Ndo ujue tofauti ya akili ya ndumba na akili ya darasaniMafia wa nchi zilizoendelea ( Ulaya, Marekani na Mashariki ya Kati ) na zinazotumia Akili vyema wakifanya Tukio basi watatengeneza Mazingira wala wasijulikane kabisa kuwa ni Wao, ila Mafia wa Uswahilini ( hasa Barani Afrika ) wakifanya Tukio kutokana na ' Upumbavu / Upopoma ' wao wataliacha hivyo hivyo mpaka hata ' Mangumbaru / Wajinga ' watajua tu kuwa Wahusika ni Wao
04 June 2021
Baada ya kauli za kupingana kati ya ile ya waziri Prof. Palamagamba Kabudi wa serikali ya Tanzania alipohojiwa na BBC Swahili na ya msemaji wa Mkuu serikali ya Tanzania Dr. Hassan Abbas kuhusu kutoweka kwa mwandishi wa habari Azory Gwanda hapo mwezi November 2017. Msemaji wa serikali Dr. Hassan Abbas alisema serikali iliyokuwa chini ya hayati rais John Pombe Joseph Magufuli inafanya jitihada zote kujua kuhusu kutoweka kwa mwandishi Azory Gwanda.
Wazazi wa Azory Gwanda wameomba msaada wa serikali ya Mh. Samia Suluhu Hassan rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania iendelee kufuatilia kujua taarifa kamili juu ya suala la kupotea mwandishi huyo wa Mwananchi Media Corporation ili ieleweke kilichompata mwandishi huyo ili wazazi na familia ya Azory Gwanda wafahamu yaliyomkuta kama bado yupo hai au amefariki .
Source : CHADEMA MEDIA TV
Alikuwa akifatilia unyama uliofanywa kibiti ikiwemo ukatili na mauaji ya wasio na hatia kwa kuhisiwa tu eti ni magaidi ikapelekea wengi kuumizwa japo sio wahusika.But haki za watu huwa hazipotei bure.Kutoweka kwa huyu mwandishi kunatatanisha kwani hata haijulikani alikuwa akiandika au akitafuta taarifa juu ya kitu gani ambacho kingeweza kuwa ndiyo sababu ya kutoweka kwake.
Hivi huko Mwananchi nao hawajui alikuwa akishughulika na habari gani?
Je kwenye magazeti ni habari zipi alizokuwa anaziandika, ili tujaribu kuunganisha doti?.
Hii ni tofauti kabisa na kutoweka kwa Ben Saanane, ambaye habarizilizosababisha apotee zinajulikana wazi.
Hakika mkubwa ameliacha taifa katika hali ya mgawanyiko sana. Kiasi ambacho hata viongozi walioshika kijiti baada yake, wanakuwa na mzigo wa kurejesha tabasamu kwa Watanzania.Yote ni sababu ya jiwe kuwa na uswahiba na PAKA akampa roho chafu
Dawa ni wote walioshiriki uovu ni lzm wavune sabaya tayari bashite,musiba na wasiojulikana wakae mkao wa kuliwa kuni ziko jikoniHakika mkubwa ameliacha taifa katika hali ya mgawanyiko sana. Kiasi ambacho hata viongozi walioshika kijiti baada yake, wanakuwa na mzigo wa kurejesha tabasamu kwa Watanzania.
Ni kweli mkuu huo mnyororo wa hao watu ukifyekwa itakuwa vyema.Dawa ni wote walioshiriki uovu ni lzm wavune sabaya tayari bashite,musiba na wasiojulikana wakae mkao wa kuliwa kuni ziko jikoni
Ili kuliponya taifaNi kweli mkuu huo mnyororo wa hao watu ukifyekwa itakuwa vyema.
Ni kweli mkuu, uponyaji unahitajika ndani ya mioyo ya watu.Hii picha popote ilipo ichomwe moto hapa ni roho ya
Ili kuliponya taifa
Ndo ujue tofauti ya akili ya ndumba na akili ya darasani
Pombe alimuua Bwana Azory.04 June 2021
Baada ya kauli za kupingana kati ya ile ya waziri Prof. Palamagamba Kabudi wa serikali ya Tanzania alipohojiwa na BBC Swahili na ya msemaji wa Mkuu serikali ya Tanzania Dr. Hassan Abbas kuhusu kutoweka kwa mwandishi wa habari Azory Gwanda hapo mwezi November 2017. Msemaji wa serikali Dr. Hassan Abbas alisema serikali iliyokuwa chini ya hayati rais John Pombe Joseph Magufuli inafanya jitihada zote kujua kuhusu kutoweka kwa mwandishi Azory Gwanda.
Wazazi wa Azory Gwanda wameomba msaada wa serikali ya Mh. Samia Suluhu Hassan rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania iendelee kufuatilia kujua taarifa kamili juu ya suala la kupotea mwandishi huyo wa Mwananchi Media Corporation ili ieleweke kilichompata mwandishi huyo ili wazazi na familia ya Azory Gwanda wafahamu yaliyomkuta kama bado yupo hai au amefariki .
Source : CHADEMA MEDIA TV
Kumpa mganga wa kienyeji aongoze akili yako.Ujaona mtu msomi aliyeelimika kabisa anafanya mambo kama ajapita darasaniAkili ya ndumba ipoje??
Mkuu nakubaliana nawe, kwamba Mh. Rais aunde Tume Maalum ya Maridhiano na Upatanishi kwa matukio yote ya unyanyasaji, mateso, ukiukwaji wa Sheria na ukiukwaji wa Haki za Binadamu katika kupindi cha 2015-2021, ili kuleta mwafaka na wananchi kulijea katika shughuli zao kama kawaida. Kusiwepo tena makundi ya kikanda, kikabila, kimkoa, Kidini, ubaguzi kwenye vyama vya siasa na hata Mtanganyika na Mzanzibar. Hayati N. Mandela aliwahi kufanya hivyo kule Afrika ya Kusini alifanikiwa sana.Iundwe tume maalum kuchunguza haya matukio yaliyoshika kasi enzi za jiwe
Ingefaa iwe hivyo, lakini sioni utashi wa kufanya hivyo.Iundwe tume maalum kuchunguza haya matukio yaliyoshika kasi enzi za jiwe
Asante sana mkuu 'Bams' kwa taarifa hii iliyonipa mwanga zaidi kuliko nilivyowahi kuupata juu ya mwandishi huyu.Alikuwa akichunguza na kuandika juu ya mauaji yaliyokuwa yakifanywa na Polisi huku Rufiji kwa kusingizio cha kuwatafuta watu waliokuwa wakiua viongozi na Polisi.
Taarifa zisizo rasmi, watu zaidi ya 80 waliuawa. Hiyo ilisemwa na wabunge Zito na Bwege Bungeni. Lakini wapo waliofanywa vilema, wengine majina yao yalisomwa Bungeni.
Azory alikuwa akifanya uchunguzi ambao ungeianika Serikali katika kuua raia wake.
Asante mkuu 'kalonji'.Alikuwa akifatilia unyama uliofanywa kibiti ikiwemo ukatili na mauaji ya wasio na hatia kwa kuhisiwa tu eti ni magaidi ikapelekea wengi kuumizwa japo sio wahusika.But haki za watu huwa hazipotei bure.
Killing haijawahi kuwa solution Tza sio Rwanda.
mtu msomi aliyeelimika kabisa