#COVID19 Waziri Dorothy Gwajima: "Mume wangu ametest mitambo, kakuta Niko fiti"

Ha ha ha aaaaaa, brilliant, brilliant, brilliant.
Dr Gwajima anafaa kumpokea kijiti Mama baada ya mikumi.
 
Tukihitaji uthibitisho atoe ushirikiano tafadhali.[emoji276]
 
Mama alikua kichwani safi sana huyu enzi anabukua huyu mnyaturu. Sema ana roho moja nzuri sana (namfahamu). Sema nini arudi tu kwenye taaluma yake ya udaktari. Huku anatuchekesha tu
Mnyiramba huyo
 
Hahhaah darling umechanja lakini ?Dorothy anasifikia kitu cha kisukuma bado kipo 90 degree wakati wa mechi .
 
Hii ndio aina ya viongozi wa jamhuri ya muungano wa Tanzania, ndio aina ya watu walio mbele yetu nasi tunatembea katika nyayo zao ili kufikia maendeleo!
Safari bado ni ndefu mno!
 
serikali ishageuka ya wanawake tupu full mipasho,huyu alipaswa awe ashatumbuliwa
 
Anatestiwa na viba100 anajisifu akuje musoma kuna dick
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…