Waziri Bashe anajisikiaje baada Rais kupiga marufuku chakula kuuzwa nje ya nchi? Ni busara akaachia ngazi

Waziri Bashe anajisikiaje baada Rais kupiga marufuku chakula kuuzwa nje ya nchi? Ni busara akaachia ngazi

Hahahah kajamaa kamepigwa za uso na mkuu wake! Lakini Rais Samia amechelewa sana kwani madhara yameshakuwa makubwa sana kila bidhaa haishikiki kabisa ile fungulia mbwa ilikuwa ya kijinga sana tena sana!

Kwa hiyo maamuzi yake bado yanaonekana ya kjikosha na kumtupia zigo Bashe lakini ukweli ni kwambwa Rais anafanya kila maamuzi ili asionekanane anafanana kimaamuzi na mtangulizi wake hata kama jambo ni la msingi …mwisho wa siku ana kumbuka shuka kumekucha!

Matatizo haya yote yamesababishwa na Rais mwenyewe kwani alikuwepo wakati Bashe anatoa kejeli na kutojali kwa hiyo asijitoe kwenye hili
Utaffikiri rais ameshushwa jana kutoka akhera. Cha msingi ni hapo uliopsema it's too late .kama wa kufa wameshaakufa ndo kwwnza bibi tozo anatoka usingizinie akija sebuleni atakuta akina MAKAMBA, NAPE, NA MWIGULU wameshaakomba hazina
 
Watu mnaomtukana Bashe hapa mnamkosea sana... Mnoo. Na ni wanafiki wakubwa
 
Tunafurahia mazao kutokuuzwa nje ya nchi ili wakulima wetu wafilisike? Mbona vitu vingi tunauza nje na hakuna tatizo? Mbona Tanzania inanunua nguo kutoka nje badala ya kutumia pamba na hakuna tatizo? Mimi siungi mkono zuio la mauzo ya mazao nje ya nchi kwa sababu soko la ndani linawahujumu sana wakulima. Tunajua kuwa nguvu kazi kubwa ya nchi ipo katika shughuli za kilimo, lakini kwa sababu kilimo hakilipi watu wanakimbilia mjini ili kufanya uchuuzi. Pale ambapo kilimo kitapewa kipaumbele na kikawa kinalipa watu wetu wataongeza uzalishaji kwa ajili ya soko la ndani na nje. Bila soko la nje kilimo cha mazao kitakuwa hakina maana kwa Watanzania.

Inafika mkulima anauza gunia moja la mahindi kwa Tsh.25,000 halafu hakuna anayejiuliza alizalisha gunia moja la mahindi kwa gharama gani.

Ukiamua kufanya mahesabu ya kulizalisha gunia moja la mahindi linaliuzwa kwa Tsh.25,000 ni unyonyaji kwa sababu gharama ya uzalishaji ipo juu sana. Chukua mfano ufuatao kwa gharama ya kukuza mahindi kwa eka moja:
Mbolea 1-kupandia (bila ruzuku) = Tsh.150,000
Kulima kwa Trekta x 2 (eka moja) = Tsh.100,000
Kg.8 @8,000 = Tsh.64,000
Palizi la shamba = Tsh.30,000
Kuvuna = Tsh.50,000
Jumla ya gharama kwa mchanganuo hapo juu ni Tsh.394,000
Hapo mkulima hajahesabu gharama zingine kama kusafirisha/mbolea ya kukuzia/kupukuchua
Kwa eka 1 kwa uzalishaji wa uhakika unaozingatia kilimo cha kisasa utapata gunia 20, hivyo 20@Tsh.25,000 = Tsh.500,000.

Kwa hiyo hakuna faida ya maana inayopatikana kwa kuuza mazao katika soko la ndani.
Wapumbavu hawa , hamna wanalojua ,ni machoko , mazezeta na makahaba wadangaji huko mjini halafu wanataka maelezo kwa jasho la mkulima ,
Useng£ huu ,halafu unategemea kilimo kikue , kwa useng£ huu ? Wa kucomand soko ?
Halafu mikundu inaandika comments za kikyuma hapa .
 
