Dkt. Gwajima D
Minister
- Nov 28, 2015
- 966
- 6,019
Hbr za asubuhi. Ahsante Sana kwa ufuatiliaji. Usinipite kimya kimya ndugu yangu, nahitaji mawazo ya kila mmoja, ahsante kwa Leo, endelea kufuatilia na kutoa ushirikiano. Jamii yetu ina mambo mengi Sana, huku lile huku jingine jipya. Ila tutafika kwa ushirikiano. UbarikiweMheshimiwa huwa nakupita kimya kimya hapa JF lakini nimeona nawiwa kukupa hongera kwa uwajibikaji wako na kuwa karibu na jamii kwa maswala yanayokuhusu.
Hongera sana mama.
Sent from my CPH2207 using JamiiForums mobile app