Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mmewaloga Msigwa na Upendo wamepata vigugumizi vya utu uzima na kuweweseka.Si watu ninyi.hadi mjini bado mnashiriki ushirikina sio, watu majasiri nyie 🐒
Wacha weeee za ndani kabisa hizi, nawe ni mmoja wa wazee wa mkoa wa Singida au sio.....ni kwa upendo na mapenzi makubwa, wazee wa mkoa wa singida wanapanga kukutana, kujadili na kuamua mustakabali wa siasa za kijana wao mpendwa Tundu Antipas Lisu kutokana na hali yake ilivyo, hasa baada ya kuthibisha mwenyewe juu ya utimamu wa mwili wake, ukilinganisha na majukumu na kazi nzito, muhimu na ya maana sana anayoipambania, mathalani kua mwenyekiti wa Chadema...
kulingana na wazee hao, Lisu anapewa machaguo matatu tu,
ni ama apumzike na heka heka za siasa kuimarisha uimara wa utimamu wa mwili wake, ambapo umeumizwa sana...
au kuacha mapambano ya siasa kabisa ili kuzingatia na kupata fursa na muda mwingi zaidi wa kutosha kujikarabati ili kua madhubuti huko mbeleni....
au baadhi ya wazee wnapendelea kama anaendelea na siasa na hali aliyonayo basi ajiunge CCM kwani huko ataepukana na misukosuko mingi na kupata ahueni kubwa hata ya kudeal na masuala kadha wa kadha binafsi ya kimwili na kifamilia kwa amani na uhakika zaidi..
unadhani wazee hawa watafanikiwa kumshawishi kijana wao kukubali ushauri wao?
una maoni gani kama mwananchi, ingawa body language na tones ya Lisu pia inaashria kuna safari ya kuelekea CCM wakati wowote 🐒
Muamini bro wako.😂Wacha weeee za ndani kabisa hizi, nawe ni mmoja wa wazee wa mkoa wa Singida au sio.....
Hao wazee wa wapi?No, hapana,
wazee wanampenda na wanamkubali kimyama ila hali halisi yake tu ndio vimewatia hofu na kuona wanalo jukumu la kumpatia muongozo kidogo kama tiba ya hali yake 🐒
Unawezakuta ni kina mzee magomabaada ya kikao chao wataandika majina na watafahamika relax gentleman 🐒
mimi ni miongoni mwa wazee vijana nchi hii,Wacha weeee za ndani kabisa hizi, nawe ni mmoja wa wazee wa mkoa wa Singida au sio.....
Hamumpati ng'o huyo Lissu, pamoja na mikakati mingi sana, mnayoipanga hivi sasa.ni kwa upendo na mapenzi makubwa, wazee wa mkoa wa singida wanapanga kukutana, kujadili na kuamua mustakabali wa siasa za kijana wao mpendwa Tundu Antipas Lisu kutokana na hali yake ilivyo, hasa baada ya kuthibisha mwenyewe juu ya utimamu wa mwili wake, ukilinganisha na majukumu na kazi nzito, muhimu na ya maana sana anayoipambania, mathalani kua mwenyekiti wa Chadema...
kulingana na wazee hao, Lisu anapewa machaguo matatu tu,
ni ama apumzike na heka heka za siasa kuimarisha uimara wa utimamu wa mwili wake, ambapo umeumizwa sana...
au kuacha mapambano ya siasa kabisa ili kuzingatia na kupata fursa na muda mwingi zaidi wa kutosha kujikarabati ili kua madhubuti huko mbeleni....
au baadhi ya wazee wnapendelea kama anaendelea na siasa na hali aliyonayo basi ajiunge CCM kwani huko ataepukana na misukosuko mingi na kupata ahueni kubwa hata ya kudeal na masuala kadha wa kadha binafsi ya kimwili na kifamilia kwa amani na uhakika zaidi..
unadhani wazee hawa watafanikiwa kumshawishi kijana wao kukubali ushauri wao?
