Why Twitter yake Kwa mara ya mwisho ni September 21-24? Mtu anafanya kazi kimya kimya hachati na wenzake? VP kiboko ,,
M'na kumbukumbu sana aisee.
Siku hizi viongozi wanaokotwa okotwa tu... mtu yuko Kidimbwi anatumiwa ujumbe kateuliwa cheoZamani viongozi walikuwa wanaandaliwa, wanafundishwa hata jinsi ya kuongea, kujenga hoja, kujua miongozo ya serikali, kujua maadili, kujua mambo ya kimkakati, kujua mambo mpaka ya kijasusi, kujua mantiki.
Siku hizi ni kama wanasombwasombwa tu.
Kiongozi wa kitaifa au mkuu wa mkoa anaongea unaona huyu muhuni tu, mbabe tu, mjingamjinga tu.
Halafu watu wengine ndiyo wanashangiliaa.
Kaacha amana, Mwananyamala hospital, Mbagala Hospital anaenda huko nje? Sisi tunaotibiwa nchini wanatuonaje?Taarifa zilizopo kwenye social media,inasemekana kafanyiwa operations ya Koo........but kama nikweli yupo kikazi inamaana hakwenda na Media teams ya kucover yale anayoyafanya?
Huduma mnazo hapo [emoji1]Kaacha amana , Mwananyamala hospital , Mbagala Hospital anaenda huko nje? sisi tunaotiwa nchi wanatuonaje?
Anaendeleaje!?Taarifa zilizopo kwenye social media,inasemekana kafanyiwa operations ya Koo........but kama nikweli yupo kikazi inamaana hakwenda na Media teams ya kucover yale anayoyafanya?
Manyani ndio wanatibiwa humo?Huduma mnazo hapo [emoji1]
Ova
Tena alitangaza kabisa, JK Mswahili flani lakini tabia zake za kitasha sana, kama mmarekani wa asili.Mbona jk alipoenda kufanyiwa upasuaji wa tezi dume ,media zote zilijuwa
Ova
Upo nae group moja la watsup?Philipi maPHD Mpango kulikoni maan hata kijiwen mtandaoni huonekani
Sema inahitaji ujasiri sana kujitangaza una tezi dumeTena alitangaza kabisa , JK Mswahili flani lakini tabia zake za kitasha sana, kama mmarekani wa asili.
Hili swali umewahi kulipatia jibu?sisi tunaotibiwa nchini wanatuonaje?
Hapana, wanalipita kama wanaaga.Hili swali umewahi kulipatia jibu?