Wazazi wengi hawana Home Curriculum ( Mtaala wa Nyumbani)

Wazazi wengi hawana Home Curriculum ( Mtaala wa Nyumbani)

Wanaosema kwamba Bora shule zifinguliwe ili mtoto atoke nyumbani ni dalili ya umasikini.Maana unakuta mtu Hana shughuli yeyote nyumbani ya kufanya mwanafunzi aifanye ili asionekane kama kero. Wewe mtu anakajumba kiwanja Cha 20×20 hakuna hata ufugaji nyumbani zaidi ya kuangalia TV hapo lazima atamani shule zifunguliwe.Pamoja na Hivyo,EM ni nzuri kuliko shule za serikali.
Uzuri wake Nini?
 
Bila ya kuwa biased jamaa yapo umeongea ukweli sema utapingwa kuwa huna hela.

Kiukweli hata mie siungi mkono mtoto kuamshwa asubuhi inabidi alale mpaka aaamke mwenyewe Mana bado mtt ni mchanga seli zinakuwa so inabidi aenjoi utoto wake, alale vya kutosha na acheze vya kutosha, wa kwangu wanalala na mchana wakishakula chakula.
Ishu iliyopo watu wanaiona shule kuwa ni Kila kitu, Ila sio ivyo. Elimu ni part ya maisha yetu Ila haitakiwi kukuzwa ama kuabudiwa kiivyo. Pia am sure wazazi wanaojielewa na waliosoma wanajua Mana ya kusoma sidhani Kama wanapeleka EM sema Kuna kaulimbukeni Fulani. Mie wakati nasoma Kuna kijana wa raisi mstaafu kikwete alikuwa anasoma pale kibaha boys sema mie nilikuwa ilboru enzi hizo.
Kusoma mie najua Ile ari ya mtu kutaka kujua kitu,


Elimu jamaa akaiongea vizuri mno Mana ya neno education ni kutoa ama kusaidia mtu kile kilichomo ndani yake kitoke kije nje Ila sio kukaririshana Kama kasuku mtt apate A zote. Binafsi nimepata hizo A nimepata wani both o&A levels Ila mie siwezi kumkomalia mwanangu ili apate alama nzuri Bali nitamkomalia ajiandae kupambana na dunia ambao ni binadamu, yaani emotional intelligence Is greater and far better then Intelligence quotient aka EQ
 
Facts…Shule bora ni zile za mtaala wa Cambrige!! Too bad watanganyika wengi almost 98% Hatuwez kuzimudu gharama zake.
Exactly hizo shule bora Sio hizi za milioni 2 Kwa mwaka..

Ni sawa na mtu afungue studio yake ya kurekodi muziki halafu aseme ana rekodi single Kwa elfu 20 wakati studio nzuri wimbo ni kuanzia milioni moja. Siwezi peleka wimbo wangu Kwa sababu najua hakuna quality.
 
Mdau akadai na ameeleezea Mana ya neno elimu sema inatumika vibaya , mie kwenda kukariri rangi za benders ya taifa zinamaanisha nini ama hesabu za quadratic equations..I don't need them to live in this universe.
Kwa wasiojua Mana ya elimu ni hii hapa.

The word "education" comes from the Latin words educare and educere, which mean "to bring up" and "to lead out" respectively.

Explanation
  • Educare: Means to train, mold, nourish, or bring up

  • Educere: Means to lead out, draw out, manifest, or pull out
The word "educate" comes from the Latin word educare. The word "educator" comes from the Latin word educare plus the suffix "-tor" which means agent.
 
The word 'EDUCATION' is derived from the Latin words—Educare, Educere, Educo and Educatum 'Educare' means 'to bring up'or to 'nourish', 'Educere'means. 'To draw out' or to 'manifest' 'Educo' means 'to lead out of' 'Educatum' means ' Act. of teaching or instruction''Educere'means To draw out or to manifest.
 
Bila ya kuwa biased jamaa yapo umeongea ukweli sema utapingwa kuwa huna hela.

