Tindo
JF-Expert Member
- Sep 28, 2011
- 63,730
- 111,542
Acheni wivu ni wkt wa singida Sasa nao kishine maana walisahaulika.
Go mwigulu go, watani wangu oyeeee
Ni kweli, tena inapendeza wakishine kwa pesa za tozo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acheni wivu ni wkt wa singida Sasa nao kishine maana walisahaulika.
Go mwigulu go, watani wangu oyeeee
Endapo ni kweli, basi yaonesha wazi akili fupi za waliowengi Tanzania, hata hao elites. Yaani una hela kama hizo hukuona cha kufanya katika dunia hii mpya isipokuwa biashara 'traditional' za kizamani, nawe ni Waziri wa fedha? Hujui kuna kununua Bitcoins au ku invest katika stock za Japan, Marekani, Australia ambazo zitakuletea maradufu ya mabasi yote hayo kwa miezi sita tu? Au kuanzisha kiwanda ukaajiri kwa muda mrefu, start up katika info technology?
Tatizo siyo kununua, pesa amezipata wapi na mshahara wake wajulikana? Au atuoneshe amechukua wapi mkopo? Watu wengine hata wakiibiwa waona sawa tu endapo aibaye ni Waziri! Mwizi ni mwizi tu.
Kama ni mgawo kutoka kwa Baba yake je?Acheni kumshambulia whistleblower! Yeye kapuliza kipenga TU ni juu yenu kuingia field mtuletee hayo maushahidi hapa. Acheni uvivu wa kuusaka ukweli!
Kachukua mkopoHakuna mtu atakayeshangaa Abood au Shabiby kuagiza mabasi, ni matajili kabla ya kuwa wabunge, huyu Mwigulu Nchemba Kwa miaka 10 tu kapata wapi huo utajili?
mkuu mbona unapanic? Relax kunywa maji baridi tuliza joto maana stress ni ishara ya kuwa kapuku.Lipa tozo fala Wewe Waziri anakuhusu Nini?
mwanangu hapo unyankindi ndio home, maduka sabaAmerithi kwa wajomba zake wa Unyankindi na Kititimo.Mumuache alete mahela mjini.Zubaa uzikwe.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hupaswi kuwa na mashaka nae, ni daktari wa uchumi[emoji276][emoji276]Hakuna mtu atakayeshangaa Abood au Shabiby kuagiza mabasi, ni matajili kabla ya kuwa wabunge, huyu Mwigulu Nchemba Kwa miaka 10 tu kapata wapi huo utajili?
I can see you like fishing my friend...We hamnazo tu, Easther ni jina la marehemu mtoto wa mwenye mabasi