Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni hatari sana hii kitu ni udhalilishaji mkubwa sanaAnawauliza watoto wanaochukiwa na baba zao. Je amewaandaa kisaikolojia? Mbona yaonekankama ni udhalilishaji kwa watoto na wazazi wao...
Radical feministHuyo Lilian Mwasha ndio nani, wengine tuko kanda maalum huku hatumjui
Tunzeni watoto wenu, huo ni ukweli hakuna udhalilishaji hapo.Ni hatari sana hii kitu ni udhalilishaji mkubwa sana
Kwa kigezo kipi anatumia kuhakiki hiyo 'chuki' ikiwa ni mtoto ndio kaulizwa bila ya mzazi husika kuwepo?Sioni alichokosea
Ifike wakati wababa wawajibike na malezi
Hao wasichana wanahitaji upendo na malezi ya baba zao
Humjui Lilian Mwasha basi utakuwa hujawahi kusikiliza Radio maana amepita station kadhaa kubwa bongoLilian mwacha ndio nani? Tuanzie hapo kwanza. Maana bongo ina mlolongo wa celebrities uchwara mpaka bas
Mtangazaji wa kipindi Cha redio EA Redio nahisi km sijakosea au Wasafi au Claods huko kote kapitaLilian mwacha ndio nani? Tuanzie hapo kwanza. Maana bongo ina mlolongo wa celebrities uchwara mpaka bas
Kabisa.Tunzeni watoto wenu,huo ni ukweli hakuna udhalilishaji hapo.
Kwa kigezo kipi anatumia kuhakiki hiyo 'chuki' ikiwa ni mtoto ndio kaulizwa bila ya mzazi husika kuwepo??
Kuwaita mbele ya wenzao ni kuweka suluhisho lolote la kuleta huo upendo?? Kama dhamira ni kumkabili mzazi husika, je anaathirika vipi ikiwa hayupo hapo??
Kwa sehemu kama shule hudhani anatengenezea hao waliojitokeza mbele mazingira ya kuonewa 'bullying' na wenzao kwa kufanyiwa dhihaka ya kutokupendwa na wazazi wao?
Kama ni sawa basi poa ngoja tuone mwisho wakeTunzeni watoto wenu,huo ni ukweli hakuna udhalilishaji hapo.
Ni muhubiri au mwanaharakati?Anawauliza watoto wanaochukiwa na baba zao. Je amewaandaa kisaikolojia? Mbona yaonekankama ni udhalilishaji kwa watoto na wazazi wao. Angalia clip hapa