Waziri Makamba: Msitegemee wala kutarajia bwawa la mto Rufiji kujazwa maji mwezi Machi

Endelea kushabikia CCM .
 
Makampuni yanayojenga madaraja huko lusisi mwanza,SGR, caspian,na Tanzanite jamaan angalieni tusiondolewe ufaham.hizo winching zikodishwe huko.labda kwa kuwa hatujafanyia utafiti hatutaweza kuwa na majibu toshelezi.naamini katika mpango kila kitu kinatakiwa kiwe mahali pake.
 
Propaganda za Mbowe hazinihusu, muache apambane na Mahhakama. Utakufa na kijiba cha roho kwa kufikiria 10% ya mwenzio.

10% hata Nabii Abraham alimtolea Kuhani Melchzedeck, sembuse ya binadamu wa Leo. Just admit the guy is over above your level
 
I know that utakuwa ulikuwa na different ID, then umebadili ID purposefully. Na naziona sababu zako za kubadili ID ziko na premeditated ill motive. Na ndiyo maana unajibu kwa jazba kwa kiniita kilaza because I got you by the balls
 
Makamba anafanya kazi ilimleta hapo yaani kuja kuchelewesha na kama siyo kuja kuua mradi wote mtaona tuu maji yalikuwa yajazwe mwezi huu JPM dead na Kalema out kazi iendelee KAZI IPI IENDELEE??? YA UHUJUMU NA UPIGAJI hamkuelewa Samia alisema tu Kazi iendelee yaaah mazozo wakalifurahia neno bila kujua maana yake poleni
 
Niliwahi kusema awali, hatuna waziri kwenye wizara hii, ila Kuna mtu kaletwa for plan, anamission kabisa, na mpango kazi, kwamba ataanza na kuwaondoa watendaji pale tanesco, then anakuja na mkataba cjui wa nn ule wa wahindi, halafu ndo bwawa na Kisha mgao, then jenereta zinaingizwa tunapigwa Tena,

Ila ukwel Ni huu ajipange tu kunasiku atajib wether akiwa madarakan au akiwa hayupo, Ni swala la Muda tu maana walishatufanya mazuzu na Tim msoga..

#tumepigwa na kitu kizito kichwani.
 
Ndo maana taifa Ili liko pale pale ,Ili bwawa limeisha ongiza mapesa kibao utashangaa wanaachana nalo na kufuata Mambo mengine ,alafu iyo kazi ya kutafuta winchi kuitafuta si ni kazi ya mkandarasi au

Kama ndo ivyo basi mkandarasi anachotakiwa ni kumaliza kazi KWa MJIBU wa mkataba wake waziri acha ingiza siasa kwenye miradi ya kitaifa ambayo imewasomesha watz namber miaka 6 sasa
 
Hyo project ilikuwa inaufisadi wa kudondoka mtu,

#tukumepigwa na kitu kizito kichwani
 
Kwa taratibu hizi bas tumekwisha wallah, [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Alitumia kimemo toka kwa mlima mapapai wa chalinze[emoji28] ambaye ndio anampigisha pindi jinsi ya kuongoza taifa!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Haya mambo ya kukosa umeme mbadala si yalianza kujadiliwa hata kabla ya white hair kumwaga manyanga? Umeme wa upepo vipi? au umekwama kwenye hansad za bunge.
 
Yupo hapa kimkakati ili kumchafua Makamba.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…