Halafu anaponda mtandao wa kijamii!LOo!
Hii ni dalili mbaya kwa Makamu wetu wa Rais.
Huyu Waziri Mkuu anajulikana kutokuwa na weledi katika maswala ya aina hii. Ni bora asinge sema kitu kuhusu jambo hili.
Asije akatupanga kama kipindi cha JPMKasim Majaliwa amewahakikishia Watanzania kuwa Makamu wa Rais Dkt Isdory Mpango ni mzima wa afya na yupo nje ya nchi kimajukumu.
Waziri Mkuu amesema kuwa watanzaia waachane na ule mtandao unaosema maneno ya ajabuajabu na wasiwe wasiwasi wowote Kwa kuwa Makamu wa Rais Dk. Mpango ni mzima na yupo nje ya nchi kimajukumu. Hata hivyo hajataja nchi ambako Makamu wa kaenda, na jukumu hilo linahisu nini.
Waziri Mkuu ameyasema hayo alipokuwa Dodoma akiongea na wadau waliohudhuria kwenye maadhimisho ya siku ya Kimataifa ya watu wenye Ulemavu Duniani.
"Vilevile Makamu wa Rais Dk. Isdory Mpango ambaye pia naye yuko nje kimajuku, achana na ule mtandao unaosemasema mambo ya ajabu ajabu, yupo nje kimajukumu, anawatakiwa kila la kheri watu wote ambao mmeshiriki hapa leo kwenye haya maadhimisho ya kitaifa anawaombea sana, anawatakia kila la kheri".
😂😂😂😂 MakangabilitiMwendo wa uchuryooooo ..... soon itatolewa speech akihutubia ...... time is makangabilitii
Mfumo ndio unamuelekeza aseme nini ukiongozwa na sponsor mamaLOo!
Hii ni dalili mbaya kwa Makamu wetu wa Rais.
Huyu Waziri Mkuu anajulikana kutokuwa na weledi katika maswala ya aina hii. Ni bora asinge sema kitu kuhusu jambo hili.
Usiri wa kijinga nchi hii.Kasim Majaliwa amewahakikishia Watanzania kuwa Makamu wa Rais Dkt Isdory Mpango ni mzima wa afya na yupo nje ya nchi kimajukumu.
Waziri Mkuu amesema kuwa watanzaia waachane na ule mtandao unaosema maneno ya ajabuajabu na wasiwe wasiwasi wowote Kwa kuwa Makamu wa Rais Dk. Mpango ni mzima na yupo nje ya nchi kimajukumu. Hata hivyo hajataja nchi ambako Makamu wa kaenda, na jukumu hilo linahisu nini.
Waziri Mkuu ameyasema hayo alipokuwa Dodoma akiongea na wadau waliohudhuria kwenye maadhimisho ya siku ya Kimataifa ya watu wenye Ulemavu Duniani.
"Vilevile Makamu wa Rais Dk. Isdory Mpango ambaye pia naye yuko nje kimajuku, achana na ule mtandao unaosemasema mambo ya ajabu ajabu, yupo nje kimajukumu, anawatakiwa kila la kheri watu wote ambao mmeshiriki hapa leo kwenye haya maadhimisho ya kitaifa anawaombea sana, anawatakia kila la kheri".
Hata kama anaumwa au kafa wewe unafaidika nini na hayo? Haya, ukiambiwa anaumwa, utafanyaje? Ukiambiwa kafariki utafanyaje? Pumbavu!!!Kuumwa nalo ni jambo la kuficha? Huyu PM wenu nadhani mnamkumbuka Yale ya Mwendazake
Wewe pumbavu unafaidika nini na uongo?Hata kama anaumwa au kafa wewe unafaidika nini na hayo? Haya, ukiambiwa anaumwa, utafanyaje? Ukiambiwa kafariki utafanyaje? Pumbavu!!!
Ni Tanzania pekee ndiko Viongozi ni malaika hawatakiwi kuumwa.. Upumbavu.Nakumbuka Kawawa alivyotoka St Thomas Hospital kumjulia hali baba wa Taifa, hakutakaga Unafiki!
Wewe mjinga unafaidika nini na ukweli?Wewe pumbavu unafaidika nini na uongo?
Waislamu wanaruhusiwa kwa ajili ya kuepusha shariNi lazima Kasimu Majaliwa atumike kuongea uwongo?
Waziri muongo muongo.Kasim Majaliwa amewahakikishia Watanzania kuwa Makamu wa Rais Dkt Isdory Mpango ni mzima wa afya na yupo nje ya nchi kimajukumu.
Waziri Mkuu amesema kuwa watanzaia waachane na ule mtandao unaosema maneno ya ajabuajabu na wasiwe wasiwasi wowote Kwa kuwa Makamu wa Rais Dk. Mpango ni mzima na yupo nje ya nchi kimajukumu. Hata hivyo hajataja nchi ambako Makamu wa kaenda, na jukumu hilo linahisu nini.
Waziri Mkuu ameyasema hayo alipokuwa Dodoma akiongea na wadau waliohudhuria kwenye maadhimisho ya siku ya Kimataifa ya watu wenye Ulemavu Duniani.
"Vilevile Makamu wa Rais Dk. Isdory Mpango ambaye pia naye yuko nje kimajuku, achana na ule mtandao unaosemasema mambo ya ajabu ajabu, yupo nje kimajukumu, anawatakiwa kila la kheri watu wote ambao mmeshiriki hapa leo kwenye haya maadhimisho ya kitaifa anawaombea sana, anawatakia kila la kheri".
Nimekupata, na huu ndio ukweliWamarekani wana msemo mmoja.
"Fool me once, shame on you. Fool me twice, shame on me".
Ukinidanganya mara moja, lawama na aibu ni kwako wewe uliyenidanganya. Lakini, ukinidanganya mara ya pili, lawama na aibu ni kwangu uliyenidanganya tena, kwa sababu sijachukua somo uliponidanganya mara ya kwanza ili usiweze kunidanganya tena.
Sasa hivi hata kama Majaliwa anasema kweli, si mtu sahihi wa kutoa taarifa hizi. Kwa sababu tumedhakuwa fooled once.
Waswahiki wanasemaje? Aliyeumwa na nyoka, akiona ujani, anashituka.
Isijekuwa maza anarudi kwa ajili hiyo akiwa amejificha kwenye kivuli cha mafuriko ya Hanang'
Ni kweli, kama kuja kuhani msiba angeanza na waliokufa kwenye ajali ya basi ya Allys, na mengine... Hiyo janja janja tu... Ila tunamwelewa kama mwenye nyumba Kuna mambo huwezi weka hadharani... Tuko pamoja na mama, Mungu ampe ujasiri maana Hali ya siasa ilivo ni kama inatishia marudio ya Jiwe... 😭😭Isijekuwa maza anarudi kwa ajili hiyo akiwa amejificha kwenye kivuli cha mafuriko ya Hanang'?