Kiukweli hata mie siungi mkono mtoto kuamshwa asubuhi inabidi alale mpaka aaamke mwenyewe Mana bado mtt ni mchanga seli zinakuwa so inabidi aenjoi utoto wake, alale vya kutosha na acheze vya kutosha, wa kwangu wanalala na mchana wakishakula chakula.
Ishu iliyopo watu wanaiona shule kuwa ni Kila kitu, Ila sio ivyo. Elimu ni part ya maisha yetu Ila haitakiwi kukuzwa ama kuabudiwa kiivyo. Pia am sure wazazi wanaojielewa na waliosoma wanajua Mana ya kusoma sidhani Kama wanapeleka EM sema Kuna kaulimbukeni Fulani. Mie wakati nasoma Kuna kijana wa raisi mstaafu kikwete alikuwa anasoma pale kibaha boys sema mie nilikuwa ilboru enzi hizo.
Kusoma mie najua Ile ari ya mtu kutaka kujua kitu,


Elimu jamaa akaiongea vizuri mno Mana ya neno education ni kutoa ama kusaidia mtu kile kilichomo ndani yake kitoke kije nje Ila sio kukaririshana Kama kasuku mtt apate A zote. Binafsi nimepata hizo A nimepata wani both o&A levels Ila mie siwezi kumkomalia mwanangu ili apate alama nzuri Bali nitamkomalia ajiandae kupambana na dunia ambao ni binadamu, yaani emotional intelligence Is greater and far better then Intelligence quotient aka EQ

100% Fact mkuu.

This is what I have been always talking about.
 
Binafsi nilisema Kama ni kupeleka mwanangu shule za private basi nipeleke uk kabisa ama USA, Japan , Finland,Norway or Germany Ila Kama nimeshindwa ni Bora asomee hapa hapa kayumba za kibongo.
Ama mpeleke hata Ghana na wanatoa English nzuri copy right na ya muingereza..waghana ndio wanaofundisha English kwa shule za Asia ambazo hazitumii English Kama lugha mama yao.
Kilichoniudhi Tena hizo so em nimefundishapo muda Fulani huku career job yangu sijaipata, kinachofanyika huko ni wazazi kuaminishwa kuwa Wana wao wanapata elimu Bora. Wako shallow mno,
Pia hata English yenyewe hawajui , wafanyakazi wengi mpaka walimuona Wenyewe wanaongea kiswahili Sasa ni nini Mana ya English ilitakiwa kuanzia getini mlinzi ni full English,mpishi ,wafanyanya usafi ili mtt akiwa pale ana feel Ile English taste.
Ila Kama ishu ni English mtu anaweza akajifunza akajua ishu kubwa akawa na nia
 
Kaangalie iyo kuwa muandae mwanao kwa Maisha na sio standardized tests
Screenshot_20250119-122712.png
 
Tunakoelekea hata wanaokula nyama tutaanza kuwafokea, unakulaje nyama wakati dagaa na michicha vipo, kula nyama ya elf kumi wakati dagaa ni buku ni upumbavu......

Tutafute hela.

Au kula chips kuku broiler. Unanunua chips kuku broiler Kwa sh elfu 8 plus soda. Halafu mtu akwambie kwanini unakula chipsi kuku broiler Kwa sh elfu elfu nane wakati ungeweza kula ugali na spinach?

Anyways Kwa hoja yako hii unaweza kumuona mtu huyu hana hela lakini ukiwazs vizuri Zaidi utagundua kuwa mtu huyu ana hekima Kwa sababu mtu mwenye hekima anajua kuku broiler ni sumu ambayo hutakiwi kulipa hata senti5.


As a matter of fact mpaka Leo sijui kwanini Tanzania nyama inauzwa elfu Kumi kilo moja huku spinach ikiuzwa sh mia Tano fungu wakati spinach ina faida za kiafya mara mia ya nyama ambayo pia ni sumu.

Jibu ni moja tu ignorance


So suala Sio kutokuwa na hela suala ni kuwa na hekima na busara
 
Binafsi nilisema Kama ni kupeleka mwanangu shule za private basi nipeleke uk kabisa ama USA, Japan , Finland,Norway or Germany Ila Kama nimeshindwa ni Bora asomee hapa hapa kayumba za kibongo.
Ama mpeleke hata Ghana na wanatoa English nzuri copy right na ya muingereza..waghana ndio wanaofundisha English kwa shule za Asia ambazo hazitumii English Kama lugha mama yao.
Kilichoniudhi Tena hizo so em nimefundishapo muda Fulani huku career job yangu sijaipata, kinachofanyika huko ni wazazi kuaminishwa kuwa Wana wao wanapata elimu Bora. Wako shallow mno,
Pia hata English yenyewe hawajui , wafanyakazi wengi mpaka walimuona Wenyewe wanaongea kiswahili Sasa ni nini Mana ya English ilitakiwa kuanzia getini mlinzi ni full English,mpishi ,wafanyanya usafi ili mtt akiwa pale ana feel Ile English taste.
Ila Kama ishu ni English mtu anaweza akajifunza akajua ishu kubwa akawa na nia
100%=Fact.

