Miss_Mariaah
JF-Expert Member
- Nov 9, 2022
- 2,176
- 4,979
Uko sahihi unakuta MTU anajiheshim vizurii Sana anaishi vizur Lakin mwushowe utaskia Yule dada pamoja Na hiki Na Kile hajaolewa Yan mtoto Wa kike kwenye jamii ndoa inampa heshimaMkuu tuangalia Logic kwanza
Heshima ya mwanamke inatokana na nini ?
1)kuolewa
2)anavyojiweka
3)anavyoishi na jamii yake
4)Mchango wake chanya dhidi ya WATU wngine.
Je unategemea kuvuna HESHIMA kutoka kwa jamii ya WATU wa aina gani?
Je heshima ya jamii inakuongezea nini na uliikosa unapungukiwa nini ?
Na unajua hakuna WATU wanaheshimika mtaani Kama watu ambao mambo yao ni private hawajulikani kama wameaoa au hawajaolewa.
So twende na LOGIC kwanza.
Ni aibuUko sahihi unakuta MTU anajiheshim vizurii Sana anaishi vizur Lakin mwushowe utaskia Yule dada pamoja Na hiki Na Kile hajaolewa Yan mtoto Wa kike kwenye jamii ndoa inampa heshima
Toka hapa bwege mlima viazi wewe. Jichekeshe chekeshe tu wewe nenda kale wali maharage na akina nauye acha kujipendekeza kwa mpenzi wangu kenge wewe.
Uko sahihi unakuta MTU anajiheshim vizurii Sana anaishi vizur Lakin mwushowe utaskia Yule dada pamoja Na hiki Na Kile hajaolewa Yan mtoto Wa kike kwenye jamii ndoa inampa heshima
Kwa hiyo mkuu ,unafikiri kila mtu anaendeshwa na ngono🤣🤣🤣Mtu àmbaye hajaolewa au Kuoa kwèñye jamii huonekana NI mhuni na Malaya Kwa sababu hawezi kuishi Bila kufanya ñgono.
Sasa kama Mtu hawezi kuishi Bila ñgono Basi jamii huchukulia Moja ya mambo yafuatayo;
1. Anatoka na waume za Watu au wachumba za Watu
2. Ananunua Malaya
3. NI shoga au msagaji
4. Analala na Wake au wachumba za Watu
5. Anapiga punyeto, au anatumia dildo au anajisaga
Wewe kama Hun Mchumba Wala Mume haja zako za kingono unamalizia Wapi?
HahahahaSio hujapata mtu wa kukuoa, ila hujafaa kuolewa
Unampenda kuliko CCM wewe chawa!?..ephen wanguu Nakupendaa Sanaa lazizi wanguu nakupendaa pasipo kutumia wala kukoma nakupendaa mpaka Sanaa ephen.niseme nini ephen wanguu upate kunielewa.au nibebe na kuhamisha mti wa maparachichi uliozaa na kuja kuuotesha hapo nyumbani ndio ujuwe namna navyokupendaa ephen wanguu
HahahahaHata sisi kila kukicha unaulizwa baba unaoa lini?
Cc dronedrakeMtu àmbaye hajaolewa au Kuoa kwèñye jamii huonekana NI mhuni na Malaya Kwa sababu hawezi kuishi Bila kufanya ñgono.
Sasa kama Mtu hawezi kuishi Bila ñgono Basi jamii huchukulia Moja ya mambo yafuatayo;
1. Anatoka na waume za Watu au wachumba za Watu
2. Ananunua Malaya
3. NI shoga au msagaji
4. Analala na Wake au wachumba za Watu
5. Anapiga punyeto, au anatumia dildo au anajisaga
Wewe kama Hun Mchumba Wala Mume haja zako za kingono unamalizia Wapi?
Mtu anayefaa kuolewa hawezi kuachwa na wanaume, never. Ukiwa hufai hata kama mzuri vipi huwezi, tofauti na hapo lipatikane jitu lijilipuwe kutokana na huo uzuriHahahaha
Sure mkuu heshima ya mwanamke ni ndoa no elseMtu anayefaa kuolewa hawezi kuachwa na wanaume, never. Ukiwa hufai hata kama mzuri vipi huwezi, tofauti na hapo lipatikane jitu lijilipuwe kutokana na huo uzuri
Kwa hiyo mkuu ,unafikiri kila mtu anaendeshwa na ngono🤣🤣🤣
Enjoy ndoa yako mpya mkuu, mwenyewe natamani nipate toto zuri kama wewe niwe nalilalia usiku na weekendSure mkuu heshima ya mwanamke ni ndoa no else
HahahahaEnjoy ndoa yako mpya mkuu
Ina maana mkuu Robert Heriel Mtibeli ngono imekua hitaji la lazima.
Mimi sijaoa na sinunui Malaya wala kujichua nimefanya hivi makusudi ili hii nguvu ya kugonoka niitumie katika kazi .
So mtibeli ngono sio kila kitu
Ila utusome kwa akili sana humu, utaona watu walioshindwa wakikatisha tamaa. Lakini ndoa ni tamu sana, mnakula mzigo mzuri. KomaaHahahaha
Thanks to God Sina stress Tena
Mchawi bando tu.
Issue za Kingono ni Issues za mindset tu mkuu, huko kwa mapepo na sijui nguvu za kiroho , ni mambo yasiyokua na mashikoSiô Mimi ninayefikiri.
Ñgono NI Moja ya basic need Kwa Mwanadamu timamu.
MTU àmbaye hataki ñgono lazima awe Abnormal;
1. Afya yake inatatizo kûbwa hasa mambo ya mfumo wa vichocheo vya shauku ya ñgono na mfumo wa uzazi.
Mfumo wa uzazi upo automatic kwamba kûna Muda ubungo uta-command vichocheo vya Hamu ya ñgono
2. Anamapepo au Ñguvu za kiroho.
MTU mwenye Ñguvu za Giza au za kiroho Wakati mwingine HISIA za ñgono hutoweshwa.
Binadamu aliyekamilika ñgono siô tuu muhimu Bali lazima
Hiyo ni common sense tu wala haihitaji wana saikolojia. Ngono ni lazimaKwa binadamu WA kawaida ñgono NI lazima Mkûu.
Labda kûna tatizo somewhere
Uliza madaktari au wanasaikolojia watakuambia.
Mambo ya Humu nayaelewa sana na Huwa nayaacha Humu HumuIla utusome kwa akili sana humu, utaona watu walioshindwa wakikatisha tamaa. Lakini ndoa ni tamu sana, mnakula mzigo mzuri. Komaa