#COVID19 Waziri Gwajima: Viongozi wa Serikali wasiochanjwa waachie ngazi

#COVID19 Waziri Gwajima: Viongozi wa Serikali wasiochanjwa waachie ngazi

Ujanja ni kuchanja💉💉💉
 
Sio kazi ya asiechanja kumlinda ambae amechanja, ni kazi ya chanjo kumlinda ambae amechanja...
Ni kweli, kuna wakati ni vema kuishi kwenye msimamo wako kama alivyofanya Magufuli. Yeye alisema, kufa tutakufa tu, hata mimi nitakufa. Naweza kufa kwa corona au kitu kingine. Alilisimamia hiyo, na kweli alikufa kwa cor9na kama alivyonena.
 
Huyu shemeji yetu tuliingizwa Chaka kabisa sijui Maza hasikii siku hizi vijana wake wanajisemea tu .. matumizi mabaya ya madaraka naye amfungulie mashtaka
 
Hivi kwanza anategemea kwenda jimbo gani 2025 manake naona yamejaa na hakuna wapinzani

Sent from my SM-G9350 using JamiiForums mobile app
Waziri anatakiwa kuwa mtu makini siyo mtu wa kuropokaropoka tu, chanjo ni hiari yeye analazimisha.
Corona yenyewe wanaijua yeye na Hangaya tu.
Watavaa Sana mibarakoa mpaka midomo iwe miekundu Kama kanoni ka jiji.
 
Duuh! Mbona rais alisema kuwa NI HIARI? Viongozi hawana haki ya kutumia hiyo hiari?

Huyu waziri akiambiwa kuwa kauli yake ni NONSENSE atalalamika?
Nchi nyingi sasa ni lazima mambo ya kubembelezana yanaisha
 
Waziri wa Afya, Dorothy Gwajima karudi na rungu.

Ametoa rai kuwa viongozi ambao mpaka sasa hawajachanjwa, watatakiwa waachie ngazi kwani hawawezi kusimamia kampeni ya kusimamia uchanjwaji dhidi ya corona.

Waziri wa Afya amesema kama Rais kachanja ili iwe mfano, sasa hao viongozi hawatetei msimamo wa Serikali

Tulisha liona hili huko nyuma: #COVID19 - Kuchanja sasa kuwe lazima, hasa wafanyakazi serikalini. Chanja au achia ngazi

View attachment 2028866
yeye mbona alipinga mpango wa bima ya afya na hakuachia ngazi .huyu mama ana mapepo anatakiwa kuombewa.
 
Waziri wa Afya, Dorothy Gwajima karudi na rungu.

Ametoa rai kuwa viongozi ambao mpaka sasa hawajachanjwa, watatakiwa waachie ngazi kwani hawawezi kusimamia kampeni ya kusimamia uchanjwaji dhidi ya corona.

Waziri wa Afya amesema kama Rais kachanja ili iwe mfano, sasa hao viongozi hawatetei msimamo wa Serikali

Tulisha liona hili huko nyuma: #COVID19 - Kuchanja sasa kuwe lazima, hasa wafanyakazi serikalini. Chanja au achia ngazi

View attachment 2028866
kwa sheria ipi? waziri unafikiri bado tupo zama za mwendazake mlivyotufukisha na kubugia mimoshi ati dawa ya corona.
 
Waziri wa Afya, Dorothy Gwajima karudi na rungu.

Ametoa rai kuwa viongozi ambao mpaka sasa hawajachanjwa, watatakiwa waachie ngazi kwani hawawezi kusimamia kampeni ya kusimamia uchanjwaji dhidi ya corona.

Waziri wa Afya amesema kama Rais kachanja ili iwe mfano, sasa hao viongozi hawatetei msimamo wa Serikali

Tulisha liona hili huko nyuma: #COVID19 - Kuchanja sasa kuwe lazima, hasa wafanyakazi serikalini. Chanja au achia ngazi

View attachment 2028866
Naunga mkono hoja, hiki alichokisema Waziri Gwajima, ni kitu cha kweli, kama serikali yako imekubali chanjo na rais wako kachanja, wewe kiongozi wa umma, lazima uonyeshe uongozi kwa vitendo na kwa mfano, kwa viongozi wote wakuu wa umma lazima wachanje hadharani, ule uhiari, hauwahusu viongozi wa umma, kwa viongozi wa umma kuchanja ni lazima, asiyechanja aachie ngazi!.

Niliwahi kusema mahali, chanjo ya Korona japo inasemwa kuwa ni hiyari, hii ni hiyari ya lazima, kuna nchi mtu huruhusiwi kuingia bila cheti cha chanjo ya Corona. Hivyo sasa tunaanza mdogo mdogo kwa viongozi wa umma, chanjo sio hiyari ni lazima,
kama wewe ni kiongozi wa umma na huamini chanjo, achia ngazi!.
P.
P
 
Naunga mkono hoja, hiki alichokisema Waziri Gwajima, ni kitu cha kweli, kama serikali yako imekubali chanjo na rais wako kachanja, wewe kiongozi wa umma, lazima uonyeshe uongozi kwa vitendo na kwa mfano, kwa viongozi wote wakuu wa umma lazima wachanje hadharani, ule uhiari, hauwahusu viongozi wa umma, kwa viongozi wa umma kuchanja ni lazima, asiyechanja aachie ngazi!.

