Kwa hiyo ni mjamzito?? Au ufiti gani anaongelea?
Ndipo mjue kwamba chanjo inaondoa akili vichwani. Huwezi kuwa mwanasayansi ukaconclude madhara ya chanjo kwa s.xual competence. Huu ni mzaha. Anapshwa kujiuzuru vinginevyo taifa linaangamia. Watu wanaongelea madhara ya msingi kama:-
1. Kubadilishwa DNA irreparably,
2. Kufanywa sterile mtu aziweze kuzaa maishani.
3. Miscarriages yaani kuharibika kwa ujauzito.
4. Kudhoofu kwa kinga za mwili na kuwa prone kwa magonjwa ambayo kabla ya chanjo mwili wa mtu ulikuwa na uwezo wa kupigana nayo na kuyashinda bila dawa.
5. Watu wanaongelwa habari za vifo baada ya chanjo,
6.Kugandadamu, na kupooza.
7. Uwezo wa chanjo ambayo ndiyo agend akubwa kwa sasa kwamba America imeona chanjo haina nguvu tena kwa hiyo lazima ije nyingine ambayo haielweiki kama itakuwa na uwezo wa nini.
8. Maswali ni kwa nini wanaochanjwa wanakufa sawa na wasiochanjwa.
9> kwa nini wlaiochajnwa wanahofu ya maambukizi kuliko wasiochanjwa hadi walazimishe kila mtu achanjwe ikiwa wao wamehakikishiwa hakuna kufa kwa corona maana wamenchanjwa.
10. Madhara yaliyoonekana yatokanayo na chanjo hizi kwa wanyama.
11. Sintofahamu ya madhara mengine baada ya miaka 10 mble
n.k.
Halafu eti waziri wa afy aanaleta upumbavu wa namna hii. Anapashwa kujiuzuru kwa maslahi ya taifa. Tayari chancjo imemfanya mwenu na hafai kuendelea kuongoza watu.