johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Siku mbili zilizopita Makonda alikuwa Dar au alikuwa anaendesha Greda Kahama?
Acheni hizo 🐼
Acheni hizo 🐼
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu bwana aliyepandisha Bei ya Sukari ili mabepari wampe rushwa Leo ndo amekuwa shujaa kwenu?
Hii nchi imejaa wapumbavu
Hii clip inatumika kuchonganisha watu! Hapa anayetafutwa ni Bashe!"Rais, Makamu wa Rais, Waziri Mkuu na Naibu Waziri Mkuu, hawa ndiyo wanaweza kuniita na kunihoji, hakuna mtu mwingine yoyote, watu wajue mipaka yao ya kazi," Waziri wa Kilimo Hussein Bashe.
View attachment 2884613
View attachment 2885428
Hiyo post ni fake.Keshauchoka uwaziri. Anataka kurudi msituni huyu kha
Niliuliza hili kwenye uzi mwingine.Baadhi ya anayoyafanya ni mazuri hasa kwa wale ambao hawana sauti na kupata kutatuliwa kwa kero zao, swali ni moja tu ana mamlaka gani ya kushurtisha mamlaka nyingine zisizofungamana na chama kufanya anavyotaka yeye.
Yeye mamlaka yake hayavuki nje ya chama sasa inakuwaje anakuwa na nguvu ya kutoa hukumu kwa mamlaka nyingine na wao wakatii?
Kuendelea kumtii matamko yake kunatengeneza delusional power kwa muhusika kuhisi ana nguvu kubwa mno. Makonda ni mtu wa mihemko na mpenda sifa, wasipomdhibiti mapema atakuja kuingilia mpaka mamlaka ya aliemteua. Kwa sasa keshaanza kujihisi kuwa na yeye ni raisi.
Tunasubiri Nape Nnauye naye apigiwe simu, tuone maigizo.Bashe kaniangusha hahahaha inasemekana kaandika hayo uko x lakini leo hii kapigiwa Simu na Makonda kaulizwa maswali na kajibu vizuri na kuahidi kusimamia maekekezo ya chama.
Hahaha kweli za kuambiwa changanya na zako…Jamani mihemko ya uko x angalieni isije kuwapotezea vibarua vyenu
Majibu ya sukari wapi? Alipigiwa na nani? Akiwa wapi?
View: https://m.youtube.com/watch?v=iofbJt7Kryw
Tuone kama kweli anayosema.... 😀 😀Uone nini wakati message delivered
Ikiwa huo ndo UKWELI,Kuna clip inatrend mitandaoni ikimuonyesha Waziri wa Kilimo, Mh Hussein Bashe akiongea kwa hasira kuhusu kutoruhusu mtu yeyote kumfanyia lobbying ili aondoe bei elekezi ya sukari iliyowekwa na wazir ihuyo ili kulinda wazalishaji wa sukari na wakulima wa ndani. Bashe amesema mtu anayeweza kumuita na kumhoji ni Rais, VP au PM. Wengine wote waliosalia ni punda tu!
Inasemekana huyo mtu aliyeandaliwa kufanya lobbying si mwingine bali ni katibu mwenezi wa CCM, ndugu Paul Makonda. Habari kutoka ndani ya chama zinapenya kwamba siku mbili zilizopita mwenezi alifanya kikao usiku wa manane jijini Dar es Salaam na wafanyabiashara wa kihindi wanaoagiza sukari kutoka nje na kuazimia Makonda amuite Bashe na kumuonya aondoe bei elekezi kwa sababu bei hiyo sio rafiki kwa wafanyabiashara hao.
Watu walio karibu na Makonda na ambao ni waaminifu kwa Rais Samia, walipozipata taarifa hizi, wakazifikisha kwa Bashe mara moja. Ndipo Bashe alipotoka hadharani na kuweka msimamo wake.
"Urafiki kati ya Makonda na hawa wafanyabiashara ulijengeka wakati Makonda akiwa RC wa Dar es Salaam ambapo hao wawekezaji wamekuwa wakikichangia chama kwa hali na mali". Alisema mmoja wa wadau wsliohudhuria kikao hicho.
MAONI YANGU
Mimi binafsi naona Makonda yupo sahihi kwa upande mmoja na hayuko sahihi kwa upande mwingine. Yupo sahihi kwa kuwa biashara ya bidhaa za kilimo haiamuriwi na bei elekezi bali nguvu ya soko (demand and supply). Bidhaa zikiwa chache na uhitaji ukawa mkubwa, bei lazima ipande automatically. Na bidhaa zikiwa nyingi sokoni, bei lazima ishuke. Sasa inakuwaje Bashe aweke bei elekezi badala ya kuacha soko liamue?
Kwa namna nyingine, Makonda ana makosa. Wahindi kuchangia CCM hakiwezi kuwa kigezo cha kuingilia maamuzi ya seriakli. Kama alizoea kuchukua hela kwa wahinri wakati akiwa RC, sasa wakati wake umepita. Amuachie Albert Chalamila naye ale. Kila mbuzi hula kulingana na urefu wa kamba yake na kwa wakati wake.
HowHiyo post ni fake.
Haipo kwenye official account ya Bashe
Post gani mkuu? Original ni ipi sasa?Hiyo post ni fake.
Kwani hayo maneno aliyoonfea kuna mtu kamtilia kinywsni?0Haipo kwenye official account ya Bashe
Hiyo statement sijaonda akiiiongea yeye. Alichoongea sicho ulichokalili"Rais, Makamu wa Rais, Waziri Mkuu na Naibu Waziri Mkuu, hawa ndiyo wanaweza kuniita na kunihoji, hakuna mtu mwingine yoyote, watu wajue mipaka yao ya kazi," Waziri wa Kilimo Hussein Bashe.
View attachment 2884613
View attachment 2885428
Mfano katika hili suala ambalo Bashe analalamikiwa kuwa mabwana shamba wamejigeuza watoza ushuru.🤔🤣🤣🤣🤣🤣 wakigombana chukua jembe ukalime…
ChairmanNa kwenye chama bosi wake nani?