Waziri Mkuu Kassim Majaliwa: Rais Magufuli ni mzima na anachapa kazi. Wanataka atoke, atoke aende wapi? Kariakoo au Magomeni?

Hivi walipokua wanasema rais yupo ofisini anachapa kazi walikua wanamaanisha nini wakati rais alikua haonekani.
Ilikuwa ni ujinga tu, yule PM aliongea akishupaza shingo kwamba wanaomtakia mabaya Rais wana husda, na kwamba eti Rais alikuwa ofisini anachapa kazi, bila hofu aliyasema hayo msikitini akiwa amevaa vazi la heshima kanzu
 
kweli JPM,ni zaidi ya master.naona BAVICHA wanavyokimbia [emoji125][emoji125][emoji125][emoji125].kejeli kwisha,matusi kwisha.
Watu pigeni kazi.jpm yuko fiti.

unawasikiliza kina mwigulu na majaliwa ? majitu maongo sana hayo....umeona sasa ? badala waseme ukweli tumwombee wanaropoka uongo na kukamata wasema ukweli
 

Jamani atapigaje kazi mtu alikuwa yupo hoi, hivi ninyi anawadanganyaga nani??
 

Unamtukana mwenzako kwa maoni yake tu binafsi tu. Sasa ukweli uko wazi, unakukodolea macho mbele yako...

Mpaka hapo nani mjinga? Obviously, ni wewe. Au siyo?

Aah bwana, kubali tu mshkaji maana huo ndio ustaarabu na uungwana. Ni kwa faida yako kukiri kosa na kuomba msamaha. Faida haiko kwa umwombae msamaha....

Yupo anaendelea kuchapa kazi siyo?. Okay. Hata kaburini zipo kazi. Anachapa kazi kweli kweli...!!
 
Wakati mwingine hata wana maombi wanashindwa kutoa maombi sawa na ukweli uliopo jambo ambalo linamfanya shetani atumie nafasi hiyo.

Kuumwa si siri, nini anaumwa ndio siri, viongozi wenye mamlaka ilitakiwa kuweka wazi kuwa Mh. Rais ni mgonjwa na hivyo wenye kuomba waombe na kumlilia Mungu juu ya kumnyanyua Mh badala yake watu wanafichaficha. Kama waliamini kuna maadui wanaomwombea mabaya Rais, walitakiwa pia kuamini kuna wana mapenzi mema tena walio wengi wanaomuombea mema Rais.

Tuache kuishi kwa nadhani......
 
Hata huyo Makamu wa Rais naye alidanganya umma, hii inaonyesha hao sio watu wa kuaminika, ni bora wangalikaa kimya tu kuliko kudanganya umma.
Makamu wa Rais, Alieleweka sana; Kwamba katika kipindi hichi tushikamane, Ni mambo ya kawaida binadamu kukaguliwa kaguliwa; Angalau watu pale walianza kuelewa japo hakuongea moja kwa moja, pengine ili asilete taharuki kubwa ila ilikuwa nzuri; Majaliwa ndio amezingua sana.
 
Umeshutumu watu sana kuwa ni waongo.

Vitu msivyovijua muwe mnakaa kimya.
Ujuaji mwingi mbele kiza.

Nadhani umejifunza.
 
Wewe na wapinzani nani mpuuzi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…