una maoni gani kama mwananchi, ingawa body language na tones ya Lisu pia inaashria kuna safari ya kuelekea CCM wakati wowote 🐒
Hao wazee ni wa chama gani? Tuanzie hapa kwanzani kwa upendo na mapenzi makubwa, wazee wa mkoa wa singida wanapanga kukutana, kujadili na kuamua mustakabali wa siasa za kijana wao mpendwa Tundu Antipas Lisu kutokana na hali yake ilivyo, hasa baada ya kuthibisha mwenyewe juu ya utimamu wa mwili wake, ukilinganisha na majukumu na kazi nzito, muhimu na ya maana sana anayoipambania, mathalani kua mwenyekiti wa Chadema...
kulingana na wazee hao, Lisu anapewa machaguo matatu tu,
ni ama apumzike na heka heka za siasa kuimarisha uimara wa utimamu wa mwili wake, ambapo umeumizwa sana...
au kuacha mapambano ya siasa kabisa ili kuzingatia na kupata fursa na muda mwingi zaidi wa kutosha kujikarabati ili kua madhubuti huko mbeleni....
au baadhi ya wazee wnapendelea kama anaendelea na siasa na hali aliyonayo basi ajiunge CCM kwani huko ataepukana na misukosuko mingi na kupata ahueni kubwa hata ya kudeal na masuala kadha wa kadha binafsi ya kimwili na kifamilia kwa amani na uhakika zaidi..
unadhani wazee hawa watafanikiwa kumshawishi kijana wao kukubali ushauri wao?
una maoni gani kama mwananchi, ingawa body language na tones ya Lisu pia inaashria kuna safari ya kuelekea CCM wakati wowote 🐒
actually,Hamumpati ng'o huyo Lissu, pamoja na mikakati mingi sana, mnayoipanga hivi sasa.
Hivi nyinyi maccm, pamoja na kutaka kumuua huyo Lissu Kwa marisasi, hivi bado tu mnamtamani??😎
ni kwa upendo na mapenzi makubwa, wazee wa mkoa wa singida wanapanga kukutana, kujadili na kuamua mustakabali wa siasa za kijana wao mpendwa Tundu Antipas Lisu kutokana na hali yake ilivyo, hasa baada ya kuthibisha mwenyewe juu ya utimamu wa mwili wake, ukilinganisha na majukumu na kazi nzito, muhimu na ya maana sana anayoipambania, mathalani kua mwenyekiti wa Chadema...
kulingana na wazee hao, Lisu anapewa machaguo matatu tu,
ni ama apumzike na heka heka za siasa kuimarisha uimara wa utimamu wa mwili wake, ambapo umeumizwa sana...
au kuacha mapambano ya siasa kabisa ili kuzingatia na kupata fursa na muda mwingi zaidi wa kutosha kujikarabati ili kua madhubuti huko mbeleni....
au baadhi ya wazee wnapendelea kama anaendelea na siasa na hali aliyonayo basi ajiunge CCM kwani huko ataepukana na misukosuko mingi na kupata ahueni kubwa hata ya kudeal na masuala kadha wa kadha binafsi ya kimwili na kifamilia kwa amani na uhakika zaidi..
unadhani wazee hawa watafanikiwa kumshawishi kijana wao kukubali ushauri wao?
una maoni gani kama mwananchi, ingawa body language na tones ya Lisu pia inaashria kuna safari ya kuelekea CCM wakati wowote 🐒
Basi hao wazee ndo waaachane na kumshauri Mh Tundu Antipasi Lissu kwasababu anategemewa na wengi hapa TANZANIA na DUNIANI siyo Wana singida pekeyaoni muungano wa wazee wa eneo husika, bila kujali vyama vyao au dini zao 🐒
ni muhimu kua na subra kusubiri matokeo ya kikao husika kwaajili ya jambo hilo mahususi 🐒Basi hao wazee ndo waaachane na kumshauri Mh Tundu Antipasi Lissu kwasababu anategemewa na wengi hapa TANZANIA na DUNIANI siyo Wana singida pekeyao