Mimi peke yang ndio Nilikuwa mtoto WA kiume kwenye family lakini bado walikuwa wanataka eti na mimi nioshe vyombo na kupika isitoshe wenyewe walikuwa zaidi ya wanne ila baada ya father kugundua akapiga marufuku na tangia kipindi hicho kazi zilikuwa kazi nzito kama kuchimba mashimo ya taka,kubeba vitu vizito, kujenga mabanda na cha zaidi kizuri zaidi ninachacho mshukuru father nikaanza na kupiga tizi na kuanza kucheza mpira maana kabla ya hapo Nilikuwa mtu wa kupika na kufanya vikazi vidogodogo baada hapo naenda kukaa kwenye mkeka na mama au kuangalia tamthiliya kiukweli mpaka nafika umri miaka 16 nilikuwa sijui ata kuendesha baiskeli wala kucheza mpira😂😂😂 Nilikuwa aina ya wanaume nyororo

Ila baada ya father kutia mguu nilibadilika sana japo mara kwanza niliona kama ananitesa maana alikuwa na tabia ya kuniamsha saa kumi na kunishwesha maji lita moja na baada hapo mchakamchaka unaanza 😂😂basi mwenyewe Nilikuwa naona kama mateso ila sasa nimekuwa nimeanza kuelewa

Na sasa na mimi nafata legacy alionichia baba yangu yani mfumo dume 😁😁yani Mimi nikiwa kwenye mahusiano demu kazi yangu nikutoa hela nasihitaji kusaidiwa kwenye kutoa matumizi yani kwenye financial Cases nahusika kwa asilimia 100 maana najua kwenye hivyo vikazi vyao sitahusika kwa asilimia 100
 
Njaa ikimshika atajua kupika hapohapo automatically.
Na sio kupoteza muda wa utoto wake kumfundisha jinsi ya kushika mwiko.
 
Swali ni kama kupika sio kitu cha kushangaza kwa mwanaume.
Then ni kwanini wapishi wa utotoni mnahangaika kujitetea kwa nguvu?

Mna mashaka na maamuzi ya wazazi wenu na mko insecure?
Bila shaka ni hivyo hivyo.
 
Njaa ikimshika atajua kupika hapohapo automatically.
Na sio kupoteza muda wa utoto wake kumfundisha jinsi ya kushika mwiko.
Mie mwanangu nitamfundisha, tuna malezi tofauti kila mtu afanye analoona ni sahihi kwake.
 
Mimi nadhani imefika mda watoto wa kiume waanze kufundishwa na tactics za uchakataji,,,sio unakuta toto la kiume ziiiito kwenye mademu mwishowe yanakuwa mapunga
[emoji23][emoji23]
 
Naunga mkono hoja,mi binafsi siku kupika sana utotoni zaidi ya chai na uji,lkn nilipojitegemea angali bachela nilijifunza kupika,hivyo sio inshu Sana mzazi kitumia nguvu kimfundisha me kupika
 
Ni kwa nini hamna hiyo ruhusa? Mna amini nini mwanaume akiingia jikoni???
Yani mvulana/mwanaume anapoteza muda kwa kuchambua mchele na vitunguu saumu?Mwanaume akisikia njaa anachemsha maji anakunywa.Kupika atawakuta wamepika mbele mbele yao.
 
Yani mvulana/mwanaume anapoteza muda kwa kuchambua mchele na vitunguu saumu?Mwanaume akisikia njaa anachemsha maji anakunywa.Kupika atawakuta wamepika mbele mbele yao.
Mie kwetu wanaume wanapika. Kila mtu na malezi yake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…