Financial Analyst
 
Binafsi nilisema Kama ni kupeleka mwanangu shule za private basi nipeleke uk kabisa ama USA, Japan , Finland,Norway or Germany Ila Kama nimeshindwa ni Bora asomee hapa hapa kayumba za kibongo.
Ama mpeleke hata Ghana na wanatoa English nzuri copy right na ya muingereza..waghana ndio wanaofundisha English kwa shule za Asia ambazo hazitumii English Kama lugha mama yao.
Kilichoniudhi Tena hizo so em nimefundishapo muda Fulani huku career job yangu sijaipata, kinachofanyika huko ni wazazi kuaminishwa kuwa Wana wao wanapata elimu Bora. Wako shallow mno,
Pia hata English yenyewe hawajui , wafanyakazi wengi mpaka walimuona Wenyewe wanaongea kiswahili Sasa ni nini Mana ya English ilitakiwa kuanzia getini mlinzi ni full English,mpishi ,wafanyanya usafi ili mtt akiwa pale ana feel Ile English taste.
Ila Kama ishu ni English mtu anaweza akajifunza akajua ishu kubwa akawa na nia
Walimu wenyewe wanaongea Kiswahili nyumbani Hadi ofisini kasoro akiwa darasani tu. Halafu eti ndio uniambie nilipie mamilioni mtu kama huyo anifundishie wanangu si nitakuwa na kichaa
 
Kuna mtt anamaaliza degree yaani hajui hata skill yoyote Ile ya kimaisha zaidi ya cheti chake ambacho kinamdhihirishia kuwa aliikariri vizuri. Iko shule inapima aina mbili za human intelligence out of nine natural human intelligence.
Binadamu wanao aina tisa za vipaji Ila shule bana inapima aina mbili tu za vipaji.
Kuna uelewa wa mambo na ulimbukeni.

