Wazee wa Tanga kusoma albadir kwa waliomuua Mzee Ali Mohamed Kibao

Wazee wa Tanga kusoma albadir kwa waliomuua Mzee Ali Mohamed Kibao

Yaani inawezekana vp uisomee AK47 albadiri Ili ishindwe Kutoa risasi?
 
Mara paap, Albadiri imetiki chura kiziwi anaanza kusaula majukwaani😂😂😂😂

1725983621731.png
 
Hakuna cha albadiri wala albajoto mimi ni muislamu na nimechukizwa sana na hichi kitendo ila kusema ukweli izo dua za albadiri sijui albajoto hamna lolote zaidi ya watu kufanya ushirikina tu

Muislamu wa kweli anoijua vizuri dini yake hafanyi huo upuuzi
Ushirikina wake upo wapi?
 
Ishi kwa imani na amani na watu usifanye kuwakosea watu aisee utaumia mnooo. Japo wanaowanea watu wapo na hao huwa wanatujeruhi na kutuumiza lakini yale makusudio yao huwa hayatufiki kama wanavyotaka wao.
Umenena vyema sana mkuu.
 
Huu ndio ujinga wetu Africa, waarabu na dini yao wameshindwa kufanya kwa wazayuni wanauwawa kila siku kwa kupigania haki yao ,ndio nyie wamatumbi wakuletewa dini mfanye😅😅😅😅😅😅
Waarabu wanaouawa ni waislam kwa wakristo kwa wapagani.
Na lile ni jambo la kidiplomasia usivichanyane mkuu.
 
Hayo madude nishasomewa miaka kumi iliyo pita ili nife baada ya wiki ila naona nipo tu😂😂😂😂😂😂
Ulifanya kosa gani?
Maana albadir haendi kwa asiyekosa na pia kisomo hicho husomwa na wajuzi (mafundi) siyo hawa janja janja.
 
Kutoka Tanga inaripotiwa kuwa wazee wa Tanga wamepanga kusoma dua ya kushitakia almaarufu kama albadil kwa walioshiriki kumuua mzee mwenzao Alli Mohamed Kibao.

Watakaosomewa duwa hiyo ni wale waliopanga njama za maauaji,walioshiriki kumteka,waliomuua,waliofahamu mpango mzima wa mauaji hayo,nk

Kwenye suala la duwa ukiondoa wazee wa Pemba basi wanafuata wazee wa Tanga

PIA SOMA
- TANZIA - Dar: Ally Mohamed Kibao, kiongozi wa chadema auawa na mwili kutelekezwa Ununio ukiwa umeharibika sana
Niko tayari kuchangia pesa Taslimu ili kuwezesha Mchakato huo
 
Kutoka Tanga inaripotiwa kuwa wazee wa Tanga wamepanga kusoma dua ya kushitakia almaarufu kama albadil kwa walioshiriki kumuua mzee mwenzao Alli Mohamed Kibao.

Watakaosomewa duwa hiyo ni wale waliopanga njama za maauaji,walioshiriki kumteka,waliomuua,waliofahamu mpango mzima wa mauaji hayo,nk

Kwenye suala la duwa ukiondoa wazee wa Pemba basi wanafuata wazee wa Tanga

PIA SOMA
- TANZIA - Dar: Ally Mohamed Kibao, kiongozi wa chadema auawa na mwili kutelekezwa Ununio ukiwa umeharibika sana

Kwenye suala la duwa ukiondoa wazee wa Pemba basi wanafuata wazee wa Tanga
 
Siku wazee wenyewe wamekuwa maaluni hiyo Albadri na wasome tu ni ngonjera kama zilivyo ngonjera zingine'

wangeishinikiza serikali itoe majibu sahihi juu ya huo unyama aliofanyiwa marehemu'
 
Back
Top Bottom