Waziri Mkuu Kassim Majaliwa anatakiwa kuwajibika kwa kudanganya Taifa lililokuwa na taharuki kubwa

Naunga mkono hoja, Mh Kassim Majaliwa kapoteza sifa za kuwa kiongozi - hivyo atolewe kwenye Uwaziri Mkuu. Ni vile ubunge hawezi fukuzwa lakini angekuwa mstaarab na mwajibikaji angejiuzulu Ubunge kisha u PM.

Majiliwa amekufa kisiasa.
Hivi kwani PM hawezi kufukuzwa kazi?
 
Halafu mbaya zaidi anaongea uongo mbele ya mimbari ya msikiti.. Huyu hafai kabisa ni muongooo. Atamdanganya hata Rais.
 
Anza wewe kujiuzulu humu JF kwa kuonekana huna uchungu na kifo Cha JPM
 
Ushangae akateuliwa kuwa makamu..
 
Wachawi kama nyie mko wengi sana. Kwanini umeandika na kuacha maelezo mengine ya Makamu wa Rais. Na mbaya zaidi watu wanacomment tu. Ndio utagundua umbeya na majungu hayawezi kuwaisha watz wa humu. Upweke wa maisha yao unawafanya wajiridhishe kwa nje huku ndani wanabaki wagonjwa. Badilikeni. Life is more that this. Rest in Peace our President.
 
Mi hakunidanganya, najuta alikuwa anatania tu. Mliodanganyika poleni.
 
Acha povu, weka maelezo ya makamu wa Rais, alafu weke clip ya Waziri mkuu. Mbona mnaweweseka?
 
Msiba umemgusa kila mtu?
Akifa dikteta kwa wengi wetu ni sherehe.
Mbafu kabisa
 

He’s a man I can no longer trust! Angeamua kukaa kimya, ningempa the benefit of the doubt.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…