Crocodiletooth
JF-Expert Member
- Oct 28, 2012
- 20,561
- 24,428
Nashindwa kuelewa watu sijui wanakwama wapi, chama ambacho ndio chenye rais wa nchi, ndiyo nguvu ya nchi iliyo, serekali Huwekwa na chama kwa ngazi zote, chama huituma serekali na kuipa majukumu sera na kila kitu, Makonda ndiye mdomo wa chama hakuna namna waandamizi wavumilie tu, chama hakiko tayari kuona sera zake hazitekelezwi, kama kiko makini kitaikaripia serekali na pengine kuiwajibisha, POWER OF POLITICAL PARTY, CCM."Rais, Makamu wa Rais, Waziri Mkuu na Naibu Waziri Mkuu, hawa ndiyo wanaweza kuniita na kunihoji, hakuna mtu mwingine yoyote, watu wajue mipaka yao ya kazi," Waziri wa Kilimo Hussein Bashe.
View attachment 2884613