Unazani wakulima wamevuna kiasi Gani Kwa ekari Kwa kilimo Cha nchii maeneo ya KITETO? Watu wanalima ekari 500 Bado wanadhindwa kupata Gunia hara 800 ukigawa hapo nisawa Gunia ngapi Kwa ekari? Unaweza kukuta hata Mama yako hajawahi Kulima halafu unaleta ukenge humu jukwaani, Uliza watu waliolima maeneo ya Hemba Hemba, ngomai, makawa, matongolo, mkoka, chetego, magungu, Lugine, Kirashi, maliti, mbande, mbiri, pori namba moja, londoni, lekyimashi, Ngabolo, Matui, Engusero, osteti, seringine, njoro, nailelo, msada, chekanao, kiperesa, mrijo, Zajirwa, kazi ngumu, irela, langitomoni, njia panda, twanga, wizamtima, isiza.Tembelea hayo maeneo uone watu wanavyopata kwenye ekari Moja ya mahindi! Acha kywa kiazi tumia akili jaribu kufanya utafiti.