We we ni mmoja wa watu wajinga kabisa duniani. Hao wazazi umeambiwa wako aged 90 + years, too old to handle such big issues bado unakuja hapa kuandika huo ujingaWazazi wengine nao ni hovyo kabisa sasa hawa walikuwa wapi siku zote toka mwanao atoweke utafikiri huyo mtoto walimchuma mtini.
Wale wa Beny Saanane ndio kabisa hata habari hawana utafikiri walimtoa kafara mwanao. Hizo ndizo "Legacy" za huyu dikteta Magufuli, rais wa hovyo kuwahi kuonekana katika nchi hii.
Siku ya hukumu mwendazake hatopaswa kusomewa mashitaka aise ..yani yeye ni moja kwa moja motoni huko aendelee kuwaka tu hata sasa tuna iman yupo anaungua tu, tunaomba mkuu wa kuzimu aongeze kuni zaid na zaid kwa huyu mwendazake.
04 June 2021
Baada ya kauli za kupingana kati ya ile ya waziri Prof. Palamagamba Kabudi wa serikali ya Tanzania alipohojiwa na BBC Swahili na ya msemaji wa Mkuu serikali ya Tanzania Dr. Hassan Abbas kuhusu kutoweka kwa mwandishi wa habari Azory Gwanda hapo mwezi November 2017. Msemaji wa serikali Dr. Hassan Abbas alisema serikali iliyokuwa chini ya hayati rais John Pombe Joseph Magufuli inafanya jitihada zote kujua kuhusu kutoweka kwa mwandishi Azory Gwanda.
Wazazi wa Azory Gwanda wameomba msaada wa serikali ya Mh. Samia Suluhu Hassan rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania iendelee kufuatilia kujua taarifa kamili juu ya suala la kupotea mwandishi huyo wa Mwananchi Media Corporation ili ieleweke kilichompata mwandishi huyo ili wazazi na familia ya Azory Gwanda wafahamu yaliyomkuta kama bado yupo hai au amefariki .
Source : CHADEMA MEDIA TV
Killing ufanywa na watu wasiojiamini,wasioelimika.Asante mkuu 'kalonji'.
Kwa hakika "killing" haiwezi kuwa utatuzi wa kila jambo. Ni njia ya mkato ya kuondoa tatizo kwa muda, bila ya kuliondoa kwa muda mrefu.
Alifadhili ugaidi kwa kalamu?Kibiti Saga....
Alikuwa gaidi?Kupotea kwa Azory wahusika ni JWTZ ,wao ndiyo waliompoteza wakati wa operesheni zao Kibiti.
Simon Kanguye alimkosoa nini Mwendazake be specific?Kwa kweli inauma sana.
Nikikumbuka kupotezwa kwa Ben Saanane, Azory Gwanda, Kanguye, kushambuliwa kwa Tundu Lisu, kuwabbikia watu kesi za uhujumu uchumi, n.k. - sababu kubwa ni kumkosoa tu, naamini kabisa yule bwana alikuwa ni sehemu ya utawala wa shetani. Hakuwahi kumjua Mungu wa kweli, na Kanisani alienda kuwadhihaki wana wa Mungu, na siyo kufanya toba au kumwabudu Mungu wa Kweli.
Matukio Kibiti yalikuepo au ni uzushi?Alikuwa akifatilia unyama uliofanywa kibiti ikiwemo ukatili na mauaji ya wasio na hatia kwa kuhisiwa tu eti ni magaidi ikapelekea wengi kuumizwa japo sio wahusika.But haki za watu huwa hazipotei bure.
Killing haijawahi kuwa solution Tza sio Rwanda.
Mkuu, mbona tunakoseana heshima!Alifadhili ugaidi kwa kalamu?
Alipekenyua kuambia dunia kinachoendelea kibiti....umesahau vile biroba coco beachAlifadhili ugaidi kwa kalamu?
Alikuwa analipwa na nani kufanya upekenyuzi huo?Alipekenyua kuambia dunia kinachoendelea kibiti....umesahau vile biroba coco beach
Huna taarifa kwamba kuna wakati alitaka kujiuzuru? Akakataliwa? (System ilimzuia)Kwani mama Samia hakuwa makamu wa raisi?
Mafia wa nchi zilizoendelea ( Ulaya, Marekani na Mashariki ya Kati ) na zinazotumia Akili vyema wakifanya Tukio basi watatengeneza Mazingira wala wasijulikane kabisa kuwa ni Wao, ila Mafia wa Uswahilini ( hasa Barani Afrika ) wakifanya Tukio kutokana na ' Upumbavu / Upopoma ' wao wataliacha hivyo hivyo mpaka hata ' Mangumbaru / Wajinga ' watajua tu kuwa Wahusika ni Wao
Waje ( Wanione ) niwafanyie ' Free Consultation ' juu ya ' Matukio ' haya na hakuna Mtanzania ambaye anaweza Kuwagundua ( Kuwashtukia ) pale wakiwa wanayafanya. Huwezi ' Kupikwa ' vyema na akina Museveni na Kagame katika ' Umafia ' halafu ukawa Ngumbaru ( Mjinga ) au Popoma ( Mpumbavu )hapa ndio namkubali jamaa yako PK, kwenye mambo kama haya huwa haachi traces kabisa ...
Wakwetu inaonekana wengi ni knovice kwenye kazi....Ona lile tukio la TL yaani ni utoto kabisa..
Alikuwa anaandika na kufuatilia kisa na mikasa wa yale mauaji ya kutatanisha kule Kibiti...Kutoweka kwa huyu mwandishi kunatatanisha kwani hata haijulikani alikuwa akiandika au akitafuta taarifa juu ya kitu gani ambacho kingeweza kuwa ndiyo sababu ya kutoweka kwake.
Hivi huko Mwananchi nao hawajui alikuwa akishughulika na habari gani?
Je kwenye magazeti ni habari zipi alizokuwa anaziandika, ili tujaribu kuunganisha doti?.
Hii ni tofauti kabisa na kutoweka kwa Ben Saanane, ambaye habarizilizosababisha apotee zinajulikana wazi.
Yani we kweli hamnazo. Yani uende ukaombe msaada kwa muuaji mwenyewe?Wazazi wengine nao ni hovyo kabisa sasa hawa walikuwa wapi siku zote toka mwanao atoweke utafikiri huyo mtoto walimchuma mtini.
Wale wa Beny Saanane ndio kabisa hata habari hawana utafikiri walimtoa kafara mwanao. Hizo ndizo "Legacy" za huyu dikteta Magufuli, rais wa hovyo kuwahi kuonekana katika nchi hii.
Kwasababu alikuwa muovu.Nduli Fashisti alikuwa mtu mbaya Sana, sijui kwanini alikuwa anaziogopa Sana kalamu za waandishi wa habari?