Waziri gani alimdhulumu Rais mstaafu Mwinyi vifaa vyake vya ujenzi?

Hujui uungwana na sheria za mtu kutoka katika nyumba ni mwezi moja mpaka mitatu, sasa yeye kajiuzulu hata wiki haijapita , kwa Sababu kateuliwa waziri na kuwa allocated Nyumba akitaka PAPO kwa PAPO, ndio Muungwana akamwachia , roho mbaya ikamsuta , jamaa alivyokuwa Raisi na Bado akamchagua Raisi. Na aliporudisha akaleta kuliko alivyochukua kutokana na bange ya makete
 
Yeye kawadhulumu WaZanzibari mpaka leo likitajwa jina lake wazanzibari wanasema .......kwa sababu alifanya jinai isiyoelezeka. hata hii leo mwanawe ni Raisi wa zanzibar bado Ali Hasan Mwinyi hawezi kutembea au kujitokeza mbele ya hadhara ya WaZanzibar,inahitaji mwanae amuombee msamaha kwa WaZanzibari.
 
Kama alimdhulumu kwa nini alimpa Uwaziri mtu mdhulumati asiye na integrity ?
 
Katika kitabu chake "Maisha ya Mzee Rukhsa" ameiongelea habari hiyo na amemtaja Waziri huyo kuwa ni Marehemu Jackson Makweta
 
Katika kitabu chake "Maisha ya Mzee Rukhsa" ameiongelea habari hiyo na amemtaja Waziri huyo kuwa ni Marehemu Jackson Makweta
 
Hebu wacheni kumzushia mzee wa watu!
 
Vibinti vya themanini seriously? Kwa taarifa yako tu mwaka 1978 ndiyo nilijiunga na Chuo Kikuu (enzi hiyo ni Dar tu), kwa hivyo tafadhali tuheshimiane kwa hilo na tukubaliane kutafautiana kimawazo na kimtazamo kuhusu Mwinyi kwani siyo dhambi.

Hao akina Mbatia waliokuwa wajuaji sana wameishia wapi? Ni kawaida enzi zile wanafunzi wa Chuo Kikuu kujiona wao ndiyo kila kitu na wengine wote ni wajinga.
 
Alikufa akiwa maskini kabisa na yeye alizulumiwa na wajanja wa njombe huko na uchagani
Hivyo akaiachia familia yake majanga!!! Mungu ameikataza dhulma... na hakika kila mmoja analipwa kwa matendo yake. Ila wengi wanalewa madaraka na kusahau..
 
Hufananii na miaka unayosema!...anyway basi wewe ni kikongwe na mie kijana barobaro wa 2000s
 
Kama alimdhulumu kwa nini alimpa Uwaziri mtu mdhulumati asiye na integrity ?
Aliangalia siasa za Tz Bara, na ku balance uongozi wa kitaifa na si kuangalia kutokuwa muungwana kwakèeeeeee na zaidi ya hapo adhabu stahili kwa mtu asiye muungwana ni kumfanyia uungwana ndio atajifunza vizuri zaidi
 
Mzee ana roho nyeupe ndio maana ameishi miaka mingi, he is 96 today.
Kweli roho nyeupe, lakini jee ameeleza ile hoteli ya white sands na zile nyumba za pale msasani maana mwalimu alichukua mkopo THB kujenga na bado ikamshinda mpaka alipowaachia serikali
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…