Unamdanganya Jaffo kwa makusudiBaada ya wataka urais wengi kutokuwepo kwenye baraza hili jipya la uwaziri na Seleman Jafo kuwepo sasa njia ya Chamwino 2025 ni nyeupe.
Jaffo amepunguziwa upinzani kabisa hapo amebakia yeye na mwinyi na Mwigulu kwa mbali (ukizingatia kauli ya Rais kwamba hatamuachia nchi mtu mzee)
Makonda
Makamba
Nape
Mavunde
Masauni
Kigwangalla
Ndoto zao za kisiasa kuingia ikulu 2025 ndio basi tena
Pole nyingi pia kwa
Mnyeti
Kunambi
Gambo
Kimei
NmekupataHuwezi risk machafuko tena Zanzibar kww kufanya uchaguzi wa mtu mwingine tena hasa ukizingatia hali ya kisiasa tuliyonayo dhidi ya ulimwengu.
Mama Samia sawa, ila Majaliwa sishauri..Jaffo haiwezekani,halafu ikitokea Magufuli haongezi muda,ni sure Rais ajae ni Majaliwa au Mama Samia ,issue ya mwanamke wa kwanza Rais.
huenda ndio lengo la posti hii. UCHONGANISHI!Hii post yako inaweza mfanya Jafo atengenezewe scandal na system ili aondolewe kwenye uwaziri na kufutwa kwenye uso wa siasa za Tanzania kama wengine.
Sijui hamjagundua kuwa Magufuli hataki mtu yoyote apate umaarufu kisiasa zaidi yake. Maana yake anampango wa kuendelea kuongoza zaidi ya miaka hata 20.
Kama unabisha save hii post yangu kabla ya 2022 kuisha ukiona katiba inabadilishwa na kuongezewa muda njoo usome tena nilichoandika hapa na ndyo utaelewa.
Hili swala si Mara ya kwanza kuona ukiliweka humu jukwaani.Nasikitika kwakua hautakuwa shahidi wa hilo swala, sijajua kama kuna uwezekano wowote wa kulishuhudia huko utakako kuwa.Hapo kwa mama Samia uko sahihi kabisa na atakuwa Rais mwakani kwa mujibu wa Katiba yetu.
Hawa watu umewatoa wapi? 😂😂😂 ikulu sio buza mkuuMakonda
Makamba
Nape
Mavunde
Masauni
Kigwangalla
Ndoto zao za kisiasa kuingia ikulu 2025 ndio basi tena
Pole nyingi pia kwa
Mnyeti
Kunambi
Gambo
Kimei
Ni katiba ndo imesema hvyo au katiba ya kchwani kwako??Mkuu,
Makamu wa Rais akifanya kazi mfululizo na Rais aliyeko madarakani na kukamilisha kwa pamoja muda wa miaka mitano mitano ujmla kumi hana sifa ya kugombea Urais maana ni sawa na Rais aliyeko madarakani kuongeza muda wake hiyo ikae kichwani
Ni Mwinyi,utakuja niambiaJaffo haiwezekani,halafu ikitokea Magufuli haongezi muda,ni sure Rais ajae ni Majaliwa au Mama Samia ,issue ya mwanamke wa kwanza Rais.
We jamaa INA maana jiwe atarest in peace sio hahahahahaaHapo kwa mama Samia uko sahihi kabisa na atakuwa Rais mwakani kwa mujibu wa Katiba yetu.
Mkuu Pascal MayallaBaada ya wataka urais wengi kutokuwepo kwenye baraza hili jipya la uwaziri na Seleman Jafo kuwepo sasa njia ya Chamwino 2025 ni nyeupe.
Jaffo amepunguziwa upinzani kabisa hapo amebakia yeye na mwinyi na Mwigulu kwa mbali (ukizingatia kauli ya Rais kwamba hatamuachia nchi mtu mzee)
Makonda
Makamba
Nape
Mavunde
Masauni
Kigwangalla
Ndoto zao za kisiasa kuingia ikulu 2025 ndio basi tena
Pole nyingi pia kwa
Mnyeti
Kunambi
Gambo
Kimei
Uliona mbali sana hakika unastahili ulinzi.[emoji28]Hapo kwa mama Samia uko sahihi kabisa na atakuwa Rais mwakani kwa mujibu wa Katiba yetu.
Ulitisha sana Mkuu.Jaffo kahurumiwa tu, huko TAMISEMI kashindwa kudhibiti rushwa na matumizi mabaya ya pesa, labda apate u-Rais wa Wasafi
Unajionaje na kauli yako hii?Jiwe hawezi mwachia nchi muislamu, yaani hamjui tu hadi leo
Tatizo huwa mnamsahau sana MUNGU.Tz haitokuja kutokea kwa raisi mwanamke
Nadhani jibu umelipata. Uliwaza vyema sana.Je aliyepo akitangulia mbele ya haki,huyo mama atakamatia?
Katiba ni kimojawapo kwenye system. Nadhani utakuwa umeelewa sasaMama Samia big no. I mean sio kwamba simpendi. Ila system haijawekeza kwake. Lazima watakuja na mtu flani.
Mmh hatari sanaMwakani kutakuwa na msiba mkubwa wa furaha
SafiJaffo haiwezekani,halafu ikitokea Magufuli haongezi muda,ni sure Rais ajae ni Majaliwa au Mama Samia ,issue ya mwanamke wa kwanza Rais.