Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ushirikina na udiplomaisa hauwezi kuingiliana?Albadri ni ushirikina wa kiarabu.
Na vita za mashariki ya kati ni za kidiplomasia sio za kidini.
Usichanganye madesa mkuu.
Ushirikina wake upo wapi?Hakuna cha albadiri wala albajoto mimi ni muislamu na nimechukizwa sana na hichi kitendo ila kusema ukweli izo dua za albadiri sijui albajoto hamna lolote zaidi ya watu kufanya ushirikina tu
Muislamu wa kweli anoijua vizuri dini yake hafanyi huo upuuzi
Big NO.Ushirikina na udiplomaisa hauwezi kuingiliana?
sawaKamsome Mwanamalundi
Kwa kosa gani?Hakuna cha kisomo wala nini ajitokeze nguli anisomee mimi nife hata leo .
Umenena vyema sana mkuu.Ishi kwa imani na amani na watu usifanye kuwakosea watu aisee utaumia mnooo. Japo wanaowanea watu wapo na hao huwa wanatujeruhi na kutuumiza lakini yale makusudio yao huwa hayatufiki kama wanavyotaka wao.
Unatengeneza ugumu kwa sababu unajua siwezi kufanya dhuluma ,wewe soma tu useme napotosha hakuna Mungu.Kwa kosa gani?
Fanya dhuluma hata kwangu mkuu nikuoneshe kazi😂😂😂
Soma weweHao walikutisha mkuu sio wasomaji.
Pia albadri haisomwi tu kiholela holela.
Pata mafundi uone balaa lake.
Ila dhuruma mbaya sana aisee 🤣🤣🤣Kwa kosa gani?
Fanya dhuluma hata kwangu mkuu nikuoneshe kazi😂😂😂
Waarabu wanaouawa ni waislam kwa wakristo kwa wapagani.Huu ndio ujinga wetu Africa, waarabu na dini yao wameshindwa kufanya kwa wazayuni wanauwawa kila siku kwa kupigania haki yao ,ndio nyie wamatumbi wakuletewa dini mfanye😅😅😅😅😅😅
Sasa wewe umenifanyia nini mimi mkuu!??Soma wewe
Ulifanya kosa gani?Hayo madude nishasomewa miaka kumi iliyo pita ili nife baada ya wiki ila naona nipo tu😂😂😂😂😂😂
Mkuu soma albadiri acha blablaSasa wewe umenifanyia nini mimi mkuu!??
Nikosee ndio utaona.
Niko tayari kuchangia pesa Taslimu ili kuwezesha Mchakato huoKutoka Tanga inaripotiwa kuwa wazee wa Tanga wamepanga kusoma dua ya kushitakia almaarufu kama albadil kwa walioshiriki kumuua mzee mwenzao Alli Mohamed Kibao.
Watakaosomewa duwa hiyo ni wale waliopanga njama za maauaji,walioshiriki kumteka,waliomuua,waliofahamu mpango mzima wa mauaji hayo,nk
Kwenye suala la duwa ukiondoa wazee wa Pemba basi wanafuata wazee wa Tanga
PIA SOMA
- TANZIA - Dar: Ally Mohamed Kibao, kiongozi wa chadema auawa na mwili kutelekezwa Ununio ukiwa umeharibika sana
Kutoka Tanga inaripotiwa kuwa wazee wa Tanga wamepanga kusoma dua ya kushitakia almaarufu kama albadil kwa walioshiriki kumuua mzee mwenzao Alli Mohamed Kibao.
Watakaosomewa duwa hiyo ni wale waliopanga njama za maauaji,walioshiriki kumteka,waliomuua,waliofahamu mpango mzima wa mauaji hayo,nk
Kwenye suala la duwa ukiondoa wazee wa Pemba basi wanafuata wazee wa Tanga
PIA SOMA
- TANZIA - Dar: Ally Mohamed Kibao, kiongozi wa chadema auawa na mwili kutelekezwa Ununio ukiwa umeharibika sana