NYEKUNDU YA BIBI
JF-Expert Member
- Oct 27, 2017
- 2,301
- 2,977
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwetu tarime mtoto wa kiuume haruhusiwa kupita karibu na jiko lilipoKuna wazazi wanazingua Sana!
Wako bize na wanao wa kiume kuwafundisha kupika!
Mwanaume amepewa jukumu kubwa mno la kuitawala Dunia. Jukumu hili linamtaka mtoto wa kiume awe strong mentally and physically!
Mtoto wa kiume achukue muda mwingi kujengewa misingi ya uongozi, utawala, ubunifu na ujenzi wa maisha
Upishi ni advantage ktk maisha ya mtoto wa kike si wakiume
Mtoto wa kiume hatashindwa kupika ktk maisha ya baadae Kama akiamua kuwa mpishi! Kwa sababu upishi ni Sanaa ambayo imeanzishwa na mwanamume hapo kale! Ikumbukwe hakuna jambo hapa duniani, iwe Sanaa, sayansi, falsafa ama ufundi ambalo limeanzishwa na kuletwa na mwanamke!
Yote yanayoendelea duniani Ni Mali ya mwanamume, na mwanamke anashiriki kuyafanya Kama mshirika na msaidizi wa mwanamume!
Kuna mtu atasema hapa eti Ni dhana ya mfumo dume, khaa, Sasa ulitaka mfumo jike? Hii Dunia imeumbwa kwa mfumo dume shosti!
Wanawake wabuni sayansi, teknolojia, falsafa, ufundi, biashara Kisha waanze kudai usawa!
Mwanamke ana haki ya kudai UPENDO kutoka kwa mwanaume na si HAKI SAWA!
Ni kwa nini hamna hiyo ruhusa? Mna amini nini mwanaume akiingia jikoni???Kwetu tarime mtoto wa kiuume haruhusiwa kupita karibu na jiko lilipo
siku moja babu mzaa mama almanusura awchomee moto watoto wake wa kiume alipowakuta jikoni wako na mama yao
alifunga kamlango akawasha moto, bahati yao kamlango kalikuwa weak
Nakuona ndugu mpishi, unapambania upishi!Katika kitabu cha mithali kinasema hata mjinga akinyamaza uhesabiwa hekima.
Kwanza katika maisha ya kisasa hakuna jiko la kukalia kigoda ni majiko unapika ukiwa umesimama.
Kama ni mpenzi wa mpishi ya nazi siku hizi masoko yote wana mashine za sido za kukunia nazi unalipa sh 100 tu.
Humu comment za vijana kula kulala kuweka bundle kushinda mitandaoni utazijuwa tu.
Ile Ni kazi!Wanaopika kwenye mahoteli ni akina nani?
Hayo yote ulifundishwa utotoni bro?Humu kuna wachangiaji wengi ni kula kulala tena wengine wanaishi kwa shemeji zao hamna walijuwalo.
Kwa mfano mimi binafsi hawa tunaowaita wadada wa kazi wamenisumbuwa sana achilia mbali kuwabadirisha au anakuja huyu anakaa wiki anataka kuondoka kumbe ulitumioa tu kumleta mjini na saa nyingine unatuma nauli unaliwa vilevile, sasa nimeamuwa hivi.
Watoto wakubwa wako boarding, mtoto mdogo yupo day lakini anashinda shuleni anarudi jioni kabisa kwahiyo nyumbani tunapika usiku tu au nanunuwa take away hakuna kupika.
Sihitaji wala sifikilii kuleta house girl, usafi ni mara moja kwa wiki anakuja dada anafuwa anaosha vyombo anapiga deki nyumba namlipa cash yake anatambaa, siku za kawaida kufagia nyumba hakunishindi nafagia mimi au wife yeyote atakayehisi kuna michanga ndani.
Kwahiyo kwangu wala hatuhitaji mpishi na wakubwa wakirudi likizo wanapika wenyewe mchana au mama yao kabla ya kwenda job akiamka mapema awapikie ubwabwa full suti, binafsi kama nakuwa home vyakula vyangu ni michemsho tu wala havina mambo mengi ni nyama au samaki viazi ndizi na viungo unachanganya pamoja unakadiria maji, unaweka chumvi unatia na mafuta machache unawasha gesi ngoma inajipika yenyewe, hivi hapo shida iko wapi? Ukiona mimi nanunuwa chips ujuwe ni dharura tena ni usiku inanibidu tu.
Unaongelea sehemu ambazo ni uncivilized siwezi kulishangaa hilo.Kwetu tarime mtoto wa kiuume haruhusiwa kupita karibu na jiko lilipo
siku moja babu mzaa mama almanusura awchomee moto watoto wake wa kiume alipowakuta jikoni wako na mama yao
alifunga kamlango akawasha moto, bahati yao kamlango kalikuwa weak
Njaa ikimshika atajua kupika hapohapo automatically.Safi sana. Kuna watu hawapa wanaona kujifunza kupika ni kama itawaondolea uanaume wao kitu ambacho naona si kweli. Nawaza kijana wa kiume leo hii akianza kujitegemea na hajui kupika ina mana atakua anakula migahawan siku zote? Anyways tunaambiwa kila mtu na chaguo lake.
Mie mwanangu nitamfundisha, tuna malezi tofauti kila mtu afanye analoona ni sahihi kwake.Njaa ikimshika atajua kupika hapohapo automatically.
Na sio kupoteza muda wa utoto wake kumfundisha jinsi ya kushika mwiko.
[emoji23][emoji23]Mimi nadhani imefika mda watoto wa kiume waanze kufundishwa na tactics za uchakataji,,,sio unakuta toto la kiume ziiiito kwenye mademu mwishowe yanakuwa mapunga
Naunga mkono hoja,mi binafsi siku kupika sana utotoni zaidi ya chai na uji,lkn nilipojitegemea angali bachela nilijifunza kupika,hivyo sio inshu Sana mzazi kitumia nguvu kimfundisha me kupikaSoma vizuri andiko!
Hoja si kwamba mwanamume hahitaji kujua kupika,
Nimeandika kupika Ni kazi ndogo kwa mwanamume anayeamua kupika, na haihitaji tuition ya utotoni
Wanaume wako simpo katika suala la kupika
Akitaka kupika chochote anaweza hata kupiga simu akapewa maelezo mafupi na akapika akala maisha yakaendelea!
Ni ungese kuwa strict kwa mtoto wa kiume kumfundisha kupika, wakati yapo mengi anahitaji afundishwe utotoni
Yani mvulana/mwanaume anapoteza muda kwa kuchambua mchele na vitunguu saumu?Mwanaume akisikia njaa anachemsha maji anakunywa.Kupika atawakuta wamepika mbele mbele yao.Ni kwa nini hamna hiyo ruhusa? Mna amini nini mwanaume akiingia jikoni???
Mie kwetu wanaume wanapika. Kila mtu na malezi yake.Yani mvulana/mwanaume anapoteza muda kwa kuchambua mchele na vitunguu saumu?Mwanaume akisikia njaa anachemsha maji anakunywa.Kupika atawakuta wamepika mbele mbele yao.