Mkuu,

Waafrika hasa watanzania wana Upumbavu wa milele.

Uafrika hasa utanzania ni laana.
 
Wewe kweli hauna akili, unashabikia Makonda kumwamrisha waziri mkuu na kuwaita wajumbe wa halmashauri kuu ya CCM vyura. Ndicho Samia alichomtuma?
 
CCM took a major risk with a loose cannon like him!

The PM doesn’t report to him. So who is he to be running his mouth issuing ultimatums to people he has no authority over?
Nyamaza kimya! Acha tutambe! PM ni mwanachama wetu bila CCM hana uwaziri mkuu. Lazima kila kiongozo awajibike kweti CCM kama hataki aache uongozi. Jino kwa jino!
 
Nyamaza kimya! Acha tutambe! PM ni mwanachama wetu bila CCM hana uwaziri mkuu. Lazima kila kiongozo awajibike kweti CCM kama hataki aache uongozi. Jino kwa jino!
Anao uWaziri Mkuu kwa vile anaidhinishwa na Bunge. Na ukimtoa Waziri Mkuu maana yake unavunja Baraza la Mawaziri kwa mujibu wa Katiba ya JMT
 
Mkuu na kuweka no za sim kote kwenye machapisho yako hujalamba hata teuzi?[emoji2][emoji2][emoji3]
 

Ila we jamaa[emoji28][emoji28][emoji28]
 

Mkuu..
Umesahau kuandika namba ya simu leo.
 
Hajiamini
 
Mbona mapema sana kuanza kupaniki.kwa Makonda lazima mtapike damu .akiongea tu lazima kamati kuu nzima ya CHADEMA ipoteane.makonda mmoja ni sawa na CHADEMA nzima na vyama vyote vya upinzani hapa nchini na bado hamumuwezi.
Unapakatwa [emoji3516][emoji3516][emoji3516][emoji3516][emoji3516]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…