Waziri wa kilimo mwaka jana alikomalia kuuza chakula nje ya nchi. Kitendo hicho kililalamikiwa sana kusababisha bei ya vyakula nchini kupanda zaidi ya maradufu, lakini waziri huyu alikomalia jambo hilo akitoa sababu eti anawatajirisha wakulima, wakati ukweli ni kuwa alikuwa akiwatajirisha wafanya biashara wenzake (middle men) na makangomba.

Alisikika akiapa kuwa katika utawala wake kamwe hatakubali kuzuia wakulima kuuza chakula nje ya nchi. Alisema piga ua hatakubali kwenye kipindi chake cha uwaziri. Tulishuhudia raia wa nchi za nje wakienea kwenye vijiji vyetu wakinunua mchele, mahindi, maharage na kadhalika hadi yaliyokuwa bado yako shambani.

Tulishuhudia maelfu ya ma semi trela yaliyosheneni vyakula kila siku yakipeleka chakula hicho nchini Kenya hadi Somalia. Bei ya vyakula huko Kenya ikawa nafuu sana ukilinganisha na huku kwetu ambako ambako bei zilipaa kwa zaidi ya 150%. Watanzania walio wengi wakawa hawa uwezo wa kupata zaidi ya mlo mmoja kwa siku.

Ikafika wakati nchi yetu ikawa na upungufu mkubwa wa chakula hadi ikabidi ianze kununua chakula kutoka nchi zingine hususani Zambia kwa kutumia akiba yetu ya pesa za kigeni (USD) na kusababisha uhaba mkubwa wa pesa hizo huko BoT hadi sasa. Hivyo wafanyabiashara wa bidhaa zingine zinazotoka nje ya nchi wakawa wanakosa pesa (USD) za kuagizia bidhaa hizo.

Baada ya agizo hilo la leo kutoka kwa Rais Samia kupiga marufuku uuzaji vyakula nje ya nchi, huyu waziri wa kilimo anapaswa kujitathmini na kuachia ngazi kama alivyotuapia katika utawala wake.



NCHI HAJIUZUKU MTU NJAA NI KALI MPAKA KWA VIONGOZI
 
Gharama za kilimo Cha mahindi:-
1. Kukodi ekari Moja ni Tshs 50,000/= eneo pori namba moja
2. Mbegu kg 6 ni Tshs 30,000/=
3. Wapandaji watano. 15,000/=
4. Kulima na Trecta. 40,000/=
5. Palilizi ya kwanza. 30,000/=
6. Palilizi ya pili. 25,0000=
7. Gharama za kuvuna 20,000/=
8. Gharama za kupukucha 25,000/=
9. Kubeba kutoka Shambani. 10,000/=
10. mfuko tupu moja. Bbb 700/=
Jumla ya gharama zote ni zaidi ya 245000/= Kwa ekari Moja, na Ekari Moja unaweza pata kati ya Gunia mbili Hadi tatu. Mwaka huu wengi Mahindi yameshia kwenye lenta Kwa sababu ya jua, na waliovuna wamepata wastani Wagunia Moja Kwa ekari Moja, Sasa unapozuia kuuza Mahindi Kwa Bei yenye madlahi au yenye kurudisha gharama za uzalishaji jioni unamkandamiza huyu mkulima wa Mahindi?

Watu wakae chini waone wanapunguzaji gharama za uzalishaji, Sector ya Kilimo inathiriwa sana na kupanda Kwa Disiel kunapandisha gharama za uzalishaji na uchukuzi.

Unapuuza Disiel Kwa mkulima kipindi Cha Kulima Disiel elikuwa 3000plus, hakuna aliona hiyo athari ya Mafuta kuwa Juu itapandisha Bei za kulimia Kwa matrekta, usafirishaji wa mbegu, kubeba Mazao Shambani,
Hicho kilimo cha mahindi kinachotoa gunia 2-3 kwa hekari moja, ni upumbavu.
 
