Yaani wanadanganya mchana kweupe bila aibu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni mkataba wa kijinga sanaHuo mkataba magufuli asingethubutu kuingia kichwa kichwa
Waziri MKuu kaongea kwa uzoefu wa kazi wa miaka sita hapo bandarini. Huyu ni sehemu ya uongozi wa JPM tena mtu muhimu sana anayajua mengi kuliko wewe uliyekuja na fitina na pengine umeshavuta pesa ya hawa mafisadi wa bandarini.Mkataba ungekuwa unasema hivyo kama anavyosema waziri mkuu Kassim Majaliwa tusingelalamika.
Sasa hivi ufafanuzi unatolewa mwingine na mkataba unasema mengine, sisi watanzania hatutasikiliza chochote ambacho hakipo kwenye mkataba ,yatakuwa ni matumizi mabaya ya masikio yetu.
Hata chifu Mangungo wa Msovera alipewa maelezo mazuri sana
Kuna gunduzi nyingi sasa hivi kama magari ya kutumia umeme, gesi na mwarabu anategemea mafuta kwa hiyo walishaona mbali sana ndiyo maana ya mikataba ya milele.
Next generation biashara ya mafuta inaweza kuja kuwa ya kawaida sana lzm waandae pa kukimbilia
Wewe ndo huelewi unachokiandika au hujamuekewa mleta mada.Iko hivi waziri mkuu kaongea maneno mazuri..tunataka hayo maneno mazuri yawe kwenye mkataba..sio jukwaani..mbona kitu kiko clear kabisa hiki...Waziri MKuu kaongea kwa uzoefu wa kazi wa miaka sita hapo bandarini. Huyu ni sehemu ya uongozi wa JPM tena mtu muhimu sana anayajua mengi kuliko wewe uliyekuja na fitina na pengine umeshavuta pesa ya hawa mafisadi wa bandarini.
Mkataba kuuelewa pia inahitaji utulivu. Mkataba Mama ni kwa ajili ya kupelekwa na kupokelewa bungeni.Wewe ndo huelewi unachokiandika au hujamuekewa mleta mada.Iko hivi waziri mkuu kaongea maneno mazuri..tunataka hayo maneno mazuri yawe kwenye mkataba..sio jukwaani..mbona kitu kiko clear kabisa hiki...
Mkataba upi kaka Jilala?. Umeongea jumla jumla. Ule wa bungeni au hii inayokwenda kuongoza biashara za ubia kati ya wawekezaji na wafanyabiashara wazalendo?.Ni mkataba wa kijinga sana
Mkuu kwa hiyo unataka kusema huo mkataba uliopelekwa bungeni hauna maana/impact/ influence kwa mkataba wa kibiashara utakaosiniwa??Mkataba uliopelekwa bungeni ni wa kuruhusu majadiliano ya kuelekea mkataba mwingine- then fine...lkn kwenye huu mkataba wa kuruhusu mazungumzo tayari pande mbili zimeishatoa matwaka yao ambayo pia ndo kama preliminary kwa ajili ya huo mkataba wa kibiashara unaousema wewe?Mkataba kuuelewa pia inahitaji utulivu. Mkataba Mama ni kwa ajili ya kupelekwa na kupokelewa bungeni.
Mikataba ya kiutendaji ya kibiashara ndio yenye uwazi wa mijadala kati ya wawekezaji na wadau wanaokwenda kufanya nao biashara.
Kumbuka kuwa hao DPW itawabidi wasajiliwe na BRELA hivyo watalazimika kuyatii matakwa ya wafanyabiashara wetu.
Watu wengi wanausoma mkataba uliokwenda bungeni na kuuogopa wakidhani ndio utakaokuwa ukitumiwa katika shughuli za kibiashara za kila siku.
Kilichopelekwa bungeni ni agreement to agree kitu kama MOU ni wa jumla. Hii mikataba inayokwenda kuandikwa kati ya wawekezaji na wafanyabiashara wazalendo ndio ya muhimu kwani ikitokea kutokuelewana kibiashara kati ya pande hizo mbili ule uliopelekwa bungeni automatically unakuwa hauna kazi tena.Mkuu kwa hiyo unataka kusema huo mkataba uliopelekwa bungeni hauna maana/impact/ influence kwa mkataba wa kibiashara utakaosiniwa??Mkataba uliopelekwa bungeni ni wa kuruhusu majadiliano ya kuelekea mkataba mwingine- then fine...lkn kwenye huu mkataba wa kuruhusu mazungumzo tayari pande mbili zimeishatoa matwaka yao ambayo pia ndo kama preliminary kwa ajili ya huo mkataba wa kibiashara unaousema wewe?
