Zogwale
JF-Expert Member
- Jul 10, 2008
- 15,295
- 10,928
Mwanaume hata ukosane na mzazi mwenzako hakikisha unalea mtoto/watoto. Nimefurahi Sana hawa watoto wamesema vilio vya mioyo yao. Ninajua fika kuwa hao Baba wameona hizi Sura. Shame on them.Anawauliza watoto wanaochukiwa na baba zao. Je amewaandaa kisaikolojia? Mbona yaonekankama ni udhalilishaji kwa watoto na wazazi wao. Angalia clip hapa