Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
Ongeza sauti hatusikii huku nyuma..."Mama Samia ,issue ya mwanamke wa kwanza Rais."
Hahah wakati Magu mwenyewe alisema isingekua ni mambo ya Gender ningemchagua Mwinyi awe ndio makamu wangu wa Rais.
Sasa leo ndio aje kumpa urais huyo Mama? NEVER.