Wazazi wa mtoto huyu watakesha wanabubujikwa machozi ya furaha na kumuombea maisha marefu Rais Samia


Amefanya vizuri sana Mama Samia...Hongera Kwake.
 
Mimi ni Rais wa wapi??
Auunafikiri Rais ni kama wewe??
Kwa hiyo unasubiri hadi uwe Rais ndio usaidie watu? Ni wapi katika majukumu ya Rais au katika katiba au sheria yoyote ile inasema Rais analazimika kuwasaidia kupata miguu au mikono bandia wale waliovunjika? Hujuwi kuwa huo ni moyo wa huruma na upendo wa Rais Samia kaka kiongozi na mzazi mwenye uchungu na maisha ya watu?
 
Wewe hujitambui!
Kwa nafasi yangu nawasaidia wengi!
Lakini SSH kwa nafasi yake anapaswa kujikita kusaidia waTanzania wote kwa usawa ule ule. Ni jukumu lake kisera na kisheria kama kiongozi!
Moyo wa huruma kwa mtu mmoja mmoja anayejitokeza kwenye ziara zake tafsiri nyepesi ni kuwa anawatumia kwa manufaa binafsi ya kisiasa!

Na kama unaona Rais wako yupo sawa basi yeye, wewe na wenzako hamjui majukumu ya Rais wa nchi.
Endeleeni!
 
Kwamba amesafiri(V8 200+) kwenda kutoa mguu wa bandia ambao hata wewe ungeweza kununua? shame on you
 
We ndo bumunda haswaaa, kama syo kodi zetu angesomesha.
Tatizo wewe ni parasite huna unachochangia kwa wanafunzi kusoma
 
We ni mwehu,hujitambui, poyoyo.
Bila jitihada za Malisa kwa juhudi zake binafsi na si kwa kodi za watanzania, ameweza kosomesha waloshindwa kusomeshwa ma SSH,ingia kwa page yake fb utaona maana kukuambia tu huku kichwa chako ni sawa na pango la nyoka
 
Naanza kuhisi tunashindana na mwehu asiyejua RAIS wa JMT ni nani
 
Hii ni zaidi ya wivu... Ni UPENDELEO wa wazi!
Anyways, unaweza kuweka bayana vigezo vilivyotumika kumpa huyo mtoto hiyo nafasi huku wengine nchi nzima hawajui hatma yao?

Use your brain wisely if at all you have it!
Mbona swali lako halina mantiki ndugu yangu? Kwani katiba na sheria inasema nini mtu akiugua na kupata matatizo kama aliyoyapata huyo mtoto au yule mama aliyesaidiwa pale mji mdogo wa Mlowo kulipiwa matibabu ya mtoto wake au yule mwingine ambaye amepata majereha kutokana na ajali?? Kwanini mnashindwa kupongeza panapostahili kufanya hivyo.kumbuka Mh Rais hawajibika kumtibu kila mtu mwenye ugonjwa hapa nchini.hats Marekani tu kwenyewe hakuna suala la namna hiyo.anachofanya Rais wetu ni huruma na upendo tu alionao Mama yetu kama Mzazi.
 
Najuwaga hunaga akili mdogo wangu ila sikujua kama umefikia hukuπŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
Hata kwa posho yako ya UWT ungeweza kununua hauzidi laki 2, hapo hapo kuna RC/RAS/RMO/REO/DC/DAS/DED/Mbunge/DMO/DEO/madiwani wote hao wameshindwa kutoa mguu wa bandia wa laki 2 mpaka Rais aje kuahidi? shame on you
 
Hata kwa posho yako ya UWT ungeweza kununua hauzidi laki 2, hapo hapo kuna RC/RAS/RMO/REO/DC/DAS/DED/Mbunge/DMO/DEO/madiwani wote hao wameshindwa kutoa mguu wa bandia wa laki 2 mpaka Rais aje kuahidi? shame on you
Wewe Umenunulia wangapi mpaka sasa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…