Wazazi wengine nao ni hovyo kabisa sasa hawa walikuwa wapi siku zote toka mwanao atoweke utafikiri huyo mtoto walimchuma mtini.
Wale wa Beny Saanane ndio kabisa hata habari hawana utafikiri walimtoa kafara mwanao. Hizo ndizo "Legacy" za huyu dikteta Magufuli, rais wa hovyo kuwahi kuonekana katika nchi hii.
Hapo ndio tunaweka sawa "legacy yake"!Wakuu taratibu basi, mtaharibu "legacy"!
Umekengeuka!!?Halafu nguruwe wanamlilia Mwendazake, pumbaaàavuúu
Labda wazazi wao wanajua mtoto wao yupo wapiWazazi wengine nao ni hovyo kabisa sasa hawa walikuwa wapi siku zote toka mwanao atoweke utafikiri huyo mtoto walimchuma mtini.
Wale wa Beny Saanane ndio kabisa hata habari hawana utafikiri walimtoa kafara mwanao. Hizo ndizo "Legacy" za huyu dikteta Magufuli, rais wa hovyo kuwahi kuonekana katika nchi hii.
Acha unafiki wewe ulikuwa mpiga debe wa Mwendazake Utaumiaje leoInaumiza Sana tusubirini tuone kama ukweli utajulikana
Kwani mama Samia hakuwa makamu wa raisi?Acha unafiki wewe ulikuwa mpiga debe wa Mwendazake Utaumiaje leo
Wewe ni mmoja wa wana JF ambaye mimi nimekuweka kwenye kundi la watu washenzi na wasiokua na huruma kabisa na bila shaka familia yako imekulea kikatili na ukawa zao la ukatili,hapa kuna familia ambazo they lost their loved one na wewe unakuja na maoni ya kishenzi kama haya badala ya kuombea hizi familia zipate closure ya what's happen kwa wapendwa wao,kweli humu ndani tuna mijitu katili na yenye roho mbaya mnoWazazi wengine nao ni hovyo kabisa sasa hawa walikuwa wapi siku zote toka mwanao atoweke utafikiri huyo mtoto walimchuma mtini.
Wale wa Beny Saanane ndio kabisa hata habari hawana utafikiri walimtoa kafara mwanao. Hizo ndizo "Legacy" za huyu dikteta Magufuli, rais wa hovyo kuwahi kuonekana katika nchi hii.
Pengine wewe nawe ulikuwa wale wale. Kuna wakati mama alitaka kuachia ngazi kutokana na matendo ovu ya MagufuriKwani mama Samia hakuwa makamu wa raisi?
Kutoweka kwa huyu mwandishi kunatatanisha kwani hata haijulikani alikuwa akiandika au akitafuta taarifa juu ya kitu gani ambacho kingeweza kuwa ndiyo sababu ya kutoweka kwake.
Hivi huko Mwananchi nao hawajui alikuwa akishughulika na habari gani?
Je kwenye magazeti ni habari zipi alizokuwa anaziandika, ili tujaribu kuunganisha doti?.
Hii ni tofauti kabisa na kutoweka kwa Ben Saanane, ambaye habarizilizosababisha apotee zinajulikana wazi.
Marehemu shetani mkuu aliyetamani kuongoza malaika ndiye muuaji mkubwa wa enzi zake04 June 2021
Baada ya kauli za kupingana kati ya ile ya waziri Prof. Palamagamba Kabudi wa serikali ya Tanzania alipohojiwa na BBC Swahili na ya msemaji wa Mkuu serikali ya Tanzania Dr. Hassan Abbas kuhusu kutoweka kwa mwandishi wa habari Azory Gwanda hapo mwezi November 2017. Msemaji wa serikali Dr. Hassan Abbas alisema serikali iliyokuwa chini ya hayati rais John Pombe Joseph Magufuli inafanya jitihada zote kujua kuhusu kutoweka kwa mwandishi Azory Gwanda.
Wazazi wa Azory Gwanda wameomba msaada wa serikali ya Mh. Samia Suluhu Hassan rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania iendelee kufuatilia kujua taarifa kamili juu ya suala la kupotea mwandishi huyo wa Mwananchi Media Corporation ili ieleweke kilichompata mwandishi huyo ili wazazi na familia ya Azory Gwanda wafahamu yaliyomkuta kama bado yupo hai au amefariki .
Source : CHADEMA MEDIA TV
... Sir; you've used too soft language! Please, condemn in strongest terms possible.Magufuli hakuwa mtu mwema
Alikuwa akichunguza na kuandika juu ya mauaji yaliyokuwa yakifanywa na Polisi huku Rufiji kwa kusingizio cha kuwatafuta watu waliokuwa wakiua viongozi na Polisi.Kutoweka kwa huyu mwandishi kunatatanisha kwani hata haijulikani alikuwa akiandika au akitafuta taarifa juu ya kitu gani ambacho kingeweza kuwa ndiyo sababu ya kutoweka kwake.
Hivi huko Mwananchi nao hawajui alikuwa akishughulika na habari gani?
Je kwenye magazeti ni habari zipi alizokuwa anaziandika, ili tujaribu kuunganisha doti?.
Hii ni tofauti kabisa na kutoweka kwa Ben Saanane, ambaye habarizilizosababisha apotee zinajulikana wazi.
Nakala ya Barua hiyo amepewa Naibu Katibu Mkuu wa Chadema Benson Kigaila ili aifikishe Ikulu mezani kwa Rais04 June 2021
Baada ya kauli za kupingana kati ya ile ya waziri Prof. Palamagamba Kabudi wa serikali ya Tanzania alipohojiwa na BBC Swahili na ya msemaji wa Mkuu serikali ya Tanzania Dr. Hassan Abbas kuhusu kutoweka kwa mwandishi wa habari Azory Gwanda hapo mwezi November 2017. Msemaji wa serikali Dr. Hassan Abbas alisema serikali iliyokuwa chini ya hayati rais John Pombe Joseph Magufuli inafanya jitihada zote kujua kuhusu kutoweka kwa mwandishi Azory Gwanda.
Wazazi wa Azory Gwanda wameomba msaada wa serikali ya Mh. Samia Suluhu Hassan rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania iendelee kufuatilia kujua taarifa kamili juu ya suala la kupotea mwandishi huyo wa Mwananchi Media Corporation ili ieleweke kilichompata mwandishi huyo ili wazazi na familia ya Azory Gwanda wafahamu yaliyomkuta kama bado yupo hai au amefariki .
Source : CHADEMA MEDIA TV
Yote ni sababu ya jiwe kuwa na uswahiba na PAKA akampa roho chafuInahuzunisha sana kuona Tanzania iliokuwa kisiwa cha amani. Leo hii imekuwa sehemu ambapo mioyo ya watu inavuja damu, machozi kuwalilia ndugu na jamaa waliopotea kwa mazingira yasioeleweka.