Tunafurahia mazao kutokuuzwa nje ya nchi ili wakulima wetu wafilisike? Mbona vitu vingi tunauza nje na hakuna tatizo? Mbona Tanzania inanunua nguo kutoka nje badala ya kutumia pamba na hakuna tatizo? Mimi siungi mkono zuio la mauzo ya mazao nje ya nchi kwa sababu soko la ndani linawahujumu sana wakulima. Tunajua kuwa nguvu kazi kubwa ya nchi ipo katika shughuli za kilimo, lakini kwa sababu kilimo hakilipi watu wanakimbilia mjini ili kufanya uchuuzi. Pale ambapo kilimo kitapewa kipaumbele na kikawa kinalipa watu wetu wataongeza uzalishaji kwa ajili ya soko la ndani na nje. Bila soko la nje kilimo cha mazao kitakuwa hakina maana kwa Watanzania.

Inafika mkulima anauza gunia moja la mahindi kwa Tsh.25,000 halafu hakuna anayejiuliza alizalisha gunia moja la mahindi kwa gharama gani.

Ukiamua kufanya mahesabu ya kulizalisha gunia moja la mahindi linaliuzwa kwa Tsh.25,000 ni unyonyaji kwa sababu gharama ya uzalishaji ipo juu sana. Chukua mfano ufuatao kwa gharama ya kukuza mahindi kwa eka moja:
Mbolea 1-kupandia (bila ruzuku) = Tsh.150,000
Kulima kwa Trekta x 2 (eka moja) = Tsh.100,000
Kg.8 @8,000 = Tsh.64,000
Palizi la shamba = Tsh.30,000
Kuvuna = Tsh.50,000
Jumla ya gharama kwa mchanganuo hapo juu ni Tsh.394,000
Hapo mkulima hajahesabu gharama zingine kama kusafirisha/mbolea ya kukuzia/kupukuchua
Kwa eka 1 kwa uzalishaji wa uhakika unaozingatia kilimo cha kisasa utapata gunia 20, hivyo 20@Tsh.25,000 = Tsh.500,000.

Kwa hiyo hakuna faida ya maana inayopatikana kwa kuuza mazao katika soko la ndani.
Shida wanufaika siku zote sio wakulima ni madalali na wale wanaonunua na kuuza,Bei za shamba ziko chini tu shida ni Mtu kati na wafanyabiashara
Huku dodoma gunia la alizeti ni 30k Kwa mkulima je ,mjini wanauza hvyo?!!!mafuta ya alizeti ni 3000 to 3500per litre je huko mjini mnannuaje?!
 
Ni kawaida sana bei za mazao mbalmbali (haa ya biashara) kuwa regulated, sio Tz tu.

Sio kweli kuwa sector ya kilimo hailipi kwa Tz, ni kwamba wanaonufaika ni gurus wa biashara ya nafaka (wanasiasa) pamoja na madalali masokoni.

Yani chakula kiuzwe nje au ndani, anaenufaika ni mfanyabiashara ndiomaana mimi huwa sioni point yoyote kusema "Mkulima anaenda kunufaika"

KILIMO UKIFANYE NA MTAJI MKUBWA, kiasi kwamba kila hatua usihitaji msaada wa wafanyabiashara, kitu ambacho wengi hawawezi.
Sahihi Tena hao wakulima wadogo ndo wameishi maisha magumu sana mwaka Jana na mwaka huu baada ya msimu kuisha maaana vyakula vyote wameuza wanaenda nnua Mchele kwa 3500 unga 2000,maisha Yao yalikua magumu sana
 
Leo Hii ukipata bahati ya kufika Kiteto eneo la pori namba moja, utawaonea huruma hao wakulima kutokana na gharama wanazoingia na kipato wanachopata .

Mtu anatumia gharama kubwa kipato kidogo, hata Bei elio Sokoni Leo Hii ya 90,000/= haewizi rudisha gharama zake.

