DR HAYA LAND
JF-Expert Member
- Dec 26, 2017
- 23,928
- 63,499
Mzee kibao katika ulimwengu wa roho ana nguvu Sana .
Hiki kifo chake kinanipa tafsiri ya mambo mawili
(1) ...
Hiki kifo chake kinanipa tafsiri ya mambo mawili
(1) ...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huijui Quran nyamaza 😏😏😏Watakan...kata...atamroga sio kumsomea Al badir
Wacha maneno, weka muziki....weka Aya ya Albadir hapa
ZINGATIO : Aya hiyo itoke ndani ya Quran
Ndo mana hili limkoa halina maendeleo, ujinga tu umewajaa, piga kura kuindoa CCM madarakani.Kutoka Tanga inaripotiwa kuwa wazee wa Tanga wamepanga kusoma dua ya kushitakia almaarufu kama albadil kwa walioshiriki kumuua mzee mwenzao Alli Mohamed Kibao.
Watakaosomewa duwa hiyo ni wale waliopanga njama za maauaji,walioshiriki kumteka,waliomuua,waliofahamu mpango mzima wa mauaji hayo,nk
Kwenye suala la duwa ukiondoa wazee wa Pemba basi wanafuata wazee wa Tanga
PIA SOMA
- TANZIA - Dar: Ally Mohamed Kibao, kiongozi wa chadema auawa na mwili kutelekezwa Ununio ukiwa umeharibika sana
Asili ya albadir siyo Bara Arab, asili yake ni Latin, hata uchawi wa bara Arab ni Latin, Latin wana tactic za kuipanch hii kitu, tena siri yake ndogo sana! /ni maneno kama page moja yanasomwa kilatin na ubani.Dunia ya waarabu ilipiga dua la kuku kwa Bush na Blair lakini wapo wanadunda mpaka leo.
Mzee kibao katika ulimwengu wa roho ana nguvu Sana .
Hiki kifo chake kinanipa tafsiri ya mambo mawili
(1) ...
Wapemba wachawi sanaMkuu King Kong III umenikumbusha kisa hapo kwa Mke wa Mpemba. Mpemba alikuwa ni Mvuvi anaweza akaondoka hata mwezi nyumbani kwake ni maeneo ya Buguruni tu pale. Alikuwa na mke mkali sana yaani Demu pisi ya maana kuna Jamaa yangu alitumia njia anazozijua mpaka aka.tongoza yule Mwanamke akaingia kwenye line. Siku ya kula mzigo Jamaa tulikuwa naye bar fulani akampigia yule Mke wa Mpemba akaja pale Bar kwa bodaboda jamaa akalipia 2000 ya boda, akaniagizia chipsi kuku nusu nikanywa na bia mbili, Mwanamke akala chipsi mayai na redbul na kuna jamaa mwingine tulikuwa naye akanywa pepsi na ugali nyama choma na Mshikaji alikuwa amelipia room 35,000 kutokana na muonekano wa yule Mwanamke. Walipoondoka kwenda lodge jamaa kwa mujibu wake alipo mvua tu nguo na alipoliona apple stimu zote zilikata na mnara ukarudi 0 G tena. Jamaa alilaumu ametoboka hela kibao. Na mashine jamaa iligoma kusimama kama miezi mitatu tena kwa kuhangaika sana kwa waganga ndio ikaamka tena. Usicheze na mke wa mpemba
Albadiri ni ushirikina unaotumika na baadhi ya wasomi, lakini upo na una nguvu.Hakuna cha kisomo wala nini ajitokeze nguli anisomee mimi nife hata leo .
We jamaa mbona una mambo ya hovyo sana? Heshimu imani za watu kama una chuki na imani ya mtu usitake kuaandika humu. Usije ukatusababishia Ban bure na huko juu nimeshakwambia Al-badir haiko kwenye aya za Quran wewe bado unajifanya una akili kama za Mbuzi au Kuku. Heshimu imani za watu na vitabu vyao.Watakan...kata...atamroga sio kumsomea Al badir
Wacha maneno, weka muziki....weka Aya ya Albadir hapa
ZINGATIO : Aya hiyo itoke ndani ya Quran
Hata aliyesema Mzee Kibao ni threat naye lazima inamhusu.Albadir huwa haimwachi mtu salama.
Wajiandae waliotuma na waliotumwa.
Huijui Quran nyamaza 😏😏😏
Acha kisebu sebu na kiroho papa....sijakutaka uweke aya wewe, pilipili ya shamba yakuwashia nini? Tuliza kiuno mamaWe jamaa mbona una mambo ya hovyo sana? Heshimu imani za watu kama una chuki na imani ya mtu usitake kuaandika humu. Usije ukatusababishia Ban bure na huko juu nimeshakwambia Al-badir haiko kwenye aya za Quran wewe bado unajifanya una akili kama za Mbuzi au Kuku. Heshimu imani za watu na vitabu vyao.
Mkuu King Kong III umenikumbusha kisa hapo kwa Mke wa Mpemba. Mpemba alikuwa ni Mvuvi anaweza akaondoka hata mwezi nyumbani kwake ni maeneo ya Buguruni tu pale. Alikuwa na mke mkali sana yaani Demu pisi ya maana kuna Jamaa yangu alitumia njia anazozijua mpaka aka.tongoza yule Mwanamke akaingia kwenye line. Siku ya kula mzigo Jamaa tulikuwa naye bar fulani akampigia yule Mke wa Mpemba akaja pale Bar kwa bodaboda jamaa akalipia 2000 ya boda, akaniagizia chipsi kuku nusu nikanywa na bia mbili, Mwanamke akala chipsi mayai na redbul na kuna jamaa mwingine tulikuwa naye akanywa pepsi na ugali nyama choma na Mshikaji alikuwa amelipia room 35,000 kutokana na muonekano wa yule Mwanamke. Walipoondoka kwenda lodge jamaa kwa mujibu wake alipo mvua tu nguo na alipoliona apple stimu zote zilikata na mnara ukarudi 0 G tena. Jamaa alilaumu ametoboka hela kibao. Na mashine jamaa iligoma kusimama kama miezi mitatu tena kwa kuhangaika sana kwa waganga ndio ikaamka tena. Usicheze na mke wa mpemba
Haya majini wa huu ushirikina watu washayajulia kwa sasaAlbadir huwa haimwachi mtu salama.
Wajiandae waliotuma na waliotumwa.
Wamuombe na mzee Magoma akoleze na Kurujuan.Kutoka Tanga inaripotiwa kuwa wazee wa Tanga wamepanga kusoma dua ya kushitakia almaarufu kama albadil kwa walioshiriki kumuua mzee mwenzao Alli Mohamed Kibao.
Watakaosomewa duwa hiyo ni wale waliopanga njama za maauaji,walioshiriki kumteka,waliomuua,waliofahamu mpango mzima wa mauaji hayo,nk
Kwenye suala la duwa ukiondoa wazee wa Pemba basi wanafuata wazee wa Tanga
PIA SOMA
- TANZIA - Dar: Ally Mohamed Kibao, kiongozi wa chadema auawa na mwili kutelekezwa Ununio ukiwa umeharibika sana
Utaondoka tu muda si mrefuHayo madude nishasomewa miaka kumi iliyo pita ili nife baada ya wiki ila naona nipo tu😂😂😂😂😂😂
Mjeshi mstaafuHebu tufahamisheni huyu marehemu alikuwa anafanya kazi gani binafsi.?
Nasikia na wale wa kwa Msisi nao wako Maabara. Yetu macho na masikio.Hii itakula mpk kwa maza