Niliwahi kusema mahali, chanjo ya Korona japo inasemwa kuwa ni hiyari, hii ni hiyari ya lazima, kuna nchi mtu huruhusiwi kuingia bila cheti cha chanjo ya Corona. Hivyo sasa tunaanza mdogo mdogo kwa viongozi wa umma, chanjo sio hiyari ni lazima,
kama wewe ni kiongozi wa umma na huamini chanjo, achia ngazi!.
P.
P
Hakuna sheria yoyote ya utumishi inasema hivyo!! Wewe nasikia ni Mwanasheria umesomea sheria gani mkuu?
 
Waziri wa Afya, Dorothy Gwajima karudi na rungu.

Ametoa rai kuwa viongozi ambao mpaka sasa hawajachanjwa, watatakiwa waachie ngazi kwani hawawezi kusimamia kampeni ya kusimamia uchanjwaji dhidi ya corona.

Waziri wa Afya amesema kama Rais kachanja ili iwe mfano, sasa hao viongozi hawatetei msimamo wa Serikali

Tulisha liona hili huko nyuma: #COVID19 - Kuchanja sasa kuwe lazima, hasa wafanyakazi serikalini. Chanja au achia ngazi

View attachment 2028866
Kumbe waziri wa afya ndio muajiri sikuhizi!
 
Waziri wa Afya, Dorothy Gwajima karudi na rungu.

Ametoa rai kuwa viongozi ambao mpaka sasa hawajachanjwa, watatakiwa waachie ngazi kwani hawawezi kusimamia kampeni ya kusimamia uchanjwaji dhidi ya corona.

Waziri wa Afya amesema kama Rais kachanja ili iwe mfano, sasa hao viongozi hawatetei msimamo wa Serikali

Tulisha liona hili huko nyuma: #COVID19 - Kuchanja sasa kuwe lazima, hasa wafanyakazi serikalini. Chanja au achia ngazi

View attachment 2028866
Madaraka mwana malevya na dharau kubwa sana kwa watanzania. Huyu anachokiongea sio yeye ametumwa na viongozi wake wakubwa atamke hivyo. Hiari na ulazima unatokea wapi?

Anguko la serikali liko karibu sana kutokea muda sio mrefu kwa Mungu hataniwi.
 
Huyu waziri ameanza tena. Huyu naye anayembeba aonage aibu. Kila siku yeye tu kuleta sintofahamu. Kwani wameshachanja wangapi mpaka sasa
Hahahaha
 
Kulinda Cheo tu kinamfanya abwatuke hivyo.
Kama nchi ni ya babu yake wataachia.

Hajiulizi tu CCM Ina wanachama 8m. Chanjo zilikuwa 1m,hazikuisha mpaka zikaexpire.
Hatumii akili wenye chama wenyewe hawataki misumu,kisa kumfurahisha beberu kwa ajili mkopo.
Hahahaha
 
Madaraka mwana malevya na dharau kubwa sana kwa watanzania. Huyu anachokiongea sio yeye ametumwa na viongozi wake wakubwa atamke hivyo. Hiari na ulazima unatokea wapi?

Anguko la serikali liko karibu sana kutokea muda sio mrefu kwa Mungu hataniwi.
Huyu kweli katumwa, ukimwona kobe juu ya mti kapandishwa huyooo......
 
Kumbe kuna watu wamegoma kupokea chanjo [emoji1][emoji2][emoji16],kila tulikuwa tunaambiwa watu wengi wanapokea chanjo, nilikuwa nawaambia corona hii ya kutafuta kwa tochi, akuna Mtu anayeweza kwenda kudungwa misumu ambayo haijulikani effect zake badae,acha ziwadodee wajue Watanzania Sio mapompoma tena, Magufuri aliacha ametuondolea woga hata ifike mawimbi 10, maana nasikia limekuja la nne [emoji16][emoji2][emoji2][emoji1][emoji3]
[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Huyu mama hajiamini ..siyo kauli ya kutolewa msomi Kama huyu ...anastahili kupisha uchunguzi dhidi ya matamshi dhidi yake. Ila Hakuna mtu ambaye alishapambana na Mch Josephath Gwajima akabaki salama
[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Waziri wa Afya, Dorothy Gwajima karudi na rungu.

Ametoa rai kuwa viongozi ambao mpaka sasa hawajachanjwa, watatakiwa waachie ngazi kwani hawawezi kusimamia kampeni ya kusimamia uchanjwaji dhidi ya corona.

Waziri wa Afya amesema kama Rais kachanja ili iwe mfano, sasa hao viongozi hawatetei msimamo wa Serikali

Tulisha liona hili huko nyuma: #COVID19 - Kuchanja sasa kuwe lazima, hasa wafanyakazi serikalini. Chanja au achia ngazi

View attachment 2028866
Hajawahi kuwa na akili za kujitegemea
 
Kulinda Cheo tu kinamfanya abwatuke hivyo.
Kama nchi ni ya babu yake wataachia.

Hajiulizi tu CCM Ina wanachama 8m. Chanjo zilikuwa 1m,hazikuisha mpaka zikaexpire.
Hatumii akili wenye chama wenyewe hawataki misumu,kisa kumfurahisha beberu kwa ajili mkopo.
Maralia imemshinda
TB imemshinda
Huduma bora za afya kila kona zimemshinda
Kushupalia chanjo ndiyo anaona ni wajibu wake kuliko mengine
 
hivi hawa wapuuzi anayewachaguaga kua viongozi ni nani ?
 
Back
Top Bottom