Wazazi wa Azory Gwanda watuma barua kwa Rais Samia Suluhu Hassani

We we ni mmoja wa watu wajinga kabisa duniani. Hao wazazi umeambiwa wako aged 90 + years, too old to handle such big issues bado unakuja hapa kuandika huo ujinga
 
This is the beginning of the end, sorry the end of the beginning..
 
Siku ya hukumu mwendazake hatopaswa kusomewa mashitaka aise ..yani yeye ni moja kwa moja motoni huko aendelee kuwaka tu hata sasa tuna iman yupo anaungua tu, tunaomba mkuu wa kuzimu aongeze kuni zaid na zaid kwa huyu mwendazake.

Kwanini unasema hivyo? Shida yetu ni kukosa balanced story. Ule ulikuwa uwanja wa vita. Nini hasa kilitokea na nani aliyefanya hayo?
 

 
Asante mkuu 'kalonji'.

Kwa hakika "killing" haiwezi kuwa utatuzi wa kila jambo. Ni njia ya mkato ya kuondoa tatizo kwa muda, bila ya kuliondoa kwa muda mrefu.
Killing ufanywa na watu wasiojiamini,wasioelimika.
Aliyelimika ukuuwa kwa point
 
Simon Kanguye alimkosoa nini Mwendazake be specific?
 
Alikuwa akifatilia unyama uliofanywa kibiti ikiwemo ukatili na mauaji ya wasio na hatia kwa kuhisiwa tu eti ni magaidi ikapelekea wengi kuumizwa japo sio wahusika.But haki za watu huwa hazipotei bure.
Killing haijawahi kuwa solution Tza sio Rwanda.
Matukio Kibiti yalikuepo au ni uzushi?

Wakazi wa Kibiti walitoa ushirikiano gani kukomesha matukio hayo?

Walitoa kwa hiari au nguvu?

Matukio yaliendelea au yalikoma?

Kwa maoni yako mbinu ipi bora ingelitumika kukomesha matukio yale?
 
Poleni kwa ambao mnaumia kwa kitu msichokijua
 
Kwani mama Samia hakuwa makamu wa raisi?
Huna taarifa kwamba kuna wakati alitaka kujiuzuru? Akakataliwa? (System ilimzuia)

Unafikiri kwa nini alifikia hatua hiyo?

Umechelewa sana kumjua Jiwe.
 

hapa ndio namkubali jamaa yako PK, kwenye mambo kama haya huwa haachi traces kabisa ...
Wakwetu inaonekana wengi ni knovice kwenye kazi....Ona lile tukio la TL yaani ni utoto kabisa..
 
hapa ndio namkubali jamaa yako PK, kwenye mambo kama haya huwa haachi traces kabisa ...
Wakwetu inaonekana wengi ni knovice kwenye kazi....Ona lile tukio la TL yaani ni utoto kabisa..
Waje ( Wanione ) niwafanyie ' Free Consultation ' juu ya ' Matukio ' haya na hakuna Mtanzania ambaye anaweza Kuwagundua ( Kuwashtukia ) pale wakiwa wanayafanya. Huwezi ' Kupikwa ' vyema na akina Museveni na Kagame katika ' Umafia ' halafu ukawa Ngumbaru ( Mjinga ) au Popoma ( Mpumbavu )
 
Alikuwa anaandika na kufuatilia kisa na mikasa wa yale mauaji ya kutatanisha kule Kibiti...
 
Yani we kweli hamnazo. Yani uende ukaombe msaada kwa muuaji mwenyewe?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…