Waziri Medard Kalemani anadharaulika sana kuliko Mawaziri wote

Waziri Medard Kalemani anadharaulika sana kuliko Mawaziri wote

ngebe

JF-Expert Member
Joined
Jun 8, 2020
Posts
1,789
Reaction score
5,117
Sijajua Waziri Kalemani anakwama wapi, hivi sasa yeye ndiye Waziri anayedharaulika kuliko Mawaziri wote,

Maagizo yake mengi yamekuwa yakipuuzwa sijui anacheka cheka na Raia au tatizo nini?

Alianza na suala la Wananchi Vijijini waunganishiwe umeme haraka TANESCO wakampuuza,

Kafuata suala la kushusha bei ya gesi za majumbani wakagoma

Sasa hivi amekimbilia Kigoma najua napo watampuuza tu maana hana impact na mimi nimeanza kumdharau

Tatizo nini mbona Mawaziri kama Juma Awesu hawacheki na kima wanaheshimika?

Mbona Waziri kama Ummy anaheshimika akitoa maagizo ni fasta?

Huyu Kalemani kila mtu anamdharau TANESCO wanamdharau EWURA wanamdharau, Hajui kutumia mamlaka yake kuleta heshima eti?

IMG_20210905_211449.jpg
 
Kwani yule aliyetuaminisha kuwa kesha saini Gwajiboy kunyakwa naye anasema je baada ya Sirro kudinda?
 
Waziri aache kutoa maagizo ya kisiasa kwenye mambo ya kiufundi na rasilimali huwapi watendaji.

Waziri anatangaza kuwa REA awamu ya tatu itakamilika 31 Dec 2021Lakini hakuna nguzo za kujenga lines mpya au mita za kuwafungia wateja wapi na waziri anajua Uhaba au tatizo linalowakabili watendaji wake.

waziri au kiongozi wa serikali unatakiwa usemi ukweli daima,uongo kwako uwe mwiko.
 
Tatizo lake kubwa ni kila sehemu alipo anataka sifa kwa kutoa matamko ambayo anajua kabisa kuwa hayawezi kutekelezeka!!ndio maana maagizo mengi anayoyatoa hayatekelezwi kwani yanakuwa nje ya uwezo wa hao anawoambia!!na ndio maana huwa hata hawezi kuwachukulia hatua hao anawowapa maagizo kwani , anajua kabisa kuwa anaongea kisiasa.
 
Tatizo la Kalemani ni kuzidisha sana mihemuko! Wakati mwingine ukimsikiliza akiongea huwezi amini kama amesomea sheria au ana PHD! Ni mlipukaji sana,haongei kama msomi kwa maana ya ku-articulate mambo na ku deliver promptly!
 
Tatizo la Kalemani ni kuzidisha sana mihemuko! Wakati mwingine ukimsikiliza akiongea huwezi amini kama amesomea sheria au ana PHD! Ni mlipukaji sana,haongei kama msomi kwa maana ya ku-articulate mambo na ku deliver promptly!
 
Tatizo la Kalemani ni kuzidisha sana mihemuko! Wakati mwingine ukimsikiliza akiongea huwezi amini kama amesomea sheria au ana PHD! Ni mlipukaji sana,haongei kama msomi kwa maana ya ku-articulate mambo na ku deliver promptly!
 
Tatizo la Kalemani ni kuzidisha sana mihemuko! Wakati mwingine ukimsikiliza akiongea huwezi amini kama amesomea sheria au ana PHD! Ni mlipukaji sana,haongei kama msomi kwa maana ya ku-articulate mambo na ku deliver promptly!
Uko sasa mkuu,huyu jamaa ni mpenda misifa elimu yake kaipaki kabatini alishawahi kuongea bungeni kuwa bwawa la umeme la Nyerere rufiji litaanza kujazwa maji tarehe 15/12/21 saa 12:30 jioni kila mtu alimcheka inawezekanaje kwa hapa mradi ulipofikia?

Akapigiwa makofi na meza sana,na akawaaminisha wabunge kuwa bwawa hilo litakuwa na urefu wa km 100 na kivutio cha utalii,kwa mto upi?kama ni huu wa rufiji hayo ni maajabu ya dunia,uone sasa hivi ulivyo hadi mtu unajiuliza hapa ndio tunategemea umeme wa kiasi hicho kweli?

Huko mbeleni watakielewa alichosema profesa Muhongo kuwa Serikali ijikite vyanzo mbadala vya umeme badala ya kutegemea maji,mabadiliko ya tabia nchi huko mbele yatakuja kuugharimu sana huu mradi.
 
Back
Top Bottom