Fursakibao
JF-Expert Member
- Dec 12, 2017
- 6,813
- 11,540
[emoji23][emoji23][emoji23] kazi kweli kweliAlivyotoa majibu ya sukari kwa simu alikuwa anaitika kwa nani!!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23] kazi kweli kweliAlivyotoa majibu ya sukari kwa simu alikuwa anaitika kwa nani!!!
Makonda kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano labda apindue Serikali iliyopo madarakani kama Idd Amin wa darasa la nne kule Uganda.Mara papa bashite Kawa raisi wa nchi atatafuta pa kujificha
Ni msomi halali ukiona mtu anayumbishwa na kilaza Makonda jua huyo alifoji vyeti.namfahamu Bashe personally...haendeshwi ana imani ngumu sana nadhan na usomali wake umechangia ...You Go Bashe
Kwa macho ya nje sio china ila kiuhalsia ni chinaHapa sio kama China kwa Wakomunisti.
Ali Noor Kassim aliyezaliwa mwaka 1924 na kufa 2021 alikuwa mwanachama wa TANU na mwanasiasa maarufu wa jamii ya Ismailia...Al Noor Kassum alikuwa hana chama akateuliwa Waziri wa madini na nishati.
..tena hata kuongea Kiswahili alikuwa hawezi.
bashe boss wa polisi toka lini??Polisi wamhoji boss wao,huo ni upumbavu.
Anahojiwa kwa utaratibu upi?Wa Magufuri kutokutii sheria za nchi au wa Sheria za nchi yetu?bashe boss wa polisi toka lini??
anaitwa na anahojiwa vyema kabisa,tofauti yake na mtu mwingine yeye ana dhamana kubwa,hawezi fatwa kibabe abebwe msobe msobe,anaitwa na anaeleza ni wakati gani atafika kuitikia wito.
Ali Noor Kassim aliyezaliwa mwaka 1924 na kufa 2021 alikuwa mwanachama wa TANU na mwanasiasa maarufu wa jamii ya Ismailia.
Aliteuliwa kama katibu mkuu wa kwanza wa Wizara ya Elimu na Habari mwaka 1961 baada tu ya kupata uhuru.
Waziri wa wizara hiyo alikuwa Oscar Kambona. Alishika nyadhifa mbalimbali Serikali na alikuwa anazungumza kiswahili.
Fuatilia usilete tu habari za kuzusha.
Utakuwa humjui Al Noor Kassim kwa jina la utani Nick.Umehadithiwa fanya utafiti wacha kubishana tu bila ushahidi.Kama huamini ninachokueleza inga google tafuta ukweli...hakuwa Tanu.
..na alikuwa hajui kuzungumza kiswahili.
Tanzania ni nchi ya mabwege. Makonda anaogopwa mikoani huko utadhani yuko juu ya Mungu. Kila mtu anamwita ''mheshimiwa''.Kwani yeye ni mtendaji wa chama?
Bashe yupo sahihi. Mawaziri wote na watendaji wengine wote wa Serikali wanawajibika kwa aliyewateua, na siyo mwingine yeyote.
Chama kama kinaona kuna jambo ambalo halipo sawa, kinatakiwa kimhoji Rais ambaye ni kiongozi wa chama na ndiye msimamizi wa Serikali. Msimamizi wa Serikali, ndiye ana uwezo wa kuwahoji wateule wake na watendaji wote wa Serikali.
Makonda ni mpuuzi. Anawarukia watu ambao hawawajibiki kwake wala kwa chama bali kwa serikali na wakuu wa Serikali.
Nimeingia katika ukurasa wa Dkt.Bashe wa X.Hii post haipo.Nadhani ni FAKE.Moderator waiondoe"Rais, Makamu wa Rais, Waziri Mkuu na Naibu Waziri Mkuu, hawa ndiyo wanaweza kuniita na kunihoji, hakuna mtu mwingine yoyote, watu wajue mipaka yao ya kazi," Waziri wa Kilimo Hussein Bashe.
View attachment 2884613
China wananyonga watu kwa ufisadi, umeme haukatiki kama huku, hawajengi SGR zaidi ya miaka mitatuKwa macho ya nje sio china ila kiuhalsia ni china
kwani sheria zimemtaja waziri gani kuwa mwenye kinga ya kushtakiwa??Anahojiwa kwa utaratibu upi?Wa Magufuri kutokutii sheria za nchi au wa Sheria za nchi yetu?