WALOLA VUNZYA
JF-Expert Member
- Nov 20, 2020
- 7,154
- 7,155
Ubarikiwe mtu wa Mungu hao watu ni hatari sana,mfano ukienda Somalia na ukamtaja Yesu Kristo kama mkombozi wako hapo hapo ni kosa la jinai na unastahili kufa wakati huo huo uliomtaja Yesu Kristo.Exactly ✔️ ogopa san kundi linaloamin kuua asie wao unakwenda peponi!!
Tupo mwaka gani nikurudishe Skuli? Kama ni 1836 ndio Waingereza walimleta mfanyakazi wao kutoka Mumbai (Employee of British IndiaCompany) halafu, kwanza wakamrudisha kwao Oman, na kumleta kwa kuchonga kinyago na kumuita Chief ili awape mikataba ya legitimacy ya kuichukua pwani ya East Africa kwa nia ya kuwazuia Wafaransa waliokuwa wameshafika Ushelisheli, Morishas na Comoro.Bagamoyo tu? Tanganyika nzima hii ilikuwa ni Zanzibar kabla Wazungu wahajakaa juu ya meza na kugawana. Kafanye homework yako vizuri.
Kwa hio Tanganyika tudai pwani ya Kenya, Zanzibar, Somalia, Mozambique kwa sababu miaka 1000 iliopita ilikuwa sehemu ya utawala wa Kilwa?Bagamoyo tu? Tanganyika nzima hii ilikuwa ni Zanzibar kabla Wazungu wahajakaa juu ya meza na kugawana. Kafanye homework yako vizuri.
TATIZO NI CONTENTS ZA HUO UCHAFU ,Bagamoyo tu? Tanganyika nzima hii ilikuwa ni Zanzibar kabla Wazungu wahajakaa juu ya meza na kugawana. Kafanye homework yako vizuri.
Daini chochte kilicho haki yenu.Kwa hio Tanganyika tudai Pwani ya Kenya, Zanzibar, Somalia, Mozambique kwa sababu miaka 1000 iliopita ilikuwa sehemu ya utawala wa Kilwa?
Basi zenji ni ya Tanganyika tangu miaka 1000
Mie ndiyo kwanza mwanafunzi wa chekechea.TATIZO NI CONTENTS ZA HUO UCHAFU ,
HIV WEEEEE FaizaFoxy ULISOMA DARASA LA SABA KWELI ??????
Dah ama kweli. Yalinenwa HUKO ZANZIBAR , MWARABU ANATUKUZWA ZAIDI YA KITU CHOCHOTEEEEEEE**
Miaka 26 ya TICTS iliyosainiwa pindi upo ki-portable wajuba wana ku-portalize kama kawa now ni ki-bibi flan hiv nati zimelegea kichwani shida ya TICTS nayo ilikuwa vipengele ndani ndani huko......(NITAJIE FAIDA ZA TICTS KWA MIAKA HIYO 26).......Mie ndiyo kwanza mwanafunzi wa chekechea.
Wacha kupiga kelele kama mwehu.
Waarabu ni bora kuliko Wachina kwa sababu wizi kwa mwarabu ni kosa lakini Mchina wizi ni jambo la kawaida.Kuhusu kufira kwa dunia ya leo sidhani kama kuna mtu anaweza kubali kuinamishwa na Mwarabu kisa yeye ni mwafrika hilo haliwezakani kabisa.Dunia ya leo ni kijiji kwa hio Mwarabu hawezi fanya jambo hilo maana anamulikwa kila kona.Hawa waarabu wakiruhusiwa kuja ,tutapata taabu,bora hata wachina , hawa waarabu tutafirwa wananchi wote .bora wachina wanahofu ya Mungu .lakini hawa waarabu tujiandae wote kuwa wanawake
Hata DP world ni hivyo hivyo tu wala hacheui na amepasuliwa kwatoBiblia imekataza:
8 na nguruwe, kwa kuwa amepasuliwa ukwato lakini hacheui, huyu ni najisi kwenu msile nyama zao, wala mizoga yao msiiguse.
Hatupoi hatuboiYaani hii ngoma haitapoa,na ndiyo inayoenda kuchora upya mstari wa ramani ya Tanganyika na zanzibar
TrueArudi kwao Zanzibar akawatishe wazanzibar wenzake
Una lingine?Acha kua mjinga uliyepitiliza,nani kakuambia kua Uarabu ndio uislamu? hivi unafikiri waarabu wote ni waislamu? na hiyo comment uliyoiquote ni wapi imeongelea udini? hii inathibitisha kua kumbe wewe unalalama hapa kisa udini,
Sio kila mwarabu ni muislamu,wapo waarabu ambao ni wakristo,Lebanon,Misri,Syria,Iraq....huko kote wakristo wamejaa,tumia simu yako kujifundisha mambo kuliko kujifanya unajua kumbe ni empty set,
Kumiliki hako kasmart phone na ukaweza kuingia JF basi ndio unajiongopea kua unajua kila kitu? hapo basi akili yako inakuongopea na kujiona wewe ni bonge la mchambuzi umeshusha thd JF!
Hilo bichwa tofali dawa yake inachemkaWatanganyika tumedhulumiwa ardhi yetu, tumedhulumiwa maji yetu ya maziwani na ya baharini, ndugu zetu tulio waamini sana, tukawakaribisha chumbani leo wamempa Mwarabu kwa vipande vichache tu vya fedha.
Leo Watanganyika tunalia machozi ya damu, Mzanzibari mmoja anatuzuia tusilie. Mara tukae kimya tusiongelee mkataba dhalimu wa DP WORLD.
Mara anasema viongozi wa dini wasiuongelee huu mkataba dhalimu, kwani viongozi wa dini sio Watanganyika? Kwani wao hawana uchungu na rasilimali tulizo rithishwa na vizazi vyetu vilivyotangulia?
Masauni nakuasa tu, jifunźe kuomboleza na wanaoomboleza. Sio katikati ya majonzi ulete maneno yako ya shombo
Baadhi wanaamini kiarabu ndio Lugha ya Peponi, wanajitahidi kuipigania hadi kieleweke 😆 😆 😆 😆 😆Udini hupofusha macho, kaambiwa mtu bora ni Mwarabu, na lugha ya peponi ni Kiarabu, basi imekuwa shida. Yupo tayari hata kutukana asili yake ili atukuze Waarabu
Vipi Leo walikutoa nje uotee jua?Ikiwa hata maana ya maliasili huijuwi, utaendelea kuweweseka sana kuwa unadhulumiwa.
Leo kuna Waarabu wa Dubai wamekwenda kwala kuona kama kuna maeneo makubwa wajenge kiwanda kikubwa cha makontena mapya.
Wamesema wanataka eneo lililo karibu kabisa na inapopita SGR.
Waarabu hawataki tabu, wanataka kuitumia fursa kupiga pesa.
Sasa kwani uongo, unaweza kuwa Muislamu bila kujua lugha ya kiarabu?Acha kua mjinga uliyepitiliza,nani kakuambia kua Uarabu ndio uislamu? hivi unafikiri waarabu wote ni waislamu? na hiyo comment uliyoiquote ni wapi imeongelea udini? hii inathibitisha kua kumbe wewe unalalama hapa kisa udini,
Sio kila mwarabu ni muislamu,wapo waarabu ambao ni wakristo,Lebanon,Misri,Syria,Iraq....huko kote wakristo wamejaa,tumia simu yako kujifundisha mambo kuliko kujifanya unajua kumbe ni empty set,
Kumiliki hako kasmart phone na ukaweza kuingia JF basi ndio unajiongopea kua unajua kila kitu? hapo basi akili yako inakuongopea na kujiona wewe ni bonge la mchambuzi umeshusha thd JF!