Waziri Innocent Bashungwa awakabidhi Wakuu wa Majeshi Wastaafu Land Cruiser LC300 mpya

Nini maana ya Defence?
Hiki cheo Cha Usalama mnakitoa wapi?
 
Ahsantee kwa ufafanuzii.
 
CIC ni nani? Hebu tueleweshee na ututajie jina la huyo CIC
 
Vijana tuendelee kusubiri taifa la kesho!
Mara uzee huo..., bila hodi unaibukia taifa la tasaf!
Tuendelee kusoma namba
 
Hata nyumba zao watakabidhiwa au wameshakabidhiwa, Zipo nyedengwa investment area, majirani zao ni akina mama yetu wa Chato, jesika na wengineo. ☺️

Tujitahidi tuwe wakubwa na tuendelee kulipa kodi, sisi ni “wanzalendo”.
 
Huyo wa pili kushoto ni kama alipata wito akiwa bar kisha kwa haraka na bila kwenda home kwanza akawahi Ikulu kupokea chuma.
 
Sirro sio CDF Mstaafu..

Sheria inasema apewe,sasa sijajua wameikarabati pesa ya ununuzi wakachukua kaprado ama vipi maana hiyo kampuni ina matapeli waliokubuhu[emoji28][emoji28][emoji28]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…