Pre GE2025 Waziri Bashe: Wenye mamlaka ya kuniita na kunihoji kwenye nchi hii wapo wanne tu

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Niliuliza hili kwenye uzi mwingine.
 
Tunasubiri Nape Nnauye naye apigiwe simu, tuone maigizo.
 
Ikiwa huo ndo UKWELI,

Mwenezi anamhujumu Sa100 nyuma ya pazia.
 
🤔🤣🤣🤣🤣🤣 wakigombana chukua jembe ukalime…
Mfano katika hili suala ambalo Bashe analalamikiwa kuwa mabwana shamba wamejigeuza watoza ushuru.

Je lina ukweli wowote?
Yeye Bashe analifahamu hilo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…