Black Sniper
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 32,406
- 55,148
Inawezekana kwa njia sahihi ila sio za mkatoMkuu hii Passport yetu ya Bongo ninaweza kupenya?
Nimeona Watu wa kila aina Wahindi Waarabu Waafrika Waajemi wakifa maji na baridi kwa sababu ya kwenda Uingereza.Sasa wamekuwa wagumu mno na hivi wahindi wameshika ndio kabisa wanataka wakimbizi wapelekwe kwa kagame haha
Mkuu wanaokuja kwa kujilipua hivyo sio wakimbizi bali ni watafutaji wa maisha tuNimeona Watu wa kila aina Wahindi Waarabu Waafrika Waajemi wakifa maji na baridi kwa sababu ya kwenda Uingereza.
Swali langu wewe umekaa huku na huko ni kitu gani cha ajabu kilicho huko Majuu?
Huwa siamini katika kujilinganisha kwa kila kitu.Waingereza taifa kubwa kabisa wamemuweka muhindi ndio Waziri Mkuu wa Nchi kubwa kabisa Duniani iliyotawala karibu nusu ya Dunia.
Nimeelewa ndio maana wako razi kufa au kufanikisha.Hakuna cha ajabu bali wakifanikisha wanapewa nyumba, child support na benefits kibao kama matibabu na elimu bure
Bora tubaki Koloni la Zanzibar na utulivu.colony la india.
Mkuu huu mpango wa Rwanda ulikuwa wa aliekuwa waziri wa mambo ya ndani Priti Patel ambae hata baba yake alikuwa mkimbizi toka IndiaNimeelewa ndio maana wako razi kufa au kufanikisha.
Sasa wakipelekwa Rwanda wanaweza kupiga kunyaza kweli hao Waafghani?
Ndio wale walioacha Dini ya Kiisilamu na kuhamia kwenye Ukomunisti?.Wa Albanian
Haha mmoja Kenyan mwingine tanzanianNasikia hata wazazi wa Sunak wametokea Ilula njia ya Hungumalwa.
Kwakweli !!Huwa siamini katika kujilinganisha kwa kila kitu.
Wao mifumo yao iko njema, huku kwetu muweke huyo mhindi kama haijawa colony la india.
Huko uingereza anaweza akaa hata mwezi akatimuliwa huku inawezekana!?
Kabisa kabisa !! 👍Tuombe Mungu sana hatujui wanaandaa nini hawa watu yaani Dunia wanaipenda na wanataka waitawale wanavyotaka wao
Dunia ya leo sio ya zamani siku hizi vijana unaongea nao kwa unyenyekevu hata wakikosa maana wamekuwa wakali na akili zao zinawatosha wao ndio maana bado kuna wazee kwenye serikali nyingi ili kuwapooza vijana
Angalia Iran msichana kaamua kutembea huku nywele kidogo zikionekana ila kichapo alichokipata mpaka kafa
Angalia sasa madhara yake, vijana hawasikii wameliamsha wasichana wamechoma Hijab zote
Imagine hao kesho watuongoze, tutashuhudia mambo mengi mabaya
Kwa sasa namba zinasomwa kutoka kila pande!! Wacha mchezo kabisa !!Mimi nilijua mfumuko wa bei za vyakula ni kwa sukuma gang tuu kumbe ata nyie wengine[emoji23],maana wao ndo walikuwa wanamlilia marehemu mwendazake .
Mbona George Floyd aliuwawa kama mwizi?Uzuri serikali yetu huku haina Ubaguzi wa rangi ingawa baadhi ya wananchi wapo wabaguzi ila serikali haina upumbavu huo
Na ukishakuwa mzee utatunzwa mpaka mwisho wa maisha yako !! Bongo unapewa kadi ya wazee ya kutibiwa bure lakini ukienda Hospitali wanaanza tena kukuuliza maswali ya kidhalilishaji kwenye dawati lao ! Eti unapewa chakula na nani? Nani anakulipia kodi ya nyumba ? Kwani huna watoto ?? Na maswali mengine kibao ! Sasa kulikuwa na haja gani ya kumpa huyo mzee hiyo kadi. ?? Bado tupo mbali sana!! Na roho zetu ni mbaya sana !!Mkuu wanaokuja kwa kujilipua hivyo sio wakimbizi bali ni watafutaji wa maisha tu
Hakuna cha ajabu bali wakifanikisha wanapewa nyumba, child support na benefits kibao kama matibabu na elimu bure
Pia kazi zipo nyingi na usalama upo kama hujajihusisha na ujinga kama drugs na ukevi
Maswali ya Kichawi.Eti unapewa chakula na nani? Nani anakulipia kodi ya nyumba ? Kwani huna watoto ?
Kabisaaa!!Maswali ya Kichawi.
Wapo Askari wengine ni majuha ndio maana mikasa kama hiyo hutokea !!Mbona George Floyd aliuwawa kama mwizi?
Duh ! 😅Bora tubaki Koloni la Zanzibar na utulivu.
Kama Sunak eti?
Mtakalia ubaguzi na maendeleo hakuna
Wewe andika majina ya babu zako watatu hapa walitokea wapi
Najua hata wewe sio mtz asili bali unabebwa na weusi [emoji38]