Pre GE2025 Waziri Bashe: Wenye mamlaka ya kuniita na kunihoji kwenye nchi hii wapo wanne tu

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
ni sahihi kabisa kiutendaji,ila kichama makonda yuko sahihi pia.

anapopiga simu makonda,lengo sio kumuwajibisha waziri,ama afisa husika,lengo ni kuwapa majibu wananchi wanaosikiliza,ambao kimsingi ndio maboss wa awali wa kila mtumishi.

watu wanaleta hisia humu sababu wanamchukia makonda,lakini ile ndio kazi ya mwenezi,ambazo mlichukia sana zikifanywa na viongozi wa mbio za mwenge mkidai hawana staha.
 
..Al Noor Kassum alikuwa hana chama akateuliwa Waziri wa madini na nishati.

..tena hata kuongea Kiswahili alikuwa hawezi.
Ali Noor Kassim aliyezaliwa mwaka 1924 na kufa 2021 alikuwa mwanachama wa TANU na mwanasiasa maarufu wa jamii ya Ismailia.
Aliteuliwa kama katibu mkuu wa kwanza wa Wizara ya Elimu na Habari mwaka 1961 baada tu ya kupata uhuru.
Waziri wa wizara hiyo alikuwa Oscar Kambona. Alishika nyadhifa mbalimbali Serikali na alikuwa anazungumza kiswahili.
Fuatilia usilete tu habari za kuzusha.
 
bashe boss wa polisi toka lini??

anaitwa na anahojiwa vyema kabisa,tofauti yake na mtu mwingine yeye ana dhamana kubwa,hawezi fatwa kibabe abebwe msobe msobe,anaitwa na anaeleza ni wakati gani atafika kuitikia wito.
Anahojiwa kwa utaratibu upi?Wa Magufuri kutokutii sheria za nchi au wa Sheria za nchi yetu?
 

..hakuwa Tanu.

..na alikuwa hajui kuzungumza kiswahili.
 
..hakuwa Tanu.

..na alikuwa hajui kuzungumza kiswahili.
Utakuwa humjui Al Noor Kassim kwa jina la utani Nick.Umehadithiwa fanya utafiti wacha kubishana tu bila ushahidi.Kama huamini ninachokueleza inga google tafuta ukweli.
 
Tanzania ni nchi ya mabwege. Makonda anaogopwa mikoani huko utadhani yuko juu ya Mungu. Kila mtu anamwita ''mheshimiwa''.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…