SIASA za TANZANIA zilipooza sana kash kash kama hizi ndio zinahitajika Tanzania,Kuogopana mwisho Chalinze hapa ni kubwatuka tu Chama ndio kinataka Tunatekeleza ILANI aliyeniteua na anitengue ki ufupi saivi mambo ni Sweet sweet😂
 
Kiprotokali yuko sahihi maana hapo anasemea chama. Chama "kimemtuma" PM kutekeleza ilani yake, kina haki ya kufuatilia utekelezaji huo.

Chama kilimtuma lini?. Chama kinatuma watu waropoke mitaani. Waziri Mkuu apewe heshima yake.
 
Chama kilimtuma lini?. Chama kinatuma watu waropoke mitaani. Waziri Mkuu apewe heshima yake.
hapana acha kiwakeeee...yani makondaa buruzaaa haoo maana si wameamua kutukomesha watanzania acha sasa waonje joto ya jiwee yani hizi dharau sio mchezo.
 
Ana maelekezo yote na baraka kwa mama we endelea kupiga domo
 
Yaani na Chadema mmeacha chama chenu mmehamia kwa Makonda? Mmeshapoteana kweli Makonda hajakosea kuwaita watoa taarifa hamna jambo lenu la kushughulikia.
 
Yaani na Chadema mmeacha chama chenu mmehamia kwa Makonda? Mmeshapoteana kweli Makonda hajakosea kuwaita watoa taarifa hamna jambo lenu la kushughulikia.

CHADEMA ipi?. Nani hapa ana kadi ya CHADEMA?. Yani mtu kimkosoa Makonda kwa kumshushia heshima Makonda amekuwa CHADEMA. CHADEMA itaendelea kuwepo akina Makonda wataiacha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…