denoo JG
JF-Expert Member
- Oct 27, 2023
- 2,701
- 9,759
Makonda hana kosa, yuko sahihi kwa kile anachofanya kulingana na nafasi yake, akiwa kama mwenezi wa chama ni jukumu lake kufuatilia utendaji wa mawaziri wa chama chake wanaohusika kuitekeleza ilani yao, na kama hao mawaziri wakiyumba, Makonda lazima awaamshe.
Wengi wanaomponda Makonda wanasukumwa na his past record, na mazoea, lakini hawana hoja thabiti za kusimamia, ni chuki binafsi kwa Makonda, sijui wanataka Makonda akizunguka huko mikoani kufuatilia kero za wananchi awaulize wenyeviti wa mitaa wa CCM kuhusu ukosefu wa sukari!.
Watu lazima mkumbuke, mawaziri ndio wanaohusika kwa kiasi kikubwa kutekeleza ilani ya serikali ya chama chao, Makonda lazima ahangaike nao, hawezi kwenda kwa mwingine yoyote nje ya hao, sio Kinana, wala Nchimbi, hao mambo yao mwisho chamani.
Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
Wengi wanaomponda Makonda wanasukumwa na his past record, na mazoea, lakini hawana hoja thabiti za kusimamia, ni chuki binafsi kwa Makonda, sijui wanataka Makonda akizunguka huko mikoani kufuatilia kero za wananchi awaulize wenyeviti wa mitaa wa CCM kuhusu ukosefu wa sukari!.
Watu lazima mkumbuke, mawaziri ndio wanaohusika kwa kiasi kikubwa kutekeleza ilani ya serikali ya chama chao, Makonda lazima ahangaike nao, hawezi kwenda kwa mwingine yoyote nje ya hao, sio Kinana, wala Nchimbi, hao mambo yao mwisho chamani.
Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app