Mfano Kuna Bwana Moja maarufu Kwa jina la Mnyalukolo hapo pori namba moja amelima Mahindi Ekari 40, Amevuna Mahindi Gunia 40 na Alizeti Gunia 6, Gharama alizotumia ni zaidi ya 9,000,000/ hayo mavunu hayarudishe hata nusu ya gharama zake,
Hyo ni Bahati mbaya na kilimo Cha kutegemea mvua sio kua SIKU zote anakosa...
Kawaida sana ktk maisha Kuna mda unapata na Kuna mda kukosa
Nampa pole
 
Waziri wa kilimo mwaka jana alikomalia kuuza chakula nje ya nchi. Kitendo hicho kililalamikiwa sana kusababisha bei ya vyakula nchini kupanda zaidi ya maradufu, lakini waziri huyu alikomalia jambo hilo akitoa sababu eti anawatajirisha wakulima, wakati ukweli ni kuwa alikuwa akiwatajirisha wafanya biashara wenzake (middle men) na makangomba.

Alisikika akiapa kuwa katika utawala wake kamwe hatakubali kuzuia wakulima kuuza chakula nje ya nchi. Alisema piga ua hatakubali kwenye kipindi chake cha uwaziri. Tulishuhudia raia wa nchi za nje wakienea kwenye vijiji vyetu wakinunua mchele, mahindi, maharage na kadhalika hadi yaliyokuwa bado yako shambani.

Tulishuhudia maelfu ya ma semi trela yaliyosheneni vyakula kila siku yakipeleka chakula hicho nchini Kenya hadi Somalia. Bei ya vyakula huko Kenya ikawa nafuu sana ukilinganisha na huku kwetu ambako ambako bei zilipaa kwa zaidi ya 150%. Watanzania walio wengi wakawa hawa uwezo wa kupata zaidi ya mlo mmoja kwa siku.

Ikafika wakati nchi yetu ikawa na upungufu mkubwa wa chakula hadi ikabidi ianze kununua chakula kutoka nchi zingine hususani Zambia kwa kutumia akiba yetu ya pesa za kigeni (USD) na kusababisha uhaba mkubwa wa pesa hizo huko BoT hadi sasa. Hivyo wafanyabiashara wa bidhaa zingine zinazotoka nje ya nchi wakawa wanakosa pesa (USD) za kuagizia bidhaa hizo.

Baada ya agizo hilo la leo kutoka kwa Rais Samia kupiga marufuku uuzaji vyakula nje ya nchi, huyu waziri wa kilimo anapaswa kujitathmini na kuachia ngazi kama alivyotuapia katika utawala wake.




Pamoja na kwamba Mimi naunga mkono Bashe ila wanaotakiwa kujiskia vibaya sio Bashe Bali Wakulima na Bashe anatakiwa kumueleza Samia kwamba dhana ya food security inachagizwa na uhakika wa soko lenye bei nzuri..

Na hiyo bei nzuri ya mazao inapatikana Nje ya Nchi na hapo ndipo atapata kura za Wakulima ila kuhangaika na watu wa Mjini ambao hata kura hawapigi ni ujinga na kutowaelewa watu anaowaongoza..

Pia nimemsikia Rais Kwa muktadha wake akidai kwamba Watatoa pesa kununua mahindi Kwa Wananchi via CPB na NFRA Kwa muktadha huo hakuna haja ya kuuza chakula Nje ya Nchi..

Mwisho wasipokaa vizuri na uhakika wa soko hicho mnachoita BBT itakuwa ndio mwisho wake na pesa imepotea.Aisha mabilioni yanayowekezwa kwenye Kilimo zikiwemo pesa ya mkopo zitapotea na itakuwa ni upuuzi wa Hali ya Juu..

Kana kwamba haitoshi Kwa Sasa sekta ya Kilimo ndio inaongoza Kwa kukopesheka Sasa Kauli za hivi zitaenda kubadili Kila kitu huko field..

