Wazee wa Tanga kusoma albadir kwa waliomuua Mzee Ali Mohamed Kibao

Watakan...kata...atamroga sio kumsomea Al badir

Wacha maneno, weka muziki....weka Aya ya Albadir hapa

ZINGATIO : Aya hiyo itoke ndani ya Quran
Huijui Quran nyamaza 😏😏😏
 
Ndo mana hili limkoa halina maendeleo, ujinga tu umewajaa, piga kura kuindoa CCM madarakani.
 
Dunia ya waarabu ilipiga dua la kuku kwa Bush na Blair lakini wapo wanadunda mpaka leo.
Asili ya albadir siyo Bara Arab, asili yake ni Latin, hata uchawi wa bara Arab ni Latin, Latin wana tactic za kuipanch hii kitu, tena siri yake ndogo sana! /ni maneno kama page moja yanasomwa kilatin na ubani.
 
Wapemba wachawi sana
 
Hakuna cha kisomo wala nini ajitokeze nguli anisomee mimi nife hata leo .
Albadiri ni ushirikina unaotumika na baadhi ya wasomi, lakini upo na una nguvu.
Kuna shuhuda nyingi tu ambazo si lazima kuziweka hapa.
Kama una nia ya kufanyia mwili wako utafiti kupitia kisomo hicho nenda KwaMsisi, Malamba, Tanga mjini, Handeni au Pemba kafanye dhuluma kisha ujisifie kitaa.
Baada ya muda tuletee mrejesho
 
Watakan...kata...atamroga sio kumsomea Al badir

Wacha maneno, weka muziki....weka Aya ya Albadir hapa

ZINGATIO : Aya hiyo itoke ndani ya Quran
We jamaa mbona una mambo ya hovyo sana? Heshimu imani za watu kama una chuki na imani ya mtu usitake kuaandika humu. Usije ukatusababishia Ban bure na huko juu nimeshakwambia Al-badir haiko kwenye aya za Quran wewe bado unajifanya una akili kama za Mbuzi au Kuku. Heshimu imani za watu na vitabu vyao.
 
Huijui Quran nyamaza 😏😏😏

Acha kisebu sebu na kiroho papa....sijakutaka uweke aya wewe, pilipili ya shamba yakuwashia nini? Tuliza kiuno mama
 

Pia Kuna tego la wazigua ni noma .
Linauzwa mil. 2.5 tu.

Linajaribiwa kwa kwa hata kumrusha mnyama . Anakauka Kau. !
Kama ilivyo teknolojia ya sayansi pia kuna teknolojia ya kutulia majini kufanya jambo la kuangamiza alimradi ulpate mtu sahihi na anayejua mbinu zake kiasili .
 
Wamuombe na mzee Magoma akoleze na Kurujuan.
 
Hebu tufahamisheni huyu marehemu alikuwa anafanya kazi gani binafsi.?
 
Mimi na wanangu wa kitaa tunafanya yetu kama mnavyoona ila ianzie kwa Peter Msigwa huyu tunamgeuza awe choko anayejiuza
 

Attachments

  • FB_IMG_1700284780873.jpg
    42.5 KB · Views: 3
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…