Kamanda Asiyechoka
JF-Expert Member
- Sep 13, 2020
- 3,315
- 5,058
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe!!!....Nasikia mama kashalowa!! Usifanye mchezo na nguvu ya umma!!
Hivi wabunge wa CCM wanajisikiaje?
MAUSHUNGI kalowaaa??Nasikia mama kashalowa!! Usifanye mchezo na nguvu ya umma!!
Western christian values zip ambazo ni Bora wewe,uchoko nao ni values??Qatar ameendesha world cup ya mfano kuwahi kutokea na kagomea christian values za kuadvertise ushoga waz waz,hayo kawaambia kwenu kwimba huko labda watakuelewa
Kwa hili, Majaliwa ndiye kiongozi pekee aliyedhihirisha kuwa na akili timamu.MAJALIWA: HATUTADHARAU USHAURI, MAONI NA MANENO YENYE HOFU KUHUSU BANDARI
===
Waziri Mkuu Majaliwa Leo akiwa anatoa elimu kuhusu bandari wakati wa kuhutubia waumini wakikristo katika sherehe ya miaka 40 ya kanisa la Internalional Evangelist Church, Amehimiza kuwasikiliza wananchi na umuhimu wa ushauri, maoni, na maeneo yenye hofu kuhusu bandari.
NaaammmmLugha gonganga, karibu sana Babeli....
Wabunge wote na Dada kiranja aibu kubwa... Na ndio wajue sauti ya Umma ni sauti ya Mungu😁😁Nasikia mama kashalowa!! Usifanye mchezo na nguvu ya umma!!
Hivi wabunge wa CCM wanajisikiaje?
Wale sio wabunge bali ni chawa waliotokana na uchafu wa CCMNasikia mama kashalowa!! Usifanye mchezo na nguvu ya umma!!
Hivi wabunge wa CCM wanajisikiaje?
Sipingi nia ya Serikali kubadilisha mwekezaji, ila napinga mkataba kati ya JMT na Dubai unaoipa DPW mamlaka ya bandari kuliko TPA na nchi kwa ujumla.MAJALIWA: HATUTADHARAU USHAURI, MAONI NA MANENO YENYE HOFU KUHUSU BANDARI
---
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amewahakikishia Watanzania kwamba Serikali haitodharau maoni na ushauri wanaoutoa kuhusu maeneo yenye hofu kwenye mradi wa uwekezaji wa Bandari ya Dar es Salaam.
Waziri Mkuu Majaliwa amewataka pia Watanzania waendelee kuwa na imani na Serikali pamoja na wawakilishi wao ndani ya Bunge kwani Serikali imejidhatiti kuhakikisha bandari inakuwa na ufanisi unaoendana na mahitaji ya sasa na kwa kuzingatia manufaa ya kijiografia ya Nchi yetu.
Waziri Mkuu ameyasema hayo leo Jumanne, Juni 20, 2023 katika sherehe za Maadhimisho ya Miaka 40 ya chuo cha International Evangelism Centre kilichoko Sakila jijini Arusha ambapo amesema bandari haijauzwa, bali Serikali inataka kubadilisha Muwekezaji ili iweze kuendeshwa kwa ufanisi na tija zaidi.
Majaliwa amesema wakati wa kuingia mikataba utakapofika Wataalamu wa uchumi nchini wataishauri Serikali kuhusu muda wa uendeshaji wa uwekezaji huo, hivyo amewataka Wananchi waendelee kuwa na subra.
Nusu ya mstari inaeleweka; nusu iliyobaki ni kama imeandikwa na mtu tofauti kabisa wa ile iliyoandikwa mwanzo!Hawampendi Majaliwa lkn ndiyo mtu pekee sober kwenye hiyo serikali yenu, halafu Majaliwa ana western Christian values, yuko vizuri basi tu!
Nia ya IGA tayari imekwishaonesha ni nia ovu. Sioni ni kwa namna gani inaweza kurekebishwa ionekane kuwa yenye nia njema.Sipingi nia ya Serikali kubadilisha mwekezaji, ila napinga mkataba kati ya JMT na Dubai unaoipa DPW mamlaka ya bandari kuliko TPA na nchi kwa ujumla.
Huo mkataba wa IGA utupiliwe mbali na DPW iingie ubia na TPA au ipitie TIC kama wawekezaji wengine kwa Sheria, Kanuni na Taratibu zilizopo. Mkataba wa IGA hata ukirekebishwa bado unakosa uhalali kwani Serikali tayari ina chombo (TPA), kilichoundwa kisheria na kupewa mamlaka ya kuendesha na kuendeleza bandari kinachoweza kuingia ubia na mwekezaji yeyote mwenye sifa
Ulitaka aseme magu kafariki ghafla bila wananchi kuandaliwa kisaikolojia , uongozi ni hekima sio kuropoka ovyoMagufuli yuko ofisni anachapa kazi na anawasalimia sana, kumbe yuko mortuary, why believe this man?
ACHA upuuzi ww ,Yule alikuwa mkuu wa nxhi huwezi kutangaza kifo chake ghafla TU , lazima uandae mazingira ambayo hayataleta tafarukuEndelea kumwamini tu Matajario sijui majaliwa! Huyu jamaa ni wa kumpuuza. Tangu atuambie kuwa jiwe yupo na afya tele na anachapa kazi, sitakaa nimwamini tena matarajio