Wazazi wa Azory Gwanda watuma barua kwa Rais Samia Suluhu Hassani

Ndo ujue tofauti ya akili ya ndumba na akili ya darasani
 

Mama Samia rais wetu anayo nafasi kubwa ya kulitibu taifa hili.

Nchi ilikuwa imechezewa sana na bila sababu za msingi.
 
Alikuwa akifatilia unyama uliofanywa kibiti ikiwemo ukatili na mauaji ya wasio na hatia kwa kuhisiwa tu eti ni magaidi ikapelekea wengi kuumizwa japo sio wahusika.But haki za watu huwa hazipotei bure.
Killing haijawahi kuwa solution Tza sio Rwanda.
 
Yote ni sababu ya jiwe kuwa na uswahiba na PAKA akampa roho chafu
Hakika mkubwa ameliacha taifa katika hali ya mgawanyiko sana. Kiasi ambacho hata viongozi walioshika kijiti baada yake, wanakuwa na mzigo wa kurejesha tabasamu kwa Watanzania.
 
Hakika mkubwa ameliacha taifa katika hali ya mgawanyiko sana. Kiasi ambacho hata viongozi walioshika kijiti baada yake, wanakuwa na mzigo wa kurejesha tabasamu kwa Watanzania.
Dawa ni wote walioshiriki uovu ni lzm wavune sabaya tayari bashite,musiba na wasiojulikana wakae mkao wa kuliwa kuni ziko jikoni
 
Dawa ni wote walioshiriki uovu ni lzm wavune sabaya tayari bashite,musiba na wasiojulikana wakae mkao wa kuliwa kuni ziko jikoni
Ni kweli mkuu huo mnyororo wa hao watu ukifyekwa itakuwa vyema.
 
Hii picha popote ilipo ichomwe moto hapa ni roho ya

Ili kuliponya taifa
Ni kweli mkuu, uponyaji unahitajika ndani ya mioyo ya watu.
Kutowawajibisha hawa watesi watu wataendelea kuona ni mwendelezo wa utawala wa yule.
 
nilisoma mahali humu kuwa kuna mtu alikula ya chuma ya kichwa live kwenyee jumba jeupe . Ni nani huyo?
 
Pombe alimuua Bwana Azory.
Pombe alifuga na kuteua majambazi na yakawa yanatumia silaha za moto tulizonunua kwa kodi za watanzania kuporea fedha kutoka kwetu sisi watanzania masikini kisha wanagawana.

Pombe alaaniwe! Maiti yake ife tena na tena!
Poleni sana wazazi, ndugu, jamaa na marafiki.
Pumzika kwa amani ndugu yetu mtanzania mwenzetu Azory Gwanda.
 
Iundwe tume maalum kuchunguza haya matukio yaliyoshika kasi enzi za jiwe
Mkuu nakubaliana nawe, kwamba Mh. Rais aunde Tume Maalum ya Maridhiano na Upatanishi kwa matukio yote ya unyanyasaji, mateso, ukiukwaji wa Sheria na ukiukwaji wa Haki za Binadamu katika kupindi cha 2015-2021, ili kuleta mwafaka na wananchi kulijea katika shughuli zao kama kawaida. Kusiwepo tena makundi ya kikanda, kikabila, kimkoa, Kidini, ubaguzi kwenye vyama vya siasa na hata Mtanganyika na Mzanzibar. Hayati N. Mandela aliwahi kufanya hivyo kule Afrika ya Kusini alifanikiwa sana.
 
Iundwe tume maalum kuchunguza haya matukio yaliyoshika kasi enzi za jiwe
Ingefaa iwe hivyo, lakini sioni utashi wa kufanya hivyo.

Na hata ingefanyika, hizi tume zinazoundwa naona ni kwa manufaa ya wanaoziunda; maana hadi sasa zilizoundwa taarifa za tume hizo zinabaki huko huko zilikoundiwa.
 
Asante sana mkuu 'Bams' kwa taarifa hii iliyonipa mwanga zaidi kuliko nilivyowahi kuupata juu ya mwandishi huyu.

Kwa hiyo inaeleweka wazi sasa serikali ndiyo inayotakiwa kutoa jibu kuhusu upotevu wake.
 
Alikuwa akifatilia unyama uliofanywa kibiti ikiwemo ukatili na mauaji ya wasio na hatia kwa kuhisiwa tu eti ni magaidi ikapelekea wengi kuumizwa japo sio wahusika.But haki za watu huwa hazipotei bure.
Killing haijawahi kuwa solution Tza sio Rwanda.
Asante mkuu 'kalonji'.

Kwa hakika "killing" haiwezi kuwa utatuzi wa kila jambo. Ni njia ya mkato ya kuondoa tatizo kwa muda, bila ya kuliondoa kwa muda mrefu.
 
Mimi naamini vitu vingine sio JIWE alikuwa anatuma bana, wao walikuwa wanajipendekeza kwa kuua, kuteka ili kumfuraihisha....na kama ulivyo ada kila binadamu anapenda sifa, akawa anaridhia hayo mambo...sasa afanyeje?[emoji848]

Au nasema uwongo ndugu zangu??

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…