Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hbr za usiku, hongera kwa majukumu. Naifungua haifunguki kwangu. Naomba mwenye nayo nitumieni kwenye 0765345777 hiyo video nione tafadhali ndiyo nijue nini tufanye. Ubarikiwe.Anawauliza watoto wanaochukiwa na baba zao. Je amewaandaa kisaikolojia? Mbona yaonekankama ni udhalilishaji kwa watoto na wazazi wao. Angalia clip hapa
Imefunguka, nimempa kamishna wa ustawi wa jamii afanyie kazi. Ahsanteni sana kwa ushirikiano.Anawauliza watoto wanaochukiwa na baba zao. Je amewaandaa kisaikolojia? Mbona yaonekankama ni udhalilishaji kwa watoto na wazazi wao. Angalia clip hapa
Kila huduma ina mwongozo wake na hizi huduma za ustawi nazo ni taaluma. Nia njema isipoenda na itifaki yake, inaweza kugeuka changamoto halafu tena tukaja kuulizana maswali.Sioni alichokosea
Ifike wakati wababa wawajibike na malezi
Hao wasichana wanahitaji upendo na malezi ya baba zao
Uko sahihi, Na hapa ndiyo ambapo changamoto itaibukia.Kwa kigezo kipi anatumia kuhakiki hiyo 'chuki' ikiwa ni mtoto ndio kaulizwa bila ya mzazi husika kuwepo??
Kuwaita mbele ya wenzao ni kuweka suluhisho lolote la kuleta huo upendo?? Kama dhamira ni kumkabili mzazi husika, je anaathirika vipi ikiwa hayupo hapo??
Kwa sehemu kama shule hudhani anatengenezea hao waliojitokeza mbele mazingira ya kuonewa 'bullying' na wenzao kwa kufanyiwa dhihaka ya kutokupendwa na wazazi wao?
🙏🙏🙏🙏Uko sahihi, Na hapa ndiyo ambapo changamoto itaibukia. Nimempa mtaalamu wa huduma za ustawi wa jamii atuongoze Ili twende salama. Nia njema iende sahihi ili tufanikiwe
AseeeeeKila huduma ina mwongozo wake na hizi huduma za ustawi nazo ni taaluma. Nia njema isipoenda na itifaki yake, inaweza kugeuka changamoto halafu tena tukaja kuulizana maswali. Tujengane tu vzr Ili umoja wetu uwe na tija nzuri kabisa
Sent from my CPH2207 using JamiiForums mobile app
Mh ikiwezekana ni maombi yetu tafadhali hawa wanaharakati katika engo yoyote wasiwe wanapewa nafasi ya kuzungumza na watoto huko shuleni bila wataamu na miongozo sahihi dhidi ya hayo mazungumzo.Imefunguka, nimempa kamishna wa ustawi wa jamii afanyie kazi. Ahsanteni sana kwa ushirikiano.
Mheshimiwa huwa nakupita kimya kimya hapa JF lakini nimeona nawiwa kukupa hongera kwa uwajibikaji wako na kuwa karibu na jamii kwa maswala yanayokuhusu.Imefunguka, nimempa kamishna wa ustawi wa jamii afanyie kazi. Ahsanteni sana kwa ushirikiano.
Its all about Wanaume?Ni kitu kizuri kumfariji na kumtia moyo mtu, ila hapo si mahali sahihi. Kwa muktadha wa shuleni, wanafunzi wenzio wakijua matatizo yako wanaweza kuyatumia against you mambo yakazidi kuwa magumu kwa mhusika.
Nilipokuwa binti mdogo nilikua namuona Lilian kama mtu mwenye akili sana sababu anajua kuongea/present, baada ya akili zangu kukomaa nimekuja kugundua Lilian ni mpumbavu mmoja mwenye “Audacity” na guts za kudisplay upumbavu hadharani, sorry not sorry.
Bottom line: wanaume jitahidini kuwa kwenye maisha ya watoto mnaoshiriki kuwaleta duniani baada ya ile starehe, hakuna maumivu mabaya kama maumivu ya kukataliwa, ninyi tu mkikataliwa kwenye kutongoza mnakuwa na vinyongo wakati mwingine inakuwa vita kabisa, sembuse mtu aliyekataliwa na aliyemleta duniani? SMH! 🤦🏻♀️
Mimi nimempenda bureTunzeni watoto wenu, huo ni ukweli hakuna udhalilishaji hapo.
Una uhakika kuwa una jicho la tatu mkuu???Hili ni lifeminist tu linajikuta linamshirikisha Mungu kwenye mambo ya kipumbavu, mara nyingi au mara zote baba kukataa kuhudumia mtoto hapo ujue chanzo ni mama sema madingi hatunaga time ya kuzungumzia yanayotusibu tunakausha na Mungu ndo muamuzi.
Feminist huyu ni wa kupuuzwa hayo maombi yenyewe ukiyaangalia kwa jicho la tatu ni ya mchongo, maombi kashayafanyia rehearsal kayakariri mpuuzi mmoja wa kupuuzwa.