Anajidai anajua sana, yeye alikuwa mkuu wa wilaya na hatimaye mkoa, alifanya nini?Aya sasa
Yeye hapendi kuulizwa, akiulizwa anaona anapunguziwa madaraka. Anakuwa mkali kweli. Lakini yeye kidimo domo kujifanya yeye ndiye kiranja mkuu kwa wenzake.
Yeye afanye kazi za chama, aongelee ya chama na siyo ya serikali.
Serikali ina msemaji wake. Afanye kazi zake za chama.