Kama kuna wenye ndugu zao waliosafiri na bus la KIDINILO leo wapige simu waulizie huko au hao waliokuwa kwenye gari ndogo kama ni ndugu zao[eView attachment 2737303
Hao wa gari dogo walipona kweliMkuu hii ajali ina siku kama tatu hivi.
Niliendeshaga M3 E92 jamani. CC4000 S65 engine ile jamani jamani jamani jamani...mkuu kuna gari kama bmw m3 na m5 hazipo kwenye tra calculator vip zimezuiwa bongo nn? au ndio hivyo hazinunuliwi na wabongo
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hizo TRA watakuwa hawazijui washamba sana wale.
Nissan ni nozzle za Td42 au na za Zd30 unazowazee wa vibati mkishaua nozzle ya hayo ma 1hz mnitafute niwape mali za kukimbizia tena.
1hz nozzle PD32 denso/zexel
1hdt nozzle P77 bosch
1hdt fte nozzle 639 bosch/denso/zexel
14b. nozzle P59 bosch
nissan 6 nozzle 113 zexel
ROTOR ORIGINAL NA ZA KAWAIDA KWA GARI ZOTE muone kocha Nabi ili mkimbizane vizuri.
Bongo unakufa hivi hivi unajiona yaani hapo jamaa wamelala na hakuna msaada damu zinavuja.Kama kuna wenye ndugu zao waliosafiri na bus la KIDINILO leo wapige simu waulizie huko au hao waliokuwa kwenye gari ndogo kama ni ndugu zao[emoji33][emoji33][emoji33]View attachment 2737303
hyo ni td42Nissan ni nozzle za Td42 au na za Zd30 unazo
zd30 sijajua kama inaingiliana na caravan, ila za caravan zipo.Nissan ni nozzle za Td42 au na za Zd30 unazo
Caravan toleo la mwanzo zina Td27 na Qd32. Hizi za sasa mayai zilianza kuja na Zd30 ila saizi ni mwendo wa Yd25 kama Navara,Hardbody na Terrazd30 sijajua kama inaingiliana na caravan, ila za caravan zipo.
Nilichogundua barabarani ukiwa umekunywa ama umepatwa na kidhibiti cha ulevi basi wewe huna haki hata kama umetendewa wewe kosa, so tuepuke kubeba viushahidi kama chupa za pombe nk. tuwapo njiani.Kama kuna wenye ndugu zao waliosafiri na bus la KIDINILO leo wapige simu waulizie huko au hao waliokuwa kwenye gari ndogo kama ni ndugu zao[emoji33][emoji33][emoji33]View attachment 2737303
hii Yd25 nadhani inakuja na nozzle ya umeme kama 1kd ama 2kd.Caravan toleo la mwanzo zina Td27 na Qd32. Hizi za sasa mayai zilianza kuja na Zd30 ila saizi ni mwendo wa Yd25 kama Navara,Hardbody na Terra
Kama kuna wenye ndugu zao waliosafiri na bus la KIDINILO leo wapige simu waulizie huko au hao waliokuwa kwenye gari ndogo kama ni ndugu zao[emoji33][emoji33][emoji33]View attachment 2737303
Una gari gani nijipime? Tunaweka Lita 20 kila mmoja mshindi anaondoka na 40L.Naomba Race na mtu alieko dar anaejua kupanga gia, 30km
Gari gani mkuu, any experience ulizo gundua? Nina trip ya Dar to Mwanza mwezi wa 10 au 11.
Baby walker Runex mkeka wa manyoni itigi mpaka nzega uko vizuri kuliko kupitia singida pia nzega shinyanga ile barabara walijenga kampun ya south walitulia sana ingawa niliendesha usiku kucha, niliingia mwanza saa saa 10 alfajiri issue ya mafuta niliweka full tank dodoma nikaja kuongezea tabora lita 22 ambazo nimetoboa mwanza nikiwa bado nina 3/4 ya mafuta kwenye gariGari gani mkuu, any experience ulizo gundua? Nina trip ya Dar to Mwanza mwezi wa 10 au 11.