Waziri Masauni, kaa kimya Watanganyika tunapolia juu ya urithi wa rasimali zetu


Upo katika siku zako za mwisho za uhai wako.
 
Waziri Kamatia Hawa wachochezi wakalie vizuri wakiwa lupango
 
Udini hupofusha macho, kaambiwa mtu bora ni Mwarabu, na lugha ya peponi ni Kiarabu, basi imekuwa shida. Yupo tayari hata kutukana asili yake ili atukuze Waarabu
Utumwa mbaya sana huu.
 
Ujumbe umfikie
 
Udini hupofusha macho, kaambiwa mtu bora ni Mwarabu, na lugha ya peponi ni Kiarabu, basi imekuwa shida. Yupo tayari hata kutukana asili yake ili atukuze Waarabu
Acha kua mjinga uliyepitiliza,nani kakuambia kua Uarabu ndio uislamu? hivi unafikiri waarabu wote ni waislamu? na hiyo comment uliyoiquote ni wapi imeongelea udini? hii inathibitisha kua kumbe wewe unalalama hapa kisa udini,

Sio kila mwarabu ni muislamu,wapo waarabu ambao ni wakristo,Lebanon,Misri,Syria,Iraq....huko kote wakristo wamejaa,tumia simu yako kujifundisha mambo kuliko kujifanya unajua kumbe ni empty set,

Kumiliki hako kasmart phone na ukaweza kuingia JF basi ndio unajiongopea kua unajua kila kitu? hapo basi akili yako inakuongopea na kujiona wewe ni bonge la mchambuzi umeshusha thd JF!
 
Ushapigwa kweny mshono 🤣🤣🤣 kilichobaki ni kutoa milio!!
 
Arudi kwao Zanzibar akawatishe wazanzibar wenzake
 
Another mzanzibari 😡
 
Ndiyo maana ya kelele nyingi kumbe Kujenga Misikiti mingi ndiyo maendeleo unayapigania kila siku?
 
Vipi ukipewa Kitimoto utakula?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…