Sitaki kuamini kuwa serikali ilisubmit bungeni andiko lisilo na maana yoyote au uhisiano na mkataba utakaoandikwa...
Unanichanganya ujue??? Sasa kwenye hiyo MOU kwann waseme hakuna kujitoa kwa sababu yeyote??Kilichopelekwa bungeni ni agreement to agree kitu kama MOU ni wa jumla. Hii mikataba inayokwenda kuandikwa kati ya wawekezaji na wafanyabiashara wazalendo ndio ya muhimu kwani ikitokea kutokuelewana kibiashara kati ya pande hizo mbili ule uliopelekwa bungeni automatically unakuwa hauna kazi tena.
Mfano mkataba wa kibiashara kuhusu masuala ya TEHAMA umesainiwa kati ya DPW na wazalendo, pakatokea sintofahamu kati ya pande hizo na wakaamua kusitisha biashara, maana yake na ule uliopelekwa bungeni unakuwa hauna kazi tena.
Unajichanganya mwenyewe mkuu jayaron. Hawawezi kuongelea kujitoa kwenye mkataba uliokwenda bungeni kwani zipo biashara nyingi za ubia kati ya mwekezaji na wazalendo.Unanichanganya ujue??? Sasa kwenye hiyo MOU kwann waseme hakuna kujitoa kwa sababu yeyote??
Kwann mahakama za tanzania zisiwe na nguvu juu ya changamoto zitakazojitokeza??
Nieleweshe kwamba vimewekwa kwa maana gani katika uo ujumla unaousemea??
Huyo muongo wa Taifa msimwamini, hata kipindi cha magufuli akiwa kwenye coma alijitokeza na kusema tunataka tumuone kariakoo au magomeni huyo naye mpuuzeni ni jitu la hovyo kabisa ila Mungu amelichelewesha kulishughulikia.MAJALIWA: HATUTADHARAU USHAURI, MAONI NA MANENO YENYE HOFU KUHUSU BANDARI
---
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amewahakikishia Watanzania kwamba Serikali haitodharau maoni na ushauri wanaoutoa kuhusu maeneo yenye hofu kwenye mradi wa uwekezaji wa Bandari ya Dar es Salaam.
Waziri Mkuu Majaliwa amewataka pia Watanzania waendelee kuwa na imani na Serikali pamoja na wawakilishi wao ndani ya Bunge kwani Serikali imejidhatiti kuhakikisha bandari inakuwa na ufanisi unaoendana na mahitaji ya sasa na kwa kuzingatia manufaa ya kijiografia ya Nchi yetu.
Waziri Mkuu ameyasema hayo leo Jumanne, Juni 20, 2023 katika sherehe za Maadhimisho ya Miaka 40 ya chuo cha International Evangelism Centre kilichoko Sakila jijini Arusha ambapo amesema bandari haijauzwa, bali Serikali inataka kubadilisha Muwekezaji ili iweze kuendeshwa kwa ufanisi na tija zaidi.
Majaliwa amesema wakati wa kuingia mikataba utakapofika Wataalamu wa uchumi nchini wataishauri Serikali kuhusu muda wa uendeshaji wa uwekezaji huo, hivyo amewataka Wananchi waendelee kuwa na subra.
makuwadi na madalali ya matapeli warabu tuyapinge kwa nguvu zetu zote.Unajichanganya mwenyewe mkuu jayaron. Hawawezi kuongelea kujitoa kwenye mkataba uliokwenda bungeni kwani zipo biashara nyingi za ubia kati ya mwekezaji na wazalendo.
Mambo ya mahakama kuwa na nguvu ungewasiliana na taasisi hizo ujue kwanini.
Sio mara ya kwanza kwa mikataba kuja katika namna huu ulivyokuja.
Hebu nipe mfano wa mikataba ya aina tuliyokua nayo nchini?Unajichanganya mwenyewe mkuu jayaron. Hawawezi kuongelea kujitoa kwenye mkataba uliokwenda bungeni kwani zipo biashara nyingi za ubia kati ya mwekezaji na wazalendo.
Mambo ya mahakama kuwa na nguvu ungewasiliana na taasisi hizo ujue kwanini.
Sio mara ya kwanza kwa mikataba kuja katika namna huu ulivyokuja.
Hawa hawa DP world wamesainia mikataba na Rwanda na DRC, USA na UK.Hebu nipe mfano wa mikataba ya aina tuliyokua nayo nchini?
Utapeli ni uelewa wako binafsi kuwa mdogo kiasi cha kuhisi unaibiwa.makuwadi na madalali ya matapeli warabu tuyapinge kwa nguvu zetu zote.