Yaani mie nimetoka kayumba primary tu nikafika secondary vipaji sijui vya kukariri tabora boys nikakutana na WA Em nikawa naongea na English, nikashangaa adi English nikawazidi , mtihani wote nikawazidi nikatokea kuona kumbe sio kuwa em inamuongezea mtu akili, yaani kuwa USA sio kuwa ndio tiketi ya wewe kuwa tajiri , hata hapa hapa afrika waweza kuwa tajiri...sema bana middle or lower class income earn huwa wanajifariji kuwa. GOING OUTSIDE AND BUYING EXPENSIVE CIGARETTE WILL MAKE YOU RICH BUT IN REALITY WILL MAKE YOU LOOK RICH..SPENDERS WENGI NI MASIKINI NA WANAJISIFU KUWA NIMENUNUA SIMU YA MILIONI TANO ILI NA YEYE AZIBE LILE PENGO LAKE LA UMASIKINI NAFSINI MWAKE, ANAWAHI KUNUNUA GARI UKIMUULIZA LOGIC REASON HANA ZAIDI YA KUONGEA EMOTIONS ZAKE WAKATI REASON BEHIND NI KU INFLATE HIS EGO ili na yeye aonekane. Yaani mtu ananunua gari anataka dunia nzima ujue, akipanda ndege lazima dunia ujue just na yeye aonekane wa thamani so unakuta anayo Ile inferiority complex, Hawa watu wawili ni tofauti na wale waliozoea magari mpaka hausegeli na shamba boy walikuwa wanapewa magari ya kutumia.
Na mtt akipanda ndege tokea akiwa tumboni, Kuna jamaa mmoja alidai yeye ameanza kuona magari kwao akiwa tumboni kwa mama yake, Sasa acha sie tuliona ng'ombe kabla ya kuzaliwa Sasa ukizipata lazima uvimbe utembee viwanja vyote na ule mademu wote Mana ulikuwa huna uwezo wa kuwapa bila ya gari , so ni gari inakusaidia Ila kwa confidence man anakula Kila aina ya mbususu cheaply.
Yaani Kuna gap kwenye soul so Kila mtu huwa anataka kuliziba Ile hali ya kukulia kwenye umasikini anadharaulika anataka Kama kulipiza kisasi. Kuna jamaa mmoja alijenga akawa anawaambia wake za marafiki zake kuwa wamtembelee ili waone alipojenga.
Mie mtu akiniuliza kuwa umejenga namwambia mie naishi huko simjibu Kama nimejenga ama sijajenga. Kuna mtu anafanya kitu kutafuta validation, sense of Mattering, lile gap la inadequacy so anataka kuliziba ili awe adequacy, hizi Mambo Zina rise from psychological points of view.
Mtu haijasoma na alitamani mno kusoma na alikomaa kwa juhudi zake zote Ila elimu ikamkataa akala zero Sasa ngoja aje apate hela kuzidi wasomi lazima atatumia wasomi as reference aliyekuwa anamzidi class Ila saivi maishani anamzidi pesa lazima Naye atavimba na kusema kuwa ninawazidi wasomi hela Tena wenye masters nimeajiri wasomi nawalipa na huku mie sijasoma so hapa anaponya maumivu yake ya siku nyingi mno Naye anajisikia kupumua Mana alikuwa amebanwa ama amebeba vitu ama mizigo kwenye nafsi yake. Hii mizigo ni Ile kinyongo,chuki, wivu, husuda, kisasi, tamaa ,kiburi etc ambayo Yesu alisema kuwa itueni mizigo ili nafsi zetu ziwe nyepesi ziwe huru Ila Sasa umezibebesha mizigo.
Mtu alitoswa na demu Ila Sasa akizipata anaenda kumringishia wakati pendo ni natural thing Kama mtu hakupendi kwa jinsi wewe ulivyo basi akija kupenda baadaye sio Bali ni hiyo status uliyo nayo so siku ikitoka huna mtu anayesema kuwa anakupenda.
Let us be truly and sincerely and genuinely people who mean what we say.
Mie Niko advance bro ananiambia kuwa aninulie simu namwambia kuwa ya nini.
Sikutaka kuwahi na simu ili I validate my worth, value, sense of Mattering, adequacy and acceptable among of peers.deep down within my soul am satisfied and full , I don't see myself as buildings, skyscrapers, cars, education, gazillion zeroes in my bank account or any kind of physical possessions will validate my worth as human living.
We don't live at all , we spend our whole life chasing those things thinking that after owning them then we'll start living and feel ego and better than other persons around us but with time or after acquiring those shits you'll realize life isn't all about those bullshits, we live in cage of so called life defined or set by others according to their own terms.



Having my own farm full of vegetables, all kinds of seed fruits, beehives full of honey, 5 milk cows , dams full of all kinds of fishes,goats and sheeps, hens and local chickens giving me plenty of eggs, donkey for carrying luggage, horse for transport in remote area.
Practicing meditations and calm of mind, having sitting and sleeping surrounded by trees full of wild birds for is kind of utajiri never imaginable.
I don't need anyone to define me what's the life and follow so called crowd or majority path or mindset.
Having eating natural foods ie direct from my roots ie soils for me I don't know how I can definitely define this wealth.
Without forgetting enough field for playing with my family at the evening.
 
Walimu wenyewe wanaongea Kiswahili nyumbani Hadi ofisini kasoro akiwa darasani tu. Halafu eti ndio uniambie nilipie mamilioni mtu kama huyo anifundishie wanangu si nitakuwa na kichaa
Elimu ama mtaala ni ule ule yaani hao walimuona Wenyewe class wanapiga story kwa kiswahili , hakuna walio serious pia English isn't a big deal sema kwetu walalahoi inaonekana ni big deal, huhitaji English ili uendelee ama uwe daktari Kama ndio ivyo how about Chinese people. We need to convert people's mindset which is very hardest work ever to do
 
Kuna miaka kadhaa nilisomea EM pale nilijua English kwa kiasi fulani tu (ile english ya darasani kupunguza kusema the the the nyingi)
...
Mbali na kujua English mambo ni yale yale kama kayumba huenda kayumba ikawa bora zaidi, inahitaji mtoto awe very talented kama unataka pesa yako isipotelee English Mediums
Watoto wengi(sio wote) wa EMs wanajua mambo juu juu
...
NB: Ukubwa wa ada haumaanishi elimu inayotolewa ni bora
...
"School fees is not directly proportional to quality of education, when other factor are constant"
 
Back
Top Bottom