Wazee wenye hekima ndani ya CC ya CCM. Msirudie kupitisha Mgombea Mwenye kaliba ya Magufuli

Ww hujitambui 👆!
 
Tuombe kuwe na katiba mpya ile aliyoandaa warioba naamini itasaidia Sana kuanzua katika vyama vya siasa,uchaguzi na hata ndani ya utawala
 

Ukweli mtupu
 
Mabadiliko makubwa yapi mkuu? Kama watendaji wakuu wote wa serikali ni wale wale walio kuwa awamu ya 5, makamanda ni wale wale. Tafakali msemo wako kuwa mama kafanya Mabadiliko makubwa. Ukitoa couch lako la kukalia kulia ukaliweka kushoto mwa chumba chako si Mabadiliko makubwa.
 
Kwangu mimi kubwa kabisa ni UHURU. Watanzania tumekuwa huru zaidi baada ya neema ya Mungu ya tarehe 17.03.2021. Mama "karuhusu" na kukaribisha kukosolewa. Hakuna kesi za uchochezi tena na hata japa JF utaona (kama upo makini) watu Wapo huru zaidi. Hatuogopi tena kesi za uchochezi zisizo na kichwa wala miguu.

Mama "anafungua" nchi pia. Jiulize ilifungwa?...na ilifungwa na nani?

Kama huoni mabadiliko yaliyofanyika na yanayofanyika au huoni kama ni makubwa ("fundamental regime change") naheshimu mtizamo wako.

After all, "Samia ni Magufuli na Magufuli ni Samia"..... wacha kazi iendelee!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…