Waziri Mkuu Kassim Majaliwa: Rais Magufuli ni mzima na anachapa kazi. Wanataka atoke, atoke aende wapi? Kariakoo au Magomeni?

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa: Rais Magufuli ni mzima na anachapa kazi. Wanataka atoke, atoke aende wapi? Kariakoo au Magomeni?

Hizi kauli za mzima anachapa Kazi zimewaletea maswali watu wanauliza mlisema mzima kisha mkatangaza amefariki hili linaleta maswali.
 
1616703234179.jpeg

Ni mzima ndio maana nimesema "rumors has it "

Udaku huu cant be trusted at all.
 
Hivi Mr Mzungu nadharia ya Nairobi & India haiadvoketi tena, maana naona now kahamia Halotel --- stroke and sijui what what hukooo!??? Mr Confusion-in-Chief!!! Ama kweli ukianzisha uzi mmoja wa uongo lazima tu uanzishe uzi mwingine na mwingine na mwingine tena ili kila uzi ufunike ule uliotangulia, but where!

Yaani uzi wa uongo unakuwa mreeeeefuuuuu kama urefu wa reli & treni yetu ya umeme & mwendokasi. Asante na heko kubwa awamu ya 5 maana sasa Tanzania inakuwa zaidi ya Ulaya. Lazima Borris Johnson this time aje apangishe Ghetto Kigamboni ama Tanga!
Upo Chato mjane!?
 
Upo Chato mjane!?

Kuna nini tena jamani!??? Si tumeambiwa na Rais wetu kipenzi tufutane machozi kwa upendo!??? Huu ujasiri mnautoa wapi sasa hivi, wengine hata peni tunashindwa kushika!??? Kama mizodoo imeanza sasa kabla ya maziko, msiba ukishasahaulika sijui itakuwaje!??? Hivi uleee msemo wa ^Kufa kufaana^ haupo tena!??? Naona ni mwendo wa kuvaana tuuuu!!! Anywezs, karibuni Chato tumsitiri kipenzi cha Watanzania, Shujaa wa Afrika, Mwanamageuzi, Mzalendo halisi 🙂
 
Waziri Mkuu Majaliwa Kassim Majaliwa, amewataka watanzania wawapuuze Wapotoshaji wa mitandaoni wanaotaka kuleta taharuki juu ya Afya ya Rais Magufuli "Rais ana shughuli nyingi, Wanataka atoke aende wapi, Kariakoo au Magomeni tangu lini?"

Leo asubuhi wakati nakuja huku nimeongea nae kwa simu na ameniagiza niwaambie wana Njombe kuwa anawapenda sana na anawashukuru sana kwa kura nyingi mlizompigia

Kuna wenzetu hawaishi hapa nchini, wao kazi yao ni kutuombea mabaya tu, kupandikiza chuki tu. Sasa unamuombea mwenzako kufa hiyo ni akili kweli?. Nawatoa hofu watanzania, Rais wenu yuko imara anafanya kazi zake kama kawaida za ofisini

Tuhakikishe tunamuabudu Mungu, tunamuomba Mungu katika kila jambo, tunamtegemea Mungu katika kila jambo, hata asubuhi nilivyokuwa natoka Dodoma nimempigia kumjulisha ratiba yangu, hata juzi alikuwa anajua ninakuja akanituma, wasalimie wana Njombe na nilitoa Salam.

Naomba nirudie, kwa salam alizotupa leo kweli wana Njombe, mheshimiwa Rais anawasalimia sana wana Njombe, mheshimiwa Rais anawashukuru wana Njombe.

Labda na yeye pia alifichwa
 
Asante Majaliwa; majibu yako ni kuwa Rais ni mzima wa afya na anaendelea na kazi zake. Mnafanya makosa kuacha habari hizi ziwe zinatokea kila baada ya muda fulani. S

ijui kwanini.... inawezekana ni security operation mnaifanya lakini hamlitendei taifa haki. Nashukuru swali langu la juzi limejibiwa na maisha yanasonga mbele.

Lakini bila Rais mwenyewe kuonekana ni wachache wataamini kauli yako (mimi si mmojawapo). Mungu Ibariki Tanzania, Mungu Wabariki Watanzania!
Ulishafyatuka akili kabisa we mzee
 
Huyu Mwamba Ilipaswa Aliombe Taifa msamaha kwamba Raisi Alikua ni mzima ila amefariki ghafla kutokana na ugonjwa ulikua unamsumbua kwa muda mrefu lakini haukuwa hatarishi kwake kimaisha.
 
Hili linchi limeoza! Yaani mko serious mnaamini huu uzushi! Ujue msikute mkuu anawasoma anawashangaa tu! I believe, he is very cool and safe! Acheni kuamini kila uzushi! Kuna wanasiasa akiwemo Tundu Lissu wataumbuka! Save this comment!!!
[emoji23][emoji23][emoji23] Vipi wameshaumbuka?
 
Hili linchi limeoza! Yaani mko serious mnaamini huu uzushi! Ujue msikute mkuu anawasoma anawashangaa tu! I believe, he is very cool and safe! Acheni kuamini kila uzushi! Kuna wanasiasa akiwemo Tundu Lissu wataumbuka! Save this comment!!!
Heheheehehe
 
Kufa mkuu kila mtu atakufa, ogopa Sana kujaza mawazo yako vitu HASI, kila neema, dhambi, utajiri, umakini, nk huanzia mawazoni mwetu....kufa kwa mtu yoyote hakuongezi wala kupunguza kitu kwangu au kwako...hapo ulipo unajua utakufa Sana ngapi?
Unaendeleaje wewe mbishi wa lumumba??
 
Back
Top Bottom