Bashe aachwe asimamie Kilimo vinginevyo Kilimo kikiwa kinachukuliwa Kisiasa itakuwa ni upuuzi
 
Jukumu la serikali yako ni lipi kwenye hili??unadhani ni sahihi kuuza wakati na wewe una high demand kwenye soko la ndani??shortly lazima tufanye protection ya food crops at this point of scarcity. Tungekuwa hatuna uhaba basi it could be fair for us to sell them out. Lakini kwa wajuzi wa soko, tujazalisha in surplus kukizi mahitaji yetu in fully. Kuna mikoa inaandamwa na ukame na haijazaliza, KUNA HAJA GANİ YA KU EXPORT OUR FOOD STOCKS THEN BAADA YA MUDA MFUPİ TUANZE KULALAMİKA UHABA NA KU STRUGGLE KU İMPORT THESAME PRODUCT........ THİNK BİG , KAMA Nİ WAKULİMA WAPEWE RUZUKU YA BEİ YA MAZAO YAO BUT TUSİ KAZANİE EXPORT WHİLE WE ARE İN HİGH DEMAND YA HİZO FOOD CROPS
Hoja ya kipuuz kabisa, mkulima anapata hizo ruzuku?

Ni nani anayeingia hizo gharama ili wewe na wenzako mpate huo mtelezo wa bei mnaotaka? Ni kazi ya mkulima hiyo?

Ni kazi ya mkulima kukaa na kusikiliza njaa zako? Na hiyo kazi ya serikali kununua mazao inamhusu nini mkulima? Wewe njanjaa zako unataka umtwike mzigo mkulima.

Hao serikali kupitia NFRA walikuwa wapi muda wote huo kushindwa kununua hayo mazao kutoka kwa mkulima?

Na ninyi ni akina nani mpaka kumpangia mkulima la kuuza, ninyi mmeshindwa kulima? Hamna mikono? Ninyi mishahara yenu na mapato yenu kuna anayewapangia matumizi?
 
Wakenya wapo huku Kilolo Mashambani kabisa wananunua MAZAO yakiwa shambani wakati mwingine.
Hoja hapo ilikuwa kuwe na utaratibu wa kuuza maana kwa hii holela inaweza kutuletea shida ya baa la njaa huko baadae
 
Waziri wa kilimo mwaka jana alikomalia kuuza chakula nje ya nchi. Kitendo hicho kililalamikiwa sana kusababisha bei ya vyakula nchini kupanda zaidi ya maradufu, lakini waziri huyu alikomalia jambo hilo akitoa sababu eti anawatajirisha wakulima, wakati ukweli ni kuwa alikuwa akiwatajirisha wafanya biashara wenzake (middle men) na makangomba.

Alisikika akiapa kuwa katika utawala wake kamwe hatakubali kuzuia wakulima kuuza chakula nje ya nchi. Alisema piga ua hatakubali kwenye kipindi chake cha uwaziri. Tulishuhudia raia wa nchi za nje wakienea kwenye vijiji vyetu wakinunua mchele, mahindi, maharage na kadhalika hadi yaliyokuwa bado yako shambani.

Tulishuhudia maelfu ya ma semi trela yaliyosheneni vyakula kila siku yakipeleka chakula hicho nchini Kenya hadi Somalia. Bei ya vyakula huko Kenya ikawa nafuu sana ukilinganisha na huku kwetu ambako ambako bei zilipaa kwa zaidi ya 150%. Watanzania walio wengi wakawa hawa uwezo wa kupata zaidi ya mlo mmoja kwa siku.

Ikafika wakati nchi yetu ikawa na upungufu mkubwa wa chakula hadi ikabidi ianze kununua chakula kutoka nchi zingine hususani Zambia kwa kutumia akiba yetu ya pesa za kigeni (USD) na kusababisha uhaba mkubwa wa pesa hizo huko BoT hadi sasa. Hivyo wafanyabiashara wa bidhaa zingine zinazotoka nje ya nchi wakawa wanakosa pesa (USD) za kuagizia bidhaa hizo.

Baada ya agizo hilo la leo kutoka kwa Rais Samia kupiga marufuku uuzaji vyakula nje ya nchi, huyu waziri wa kilimo anapaswa kujitathmini na kuachia ngazi kama alivyotuapia katika utawala wake.




Bashe ni shujaa wa kupigiwa mfano, hukijui kilimo ndiyo maana unaongea hivyo, Mkulima wa Tanzania anahangaika sana kuwalisha wanaostarehe mjini halafu wanataka wapewe bure, ingia shambani ukalime mazao yako uone kama utarudi tena.
Wazo la Bashe ni wazo la kimapinduzi huwezi kulima kama hupati faida, Vivyohivyo huwezi kwenda kazini kama hupati ujira. swala la bei ni sambamba ni gharama za uzalishaji na tija, kilimo chetu kimetelekezwa hivyo gharama zauzalishaji ni kubwa sana na bei za kuuza lazima ziwe juu ilikuleta tija, hivyo basi saizi ya chakula chetu ni hicho kinachotoka njee ambacho gharama zake za uzalishaji zinalingana na soko letu.

Kwakuruhusu tu watu wauze njee Mashamba mengi mnoo yamefunguliwa kwenye kilimo cha mahindi msimu huo unaopita, jambo ambalo lingeongeza uzalishaji hasa ukizingatia watu wenye mitaji mikubwa wameingia shambani jambo ambalo ni nzuri, uwekezaji kama huu ukiendelea kufanyika gharama zitapungua na tija itaongezeka, wakulima wakubwa wanakuja na teknologia ambazo hupunguza gharama kwa mkulima wa kawaida.

Hukuna namna tutakifungua kilimo bila soko la njee, hili la ndani ni la kuwanyonya wakulima. Penginepo serikali ikubali kumfidia mkulima ili tija iongezeke.
 
Waziri wa kilimo mwaka jana alikomalia kuuza chakula nje ya nchi. Kitendo hicho kililalamikiwa sana kusababisha bei ya vyakula nchini kupanda zaidi ya maradufu, lakini waziri huyu alikomalia jambo hilo akitoa sababu eti anawatajirisha wakulima, wakati ukweli ni kuwa alikuwa akiwatajirisha wafanya biashara wenzake (middle men) na makangomba.

Alisikika akiapa kuwa katika utawala wake kamwe hatakubali kuzuia wakulima kuuza chakula nje ya nchi. Alisema piga ua hatakubali kwenye kipindi chake cha uwaziri. Tulishuhudia raia wa nchi za nje wakienea kwenye vijiji vyetu wakinunua mchele, mahindi, maharage na kadhalika hadi yaliyokuwa bado yako shambani.

Tulishuhudia maelfu ya ma semi trela yaliyosheneni vyakula kila siku yakipeleka chakula hicho nchini Kenya hadi Somalia. Bei ya vyakula huko Kenya ikawa nafuu sana ukilinganisha na huku kwetu ambako ambako bei zilipaa kwa zaidi ya 150%. Watanzania walio wengi wakawa hawa uwezo wa kupata zaidi ya mlo mmoja kwa siku.

Ikafika wakati nchi yetu ikawa na upungufu mkubwa wa chakula hadi ikabidi ianze kununua chakula kutoka nchi zingine hususani Zambia kwa kutumia akiba yetu ya pesa za kigeni (USD) na kusababisha uhaba mkubwa wa pesa hizo huko BoT hadi sasa. Hivyo wafanyabiashara wa bidhaa zingine zinazotoka nje ya nchi wakawa wanakosa pesa (USD) za kuagizia bidhaa hizo.

Baada ya agizo hilo la leo kutoka kwa Rais Samia kupiga marufuku uuzaji vyakula nje ya nchi, huyu waziri wa kilimo anapaswa kujitathmini na kuachia ngazi kama alivyotuapia katika utawala wake.




Bashe kwanza si msomali,mnamkabidhi msomali wizara ya misosi kweli😀😀
 
Back
